Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... wakubaliane na sera za kulegeza tamaduni na masharti makali ya kidini yaliyowekwa na watangulizi? Anyway, kile kizazi kikuukuu kinaishia hivyo; kinaingia kizazi kipya.Saud wanabahati kubwa sana ya kuwa na MBS katika nyakati ambazo mabadiliko ya teknolojia yanahatarisha uchumi na usalama wa saudi. Wasaudi makini wanakubaliana na sera za MBS.
Mambo ya Saudia yanakuhusu nini wewe? Umeshindwa kujihusisha na mambo ya kwenu huko Kitogani ndio utayaweza ya waarabu?
angeamua kuwekeza kwenye elimu, ningeona anajua anachokiongea. shida moja ni kwamba, waarabu akili hawanaga za shule, ndio maana kamwe hawatakuja kujitegemea. hawajawahi kuinvent chochote, technologia zote wanazotumia hawajazivumbua wao na hawazimiliki, wanategemea kila kitu kwa wazungu na wachina ambao hawawauzii ila wanawatumia tu. watajitegemeaje wakati hawana uwezo kutengeneza hata ndege za kivita za mabox tu, hawan auwezo kutengeneza magari, hata kijiko hawawezi, walichonacho ni pesa tu ambazo wazungu wanazitafuna kweli kweli nazo ni za mafuta, yakiisha au technolojia ikibadilika wanalala njaa. waige mfano wa china na india, hao ndio wenye uwezo kushindana na wazungu, wamewekeza sana kwenye teknolojia na elimu, wamerusha vyombo angali, wamevumbua vitu vingi sana vya kisasa na ukitaja india kwa mfano kwenye IT wapo mbali sana hata makampuni makubwa hayo yanawatumia sana wahindi. sasa mwarabu asiye na alimu, ambaye hana labour force yenye elimu, anategemea kuimport kile kitu kuanzia wafanyakazi hadi vyakula, hadi machinery, atatawalaje dunia? au kwa imani ya dini yao?
Hebu malizia basi kwa kutamka kwa sauti ya juu kabisa haya maneno, huku ukiweka kidole juu🗣️☝️wallah wabillah!!umeandika upuuz mtupu.MSIMAMO WA MTU MMOJA HAUWEZ KUWA MSIMAMO WA UISLAM.huyo mbs wenu ataondoka QURAN NA HADITH ZITABAKI.afanye atakavyo fanya ila maandiko ya uislam yatabaki vile vile.kwenye dhambi itabaki dhambi tu.na kwenye thawabu itabaki thawabu tu.uislam hauangalii wewe ni nani
saudi uchumi wake unategemea mafuta na kufanya biashara kwa dola huku ikifaidika kiusalama kutoka US. Hakuna mafuta, haina manufaa tena kwa US.... wakubaliane na sera za kulegeza tamaduni na masharti makali ya kidini yaliyowekwa na watangulizi?
Wewe hujui kinachoendelea Saudi na wachokifanya mfano KAUST.wao wanaongea maneno matupu, mwenzao iran aligundua mapema akawekeza sana kwenye elimu na technolojia, anatengeneza chochote ambacho wamagaribi wanatengeneza. wao pia, nijuavyo, ni adui wa kwanza wa iran na kamwe hawatakuja kupatana kwasababu ya sunni na shiah. walivyosimama kupiga makofi utafikiri vichwani kuna chochote hadi wanatia huruma. pesa wanazo, akili kisoda.
kwahiyo unataka kuniambia mtu anaweza kuendelea dunia hii ya leo bila kumiliki teknolojia? au na wewe ni mwarabu?nisijekuwa nabishana na walewale.Wewe hujui kinachoendelea Saudi na wachokifanya mfano KAUST.
Alikuwa anaitwa nani ? Nataka nikamsomeYule mwamba mwingine kijana aliekuwa aongoze Saudia kwa sasa,waliemuua yule ndio alikuwa balaa. Amesoma ulaya. Alianza mapema tu kuonyesha mabadiriko. Alikuwa hakubariani kabisa na sheria za nchini mwao. kipindi hicho babaake ndio alikuwa anaongoza,huku yeye akitegemewa kupokea kijiti kutoka kwa baba,alikuwa anampinga wazi wazi babaake. Hasa sheria za kuwakandamiza kuwafunga jera za kificho ndugu zake.
Vijana walikuwa wanamkubali kichiz.yule mwamba. Wakafanya mpango wa kumuondoa haraka. Alikuwa bonge la kijana mwenye maono ya mbali. Hata hizi sera za huyu wa sasa mwasisi wake ni yule mwamba hayati
Mfalme anatoga pua!!!
Ila wanaitawala Dunia, karibia kampuni zote kubwa duniani hela zao unazikuta kuanzia Kampuni za Magharibi, Urusi hadi china na Japan. literacy rate nchi za Ghuba ni zaidi ya asilimia 90 kuna Nchi kama Bahrain na Kuwait