Je, viongozi wetu wa sasa wana uwezo wa kutuunganisha?

Sang'udi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2016
Posts
9,138
Reaction score
22,236
Tunapokuwa na viongozi imara kama taifa tunakuwa na uwezekano mkubwa wa kuendelea.

Moja ya kiashiria cha uongozi bora ni uwezo wa kutuunganisha tunapotofautiana.

Je, viongozi wetu wa kitaifa (hasa wanaoshikilia nyadhifa za juu kabisa) wana sifa hii adhimu na muhimu?

Tuwe na sherehe njema ya uhuru.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…