Je, Vision 2030 ya Saudi Arabia ya Mwana Mfalme Mohammed Bin Salman inamaanisha nini kwa Waumini wa SUNNI?

Je, Vision 2030 ya Saudi Arabia ya Mwana Mfalme Mohammed Bin Salman inamaanisha nini kwa Waumini wa SUNNI?

Niwakumbushe tu kuwa Mwana wa Mfalme Mohammad Bin Salman, allisha tamka kuwa Zaidi ya asilimia 90% ya Hadithi (kwenye Quran) ni takakataka!!

Sidhani kama hajaona takataka zilizoko kwenye Quran yenyewe, lakini, ukigusa hicho kitabu na vile waislam walivyo, nafikiri vita ya Dunia anajua itazuka-akamua aanze kwanza na Hadith. Ni huyu huyu ambaye amepiga marufuku Wanafunzi wa kike kuingia darasani wakiwa wamevaa Abaya.

Katika video hapa chini anaapa kwamba ndani ya miaka mitano anataka kui transform kabisa Saudia na nchi nyingine ya Mashariki ya Kati-Kwa maneno yake anataka the New Europe iwe Mashariki ya Kati!

Akiwa anatamka hilo Emir of Dubai Mohammed bin Rashid Al Maktoum peke yake kati ya Umati wote Ndiye anaamka kuonyesha kuunga mkono maono hayo.

Ikumbukwe Dubai imefunguka kiuchumi na kijamii. Aidha katika hotuba yako hiyo anaapa kuwa anataka kablla ya kufa aone ndoto yake hiyo imetimia kwa 100%

Bin Salman siyo tuu anataka Middle East ya waarabu ndiyo iwe Europe, bali anaiwinda hata Israel. Kuna mazungumzo ya chini chini ambapo anataka kuanzisha uhusiano wa kibalozi na Israel na kama hiyo haitoshi anataka kuchukua hata usimamizi wa Msikiti wa Al-Aqsa. ikumbukwe tu Waislam wa siasa kali wanautumiaga Msikiti huo kuanzisha vurugu ambazo hutokeza mapigano kati ya Waisrael na Wapalestina.

Inasemekana Saudia wamechoshwa na hali hiyo ya vita; kwani maendeleo hayaji kukiwa na chokochoko za vita
Mzee Mwinyi aliisha sema ukifungulia Dirisha hewa nzuri iingie, basi na maanzii yayo yataaingia.

WaSunn kwa maendeleo haya basi tegemeeni kuishi katika ulimwengu ambao itabidi mkubaliane na uasi imani kwenye dini yenu iliyojaa masharti yasiyo na msingi na kwakweli hayatoki kwa Mungu wa Kweli

Wale Waarabu ambao ndyo wanaoisoma na kuielewa Quran (siyo nyinyi mliokaririshwa) Watafunguka macho kutokana na modernization na hivyo kufichua uongo na upuuzi ulioandikwa kwenye Quran.

Nawaambia hivyo, waulizeni wenzenu wakatoliki, ambao walikuwa wakikaririshwa Biblia kwa Kilatini na wakaambiwa Biblia ni ngumu kuielewa hivyo wao wawe wanawasikiliza tu Mapadre wao.

Europe ilipo Modernize uasi ukaanza kutokea na kuanzishwa makanisa ya Kiprotestant. (dont take me wrong thou, because I am neither catholic nor protestant).

The worst scenario, kwa sababu WaSunni ni watu wa kujilipua, basi tutegemee kupigwa marufuku kwa dini yenu pamoja na dini zingine za uongo.

Mambo yanaenda kwa haraka sana, wakati Ulimwengu unaelekea kuadhimisha miaka 2000 tangu ulimwengu ulipotambulishwa Yesu kuwa ndiyo Mesiha
 
Saud wanabahati kubwa sana ya kuwa na MBS katika nyakati ambazo mabadiliko ya teknolojia yanahatarisha uchumi na usalama wa saudi. Wasaudi makini wanakubaliana na sera za MBS.
... wakubaliane na sera za kulegeza tamaduni na masharti makali ya kidini yaliyowekwa na watangulizi? Anyway, kile kizazi kikuukuu kinaishia hivyo; kinaingia kizazi kipya.
 
umeandika upuuz mtupu.MSIMAMO WA MTU MMOJA HAUWEZ KUWA MSIMAMO WA UISLAM.huyo mbs wenu ataondoka QURAN NA HADITH ZITABAKI.afanye atakavyo fanya ila maandiko ya uislam yatabaki vile vile.kwenye dhambi itabaki dhambi tu.na kwenye thawabu itabaki thawabu tu.uislam hauangalii wewe ni nani
 
