Je, vipofu huota ndoto?

Je, vipofu huota ndoto?

Hii kitu imekaaje ? Kuhusu vipofu Leo nilienda kumchukua mwanangu shuleni anakosoma maajabu niliokutana nayo nimekutana na vipofu wawili mume na mke pamoja na mbwa wao anao waongoza wanatembea vizuri tu kama wanaona kila kitu pia na yule mbwa anao waongoza yupo makini sana kwa reaction yoyote Wingereza kuna mambo yakushangaza sana hawa mbwa wao wanajua mpaka kustopisha bus au kupita kwenye traffic lights hakika ni maajabu
Nchi Gani hiyo mbwa wanasimamisha magari Ili vipofu wapite?
 
Why kuisherehesha lakini? Lols

Mi nimeidownload tu ila huo muda wa kusoma ndio labda Mungu aingilie kati!
Nilikuwa nataka kumaanisha kama kufanya muhtasari ili kila mtu aone kilichomo.

B..., mbona uko hivyo? Lol

Ova
 
Ndoto hutokea pale ambapo soul imeachana na mwili. Na ndio maana ili mtu apate kuota ndoto ni lazima awe usingizini. Soul inapokuwa imeuacha mwili inatembea zake hukutana na vitu ambavyo mtu hajawahi kuviona,kuvisikia,mahali ambapo mtu hajawahi kufika na pengine hatafika kamwe.Kuna wakati soul inakutana na matukio ambayo Bado kutukia na baadaye yanatukia kweli. Kwa hiyo ni dhahiri kuwa kipofu ana soul, nayo inaweza kuuacha mwili ikaenda zake kukutana, kusikia in kugusa na nk. Soul inapoondoka inaondoka na senses zilizopo kwenye mwili, hivyo kwa kuwa kipofu hana sense of vision hawezi kuota kaona kitu fulani.
 
Ndoto hutokea pale ambapo soul imeachana na mwili. Na ndio maana ili mtu apate kuota ndoto ni lazima awe usingizini. Soul inapokuwa imeuacha mwili inatembea zake hukutana na vitu ambavyo mtu hajawahi kuviona,kuvisikia,mahali ambapo mtu hajawahi kufika na pengine hatafika kamwe.Kuna wakati soul inakutana na matukio ambayo Bado kutukia na baadaye yanatukia kweli. Kwa hiyo ni dhahiri kuwa kipofu ana soul, nayo inaweza kuuacha mwili ikaenda zake kukutana, kusikia in kugusa na nk. Soul inapoondoka inaondoka na senses zilizopo kwenye mwili, hivyo kwa kuwa kipofu hana sense of vision hawezi kuota kaona kitu fulani.
Kwani soul inapoenda kuzurura ipatakapo hutumia nacho ya MWILI au ya Rohoni?

Na ikiwa soul Ina macho, Unadhani soul ya kipofu huenda pia kuzurura ikiwa Haina macho?
 
🤣🤣Kwani we ukifunga macho ukawaza labda ghorofa la gold hio picha inatoka wapi... we jamaa ndogo ni kazi ya ubongo elewa bac hii ni Sayansi la darasa la 4 cjui
Unacheka kwa dharau unahisi una akili nyingi sana kuliko jamaa, sio!?

Kabla hajafunga macho kuwaza ghorofa, kumbuka huyu mtu ameshawahi kuliona ghorofa, pia kabla hajafumba macho kuwaza rangi ya gold, kumbuka ameshawahi kuiona gold na anajua rangi ya gold inafananaje. Kwahiyo atakavyofumba macho kuwaza, picha itakayokuja ni muunganiko wa vitu ambavyo ameshawahi kuviona (ghorofa na rangi ya gold). Kabla kipofu hajavuta picha au kuliota ghorofa la gold, unaweza kumuelekeza kipofu rangi ya gold ipoje?
Hivyo basi, kwa mtu ambaye macho yake yanafanya kazi sawasawa kuna mahusiano makubwa sana kati ya ndoto na vile alivyowahi kuviona katika maisha yake.
Kama wewe sio kipofu au ni kipofu lakini umeshawahi kuwa na macho yanayofanya kazi, yaani umeshawahi kuona, basi ndoto nyingi utakazokuwa unaziota kwa kiasi kikubwa zitakuwa na mahusiano na vitu ulivyowahi kuviona katika maisha yako.

Jibu langu kuhusu hii mada, vipofu wanaota, ila ndoto zao hazina mahusiano na macho(vitu walivyowahi kuviona), ndoto zao zinashirikisha ubongo(kumbukumbu) na milango mingine ya fahamu.
 
Uko pamoja nami, wewe umenielewa. Soul ya kipofu na yenyewe ni kipofu pia. Kipofu hawezi kuota kaona kitu fulani kwa sababu soul ambayo ndiyo inatuletea ndoto haina macho.
 
Unacheka kwa dharau unahisi una akili nyingi sana kuliko jamaa, sio!?

Kabla hajafunga macho kuwaza ghorofa, kumbuka huyu mtu ameshawahi kuliona ghorofa, pia kabla hajafumba macho kuwaza rangi ya gold, kumbuka ameshawahi kuiona gold na anajua rangi ya gold inafananaje. Kwahiyo atakavyofumba macho kuwaza, picha itakayokuja ni muunganiko wa vitu ambavyo ameshawahi kuviona (ghorofa na rangi ya gold). Kabla kipofu hajavuta picha au kuliota ghorofa la gold, unaweza kumuelekeza kipofu rangi ya gold ipoje?
Hivyo basi, kwa mtu ambaye macho yake yanafanya kazi sawasawa kuna mahusiano makubwa sana kati ya ndoto na vile alivyowahi kuviona katika maisha yake.
Kama wewe sio kipofu au ni kipofu lakini umeshawahi kuwa na macho yanayofanya kazi, yaani umeshawahi kuona, basi ndoto nyingi utakazokuwa unaziota kwa kiasi kikubwa zitakuwa na mahusiano na vitu ulivyowahi kuviona katika maisha yako.

Jibu langu kuhusu hii mada, vipofu wanaota, ila ndoto zao hazina mahusiano na macho(vitu walivyowahi kuviona), ndoto zao zinashirikisha ubongo(kumbukumbu) na milango mingine ya fahamu.
Haya nimekuelewa mkuu
 
Uko pamoja nami, wewe umenielewa. Soul ya kipofu na yenyewe ni kipofu pia. Kipofu hawezi kuota kaona kitu fulani kwa sababu soul ambayo ndiyo inatuletea ndoto haina macho.
Hakuna soul kipofu.

Upofu uko katika mwili tu, Si katika NAFSI na Roho.
 
Ndoto hutokea pale ambapo soul imeachana na mwili. Na ndio maana ili mtu apate kuota ndoto ni lazima awe usingizini. Soul inapokuwa imeuacha mwili inatembea zake hukutana na vitu ambavyo mtu hajawahi kuviona,kuvisikia,mahali ambapo mtu hajawahi kufika na pengine hatafika kamwe.Kuna wakati soul inakutana na matukio ambayo Bado kutukia na baadaye yanatukia kweli. Kwa hiyo ni dhahiri kuwa kipofu ana soul, nayo inaweza kuuacha mwili ikaenda zake kukutana, kusikia in kugusa na nk. Soul inapoondoka inaondoka na senses zilizopo kwenye mwili, hivyo kwa kuwa kipofu hana sense of vision hawezi kuota kaona kitu fulani.
Kwahiyo haya tuna yaota huwa yapo kweli huko soul inapokwenda “ikiuacha mwili”?

Kwa mfano nikiota nimekwenda US na kukutana na Riri, lakini wakati huo Riri yupo zake kwenye show Australia..... inakuaje hapo?

Kwamba ukiota mama mkwe wako mchawi anakuroga huwa ni mchawi kweli huko kwenye soul inapokwenda?
 
Hakuna soul kipofu.

Upofu uko katika mwili tu, Si katika NAFSI na Roho.
Hoja kinzani kama hizi ndio zinathibitisha Soul sijui Roho ni just illusions

Kama kuna vitu huvijui completely hakuna namna unaweza kuviota

Watu wanaota wana sex na mzazi wake.... je soul haijui?
Sometimes unaota unafanya upumbavu wa kiwango cha mwisho...... inamaana soul ndio inaweza kufanya vitu vya kijinga kiasi hicho?
 
Kipofo yeye kwenye u mwili hana macho lakin kwenye spirit realms kipofu yeye ana macho kabisa Kwa mfano ni ivi wakati sisi tunaota huwa hatuoni image zetu au reflection za sura zetu tunachoota ni nafsi zetu ndio huwa zinapitia maisha ya ndotoni?swali je wewe ushawahi kuota sura yako kwenye ndoto jibu lazma Liwe Hapana ila nafsi zetu ndio huwa zinaishi katika ndoto zile na kipofu pia ana nafsi hawezi shindwa kuota akiwa anakula,akiwa uchi sababu maisha ya ndoto ni maisha ya rohoni
 
Hoja kinzani kama hizi ndio zinathibitisha Soul sijui Roho ni just illusions

Kama kuna vitu huvijui completely hakuna namna unaweza kuviota

Watu wanaota wana sex na mzazi wake.... je soul haijui?
Sometimes unaota unafanya upumbavu wa kiwango cha mwisho...... inamaana soul ndio inaweza kufanya vitu vya kijinga kiasi hicho?
Kuna aina zaida Moja ya ndoto,

1. Zipo zitokanazo na shughuli za Kila siku za mwili, NAFSI inarudia kupitia ndoto.

2. NDOTO zingine ni wewe ambaye ni ROHO unatoka ndani ya MWILI na kuona mambo mbalimbali.

3. NDOTO zingine shetani kupitia agents wanatuletea kukuvuruga, mf mchawi anakuja amevaa sura ya manako Ili agombanishe familia umwone manako mchawi.

4. Zingine Mungu anakuonyesha mapungufu Yako unayopasa kufanyika KAZI yajayo au yaliyopita.

Mtu halisi Yuko katika ndoto aotazo.

Barikiwa.
 
kipofu anaota,, vizuri tu kabla ya kuwa na mwili huo ambao hauna macho aliishawahi kuishi katika mwili wa macho,, hivyo kumbu kumbu anazo vizuri tu za huko nyuma..

usikute hata mleta mada huko nyuma ulishawahi ishi ukiwa kipofu ukafa ukarudi tena ukiwa na macho,, ipo hivyo..
 
Hoja kinzani kama hizi ndio zinathibitisha Soul sijui Roho ni just illusions

Kama kuna vitu huvijui completely hakuna namna unaweza kuviota

Watu wanaota wana sex na mzazi wake.... je soul haijui?
Sometimes unaota unafanya upumbavu wa kiwango cha mwisho...... inamaana soul ndio inaweza kufanya vitu vya kijinga kiasi hicho?
Duuuh! Kama umewahi kuota unafanya mapenzi na mzazi wako umefikia pabaya...

Sijawahi kujua kama kuna watu mnaota hivyo
 
Duuuh! Kama umewahi kuota unafanya mapenzi na mzazi wako umefikia pabaya...

Sijawahi kujua kama kuna watu mnaota hivyo
Mkuu Kwani kuota ni jambo la HIARI?........... Kwamba mtu anachagua aote nini hadi umuone kafikia pabaya kuota hivyo ?

Tembele forums kubwa kama Quora nk uone jinsi watu wanasimulia wameota mambo ya ajabu kweli?
 
Ndoto hutokea pale ambapo soul imeachana na mwili. Na ndio maana ili mtu apate kuota ndoto ni lazima awe usingizini. Soul inapokuwa imeuacha mwili inatembea zake hukutana na vitu ambavyo mtu hajawahi kuviona,kuvisikia,mahali ambapo mtu hajawahi kufika na pengine hatafika kamwe.Kuna wakati soul inakutana na matukio ambayo Bado kutukia na baadaye yanatukia kweli. Kwa hiyo ni dhahiri kuwa kipofu ana soul, nayo inaweza kuuacha mwili ikaenda zake kukutana, kusikia in kugusa na nk. Soul inapoondoka inaondoka na senses zilizopo kwenye mwili, hivyo kwa kuwa kipofu hana sense of vision hawezi kuota kaona kitu fulani.
Vipi wale wanao ota huku wanafanya mambo wanayo yaota kama akina Josee Kamilioni
 
Back
Top Bottom