Mimi nimewahi kwenda SAYARI za mbali nje ya Dunia nikiwa nimeuacha mwili wangu chumbani,Na huu ndio msingi wa swali lako..π
Ndoto nyingi ni imagination ya tuliyowahi kuona ndipo tunayajengea taswira
Vipofu huota kwa kujenga picha mpya kulingana na walichosikia sifa, muundo wa vitu,
Sijui upande wa nyapu wanaiotaje wakati hawajawahi kuiona π€
Nina rafiki yangu kipofu na anaota vizuri na anahadithia ndoto zake na akitaja kabisa miti mtu mweusi nk..Salaam, shalom!!
Twende haraka kwenye mada, nimekuwa nikipost mada za intelligence ya Mbinguni katika jukwaa hili na zinahamishiwa majukwaa mengine,
Leo tuanze mwaka na swali hili, Je vipofu wa Kuzaliwa huota ndoto?
Kurahisisha upatikanaji wa jibu kuhusu ndoto za vipofu, tupate tafsiri ya
1. Silver cord/ Kamba ya Fedha. 2. Mtu 3. NAFSI 4. Mwili. 5. NDOTO. 6. ULIMWENGU WA ROHO.
1. SILVER CORD/ KAMBA YA FEDHA.
Hiki ndicho kiunganishi kati ya MWILI wa mtu na Roho. Inapatikana katika ( Mhubiri 12:6): Or ever silver cord to be loosed. Ukisikia mtu amekata Kamba, ndo hii silver cord.
2. MTU.
MTU- Ni ROHO, ANAYO NAFSI NA ANAISHI NDANI YA MWILI.
3. NAFSI./ Soul.
Mwili/ udongo ulipopuliziwa Pumzi ya uhai, ikazaliwa NAFSI. Ikumbukwe, Pumzi ya uhai ndiyo Roho.
NAFSI ndiyo inayobeba hisia, akili, uwezo wa kufanya maamuzi. Hapa ndipo panapochakata taarifa Kutoka kwenye Mwili na Kutoka kwenye Roho( mtu). Kumbuka hisia, akili, will vyote havishikiki katika mwili physical bt vipo.
4. MWILI.
Hili ni frame, kopo, vazi la mtu ambaye ni ROHO. Mwili Si mtu, Bali mwili ni vazi la mtu ambaye ni ROHO.
Ukienda msibani, utasikia tunaenda kuaga mwili wa marehemu, marehemu na mwili ni vitu viwili tofauti.
5. NDOTO - Ni tukio halisi Si illusions kama wanasayansi wengi wanavyodhani. NDOTO ni tukio linalofanyika katika Ulimwengu wa Roho wa mwili au katika Ulimwengu wa Roho.
NDOTO type 1- Hizi ni za Kutoka kwenye Mwili kupitia macho na mawazo ndizo ziitwazo ndoto kulingana na shughuli za Kila siku.
6. ULIMWENGU WA ROHO.
Kwakuwa mtu ni ROHO anayo NAFSI na anaishi ndani ya MWILI, anapata na kutunza taarifa zote katika kitu kinachoitwa NAFSI.
Matukio yanayotengenezwa katika Ulimwengu wa mwili, NAFSI itayachakata na utayaota kupitia akili iliyo ndani ya NAFSI.
Matukio yaliyotokea kwenye Ulimwengu wa Roho, ,utayapata sababu silver cord imeungwa na mwili, NAFSI itakuletea tukio Hilo halisi kupitia ndoto, na ndoto zote ziko katika Ulimwengu wa Roho wa Nuru au Giza.
NDOTO type 2.- Hizi ni Kutoka katika Roho, ndizo ndoto ambazo ni taarifa Kutoka Ulimwengu wa Roho, ni tukio halisi, ndoto za aina hii ni HALISI.
Hivyo mtu kipofu, ikiwa Yeye ni ROHO, tutakuwa kwenye nafasi nzuri kujua ikiwa anaota ndoto au la. Na ikiwa anaota, ni Kwa mfumo upi?
Cc:Sea Beast
Karibuniπ
Akitaja mti kwani hajawai kutaja na kusikia mti kwa maisha ya kawaida....KIPI CHA AJABUNina rafiki yangu kipofu na anaota vizuri na anahadithia ndoto zake na akitaja kabisa miti mtu mweusi nk..
Huwa nashangaa sana amejuaje hivyo vitu
Ndo ujue kuwa upofu uko katika mwili.Nina rafiki yangu kipofu na anaota vizuri na anahadithia ndoto zake na akitaja kabisa miti mtu mweusi nk..