angeamua kuwekeza kwenye elimu, ningeona anajua anachokiongea. shida moja ni kwamba, waarabu akili hawanaga za shule, ndio maana kamwe hawatakuja kujitegemea. hawajawahi kuinvent chochote, technologia zote wanazotumia hawajazivumbua wao na hawazimiliki, wanategemea kila kitu kwa wazungu na wachina ambao hawawauzii ila wanawatumia tu. watajitegemeaje wakati hawana uwezo kutengeneza hata ndege za kivita za mabox tu, hawan auwezo kutengeneza magari, hata kijiko hawawezi, walichonacho ni pesa tu ambazo wazungu wanazitafuna kweli kweli nazo ni za mafuta, yakiisha au technolojia ikibadilika wanalala njaa. waige mfano wa china na india, hao ndio wenye uwezo kushindana na wazungu, wamewekeza sana kwenye teknolojia na elimu, wamerusha vyombo angali, wamevumbua vitu vingi sana vya kisasa na ukitaja india kwa mfano kwenye IT wapo mbali sana hata makampuni makubwa hayo yanawatumia sana wahindi. sasa mwarabu asiye na alimu, ambaye hana labour force yenye elimu, anategemea kuimport kile kitu kuanzia wafanyakazi hadi vyakula, hadi machinery, atatawalaje dunia? au kwa imani ya dini yao?
 
umeandika upuuz mtupu.MSIMAMO WA MTU MMOJA HAUWEZ KUWA MSIMAMO WA UISLAM.huyo mbs wenu ataondoka QURAN NA HADITH ZITABAKI.afanye atakavyo fanya ila maandiko ya uislam yatabaki vile vile.kwenye dhambi itabaki dhambi tu.na kwenye thawabu itabaki thawabu tu.uislam hauangalii wewe ni nani
Hebu malizia basi kwa kutamka kwa sauti ya juu kabisa haya maneno, huku ukiweka kidole juu🗣️☝️wallah wabillah!!
 
wao wanaongea maneno matupu, mwenzao iran aligundua mapema akawekeza sana kwenye elimu na technolojia, anatengeneza chochote ambacho wamagaribi wanatengeneza. wao pia, nijuavyo, ni adui wa kwanza wa iran na kamwe hawatakuja kupatana kwasababu ya sunni na shiah. walivyosimama kupiga makofi utafikiri vichwani kuna chochote hadi wanatia huruma. pesa wanazo, akili kisoda.
 
Yule mwamba mwingine kijana aliekuwa aongoze Saudia kwa sasa,waliemuua yule ndio alikuwa balaa. Amesoma ulaya. Alianza mapema tu kuonyesha mabadiriko. Alikuwa hakubariani kabisa na sheria za nchini mwao. kipindi hicho babaake ndio alikuwa anaongoza,huku yeye akitegemewa kupokea kijiti kutoka kwa baba,alikuwa anampinga wazi wazi babaake. Hasa sheria za kuwakandamiza kuwafunga jera za kificho ndugu zake.
Vijana walikuwa wanamkubali kichiz.yule mwamba. Wakafanya mpango wa kumuondoa haraka. Alikuwa bonge la kijana mwenye maono ya mbali. Hata hizi sera za huyu wa sasa mwasisi wake ni yule mwamba hayati
 
... wakubaliane na sera za kulegeza tamaduni na masharti makali ya kidini yaliyowekwa na watangulizi?
saudi uchumi wake unategemea mafuta na kufanya biashara kwa dola huku ikifaidika kiusalama kutoka US. Hakuna mafuta, haina manufaa tena kwa US.

MBS ameona hatari iliyopo kwa kukua kwa AI, Magari ya umeme kuna maanisha mafuta kupoteza umuhimu hivyo hatolindwa tena na marekani. Ndio maana anafungua mahusiano na blocks kama BRICS, mataifa hasimu kama israel na iran.

pia wanahitaji kuwa na mbadala wa mafuta. Mf hijja inachangia 7% ya forex, wanataka ikuza to 15%, wanataka leta wawekezaji zaidi, so ni lazima walegeze masharti mengi, wakuze uhuru wa kijamii ili taifa lao liendelee kuwepo.
 
wao wanaongea maneno matupu, mwenzao iran aligundua mapema akawekeza sana kwenye elimu na technolojia, anatengeneza chochote ambacho wamagaribi wanatengeneza. wao pia, nijuavyo, ni adui wa kwanza wa iran na kamwe hawatakuja kupatana kwasababu ya sunni na shiah. walivyosimama kupiga makofi utafikiri vichwani kuna chochote hadi wanatia huruma. pesa wanazo, akili kisoda.
Wewe hujui kinachoendelea Saudi na wachokifanya mfano KAUST.
 
Yule mwamba mwingine kijana aliekuwa aongoze Saudia kwa sasa,waliemuua yule ndio alikuwa balaa. Amesoma ulaya. Alianza mapema tu kuonyesha mabadiriko. Alikuwa hakubariani kabisa na sheria za nchini mwao. kipindi hicho babaake ndio alikuwa anaongoza,huku yeye akitegemewa kupokea kijiti kutoka kwa baba,alikuwa anampinga wazi wazi babaake. Hasa sheria za kuwakandamiza kuwafunga jera za kificho ndugu zake.
Vijana walikuwa wanamkubali kichiz.yule mwamba. Wakafanya mpango wa kumuondoa haraka. Alikuwa bonge la kijana mwenye maono ya mbali. Hata hizi sera za huyu wa sasa mwasisi wake ni yule mwamba hayati
Alikuwa anaitwa nani ? Nataka nikamsome
 
angeamua kuwekeza kwenye elimu, ningeona anajua anachokiongea. shida moja ni kwamba, waarabu akili hawanaga za shule, ndio maana kamwe hawatakuja kujitegemea. hawajawahi kuinvent chochote, technologia zote wanazotumia hawajazivumbua wao na hawazimiliki, wanategemea kila kitu kwa wazungu na wachina ambao hawawauzii ila wanawatumia tu. watajitegemeaje wakati hawana uwezo kutengeneza hata ndege za kivita za mabox tu, hawan auwezo kutengeneza magari, hata kijiko hawawezi, walichonacho ni pesa tu ambazo wazungu wanazitafuna kweli kweli nazo ni za mafuta, yakiisha au technolojia ikibadilika wanalala njaa. waige mfano wa china na india, hao ndio wenye uwezo kushindana na wazungu, wamewekeza sana kwenye teknolojia na elimu, wamerusha vyombo angali, wamevumbua vitu vingi sana vya kisasa na ukitaja india kwa mfano kwenye IT wapo mbali sana hata makampuni makubwa hayo yanawatumia sana wahindi. sasa mwarabu asiye na alimu, ambaye hana labour force yenye elimu, anategemea kuimport kile kitu kuanzia wafanyakazi hadi vyakula, hadi machinery, atatawalaje dunia? au kwa imani ya dini yao?
Ila wanaitawala Dunia, karibia kampuni zote kubwa duniani hela zao unazikuta kuanzia Kampuni za Magharibi, Urusi hadi china na Japan. literacy rate nchi za Ghuba ni zaidi ya asilimia 90 kuna Nchi kama Bahrain na Kuwait literacy ni asilimia 100 kabisa kwa Vijana.

Nchi zote kubwa Duniani zinategemea Migration ku sustain Nchi zao na kuwa na watu wa IT haimaanishi kuondoka na umasikini, India kama sisi bado na umasikini wa kutupwa.
 
Ila wanaitawala Dunia, karibia kampuni zote kubwa duniani hela zao unazikuta kuanzia Kampuni za Magharibi, Urusi hadi china na Japan. literacy rate nchi za Ghuba ni zaidi ya asilimia 90 kuna Nchi kama Bahrain na Kuwait literacy ni asilimia 100 kabisa kwa Vijana.

Nchi zote kubwa Duniani zinategemea Migration ku sustain Nchi zao na kuwa na watu wa IT haimaanishi kuondoka na umasikini, India kama sisi bado na umasikini wa kutupwa.
ndio maana nimesema kule wanaenda kuchota mipesa kwa watu wasio jielewa. makampuni mengi ya uchimbaji mafuta kote huko ni ya wazungu, waarabu wanapata kamisheni tu, sema cha muhimu ni kwamba wanapata kamisheni kubwa sana, ila wazungu wakiondoa uwekezaji kwenye mafuta, wameisha hao. hawana meli binafsi za kusafirishia mafuta kwenda kwenye masoko, wawekezaji wazungu ndio wamiliki wa kila kitu. kusema nchi zote duniani zinategemea migration kusustain uchumi wao, hauelewi unachokiongea.
 
angeamua kuwekeza kwenye elimu, ningeona anajua anachokiongea. shida moja ni kwamba, waarabu akili hawanaga za shule, ndio maana kamwe hawatakuja kujitegemea. hawajawahi kuinvent chochote, technologia zote wanazotumia hawajazivumbua wao na hawazimiliki, wanategemea kila kitu kwa wazungu na wachina ambao hawawauzii ila wanawatumia tu. watajitegemeaje wakati hawana uwezo kutengeneza hata ndege za kivita za mabox tu, hawan auwezo kutengeneza magari, hata kijiko hawawezi, walichonacho ni pesa tu ambazo wazungu wanazitafuna kweli kweli nazo ni za mafuta, yakiisha au technolojia ikibadilika wanalala njaa. waige mfano wa china na india, hao ndio wenye uwezo kushindana na wazungu, wamewekeza sana kwenye teknolojia na elimu, wamerusha vyombo angali, wamevumbua vitu vingi sana vya kisasa na ukitaja india kwa mfano kwenye IT wapo mbali sana hata makampuni makubwa hayo yanawatumia sana wahindi. sasa mwarabu asiye na alimu, ambaye hana labour force yenye elimu, anategemea kuimport kile kitu kuanzia wafanyakazi hadi vyakula, hadi machinery, atatawalaje dunia? au kwa imani ya dini yao?
Huwezi kupewa vyote uwe na akili na hela waarabu wanahela wanawatumia wenye akili kufanya wanayoyataka nenda dubai kulivyojengeka engineers wote wazungu
 
MBS anajua piga ua ataitawala saudia mpaka kufa kwake, zaidi ya miaka 50.

Wazungu wakimuuliza ana wake wangapi anasema m1, huyu tunamwita modern muslim, wakati kiukweli anao wawili.
 
Back
Top Bottom