Huwa nashangaa sana amejuaje hivyo vitu
Mtu ni ROHO. Roho inaona.Akitaja mti kwani hajawai kutaja na kusikia mti kwa maisha ya kawaida....KIPI CHA AJABU
Roho ni nini kwenye mwili inakaa wapi n inakazi gani??Mtu ni ROHO. Roho inaona.
So upofu u katika mwili, Si katika Roho,
Na Kwakuwa ndoto hutendeka katika Ulimwengu wa Roho anaona vizuri kabisa,
Tatizo litakuja katika kusimulia alivyoviona.
Ikiwa huamini kuwa Mtu ni Roho,Roho ni nini kwenye mwili inakaa wapi n inakazi gani??
Kwanini ndoto useme inaratibiwa na roho, Since umeenda kwenye roho ambayo imekuwa introduced na dining lete kifungu kinachosema roho ndio ina ratibu ndoto.
Mbali nahapo utakuwa unatumia HISIA si FACT
Me nafikiri atakuwa anaota kabsa na anaona simba, nyoka, watu ndotoni anaoishi nao sema tu anashindwa kueleza kwa wengine alichoota kwa kuwa hajui kama anachokiona kinafanana na tunachokiona sisi... Ni kama ww na mimi hv tunauhakika gani kama the way navyomwona simba alivyo ndo unavyomwona ww?Sasa we ukifumba macho Si utatengeza picha ya ghorofa uliwahi liona before?
Sa kipofu Hana macho, hiyo taswira atatengeza vp?
Nakubaliana nawe Kwakuwa,Me nafikiri atakuwa anaota kabsa na anaona simba, nyoka, watu ndotoni anaoishi nao sema tu anashindwa kueleza kwa wengine alichoota kwa kuwa hajui kama anachokiona kinafanana na tunachokiona sisi... Ni kama ww na mimi hv tunauhakika gani kama the way navyomwona simba alivyo ndo unavyomwona ww?
Yeees hapo ndipo shida ilipo.Pia hata kama hakuwai kuliona bado ubongo unaweza ku generate image ya ziwa kutokea kwenye data zilizopo ubongoni itakusanya image za bwawa, kidimbwi, maji itajumlisha na information ulizowai sikia kuhusu ziwa itakuletea ndoto ila kwa kipofu ubongo hauwezi fanya yote haya kwanza haujui hata kuona kunafananaje achieve mbali hio image ya ziwa.
Point yako ni nini sasa mkuu..Sio kugenerate picha,
Mimi nilienda kigoma ziwa Tanganyika kupitia ndoto, mwili Ukiwa chumbani umelala, Mimi nikanda Kwa kutembea zaidi ya km 1000 na nikarudi ndani ya MWILI wangu usiku huo huo.
Ukijua mtu ni nani, utaweza kujua mengi usoyajua.
My point is,Point yako ni nini sasa mkuu..
Mimi bado sijaelewa unataka nini katika maelezo yako ya awali na haya pia.
Tatizo Si kuota,Watu wanapata wet dream na bado hawajaanza tomba... Unashangaa kipofu kuota ndoto
Umejuaje jambo hilo kwa kutumia uthibitisho upi ?My point is,
Upofu Ulio katika mwili wa kipofu, hauzuii Mtu ambaye ni ROHO kuona katika ndoto ambazo zinafanyika katika Spiritual realm.
Roho inaona, ila, mwili ndo macho hayaoni.
Bt Bado tunahitaji uthibitisho wa kipofu wa Kuzaliwa athibibitishe.
Kwenye akili ndiko inaka NAFSI.Umejuaje jambo hilo kwa kutumia uthibitisho upi ?
Kipofu wa kuzaliwa anaonaje na anaona nini ?
Hicho anachokiona aliwahi kukiona wapi live ?
Je akili inaweza kuvuta taswira ya kitu ambacho haikuwahi kukiona kabla ?
Usipangie watu maswali ya kuuliza, kama huwezi kujibu au unaona ya kipuuzi, tembea mbele poteaAcha mada za kipuuzi! Vipofu lazima waote, kwani kuota lazima uote kile ulichoona?
Anaweza akaotq harufu,sauti,mguso,kijamba,kupizi na vitu vyote binadamu anavyovihisi kwenye ufahamu
Unayo mifano kwa vipofu au unatumia hiyo kwa kuwarejea watu ambao wanaona ?Kwenye akili ndiko inaka NAFSI.
Kuna NDOTO aina mbili. Soma hapo juu mwanzo wa thread, nimeainisha Ndoto type 1&2.
Kipofu anaona ndoto type 2, huko Hana upofu kabisa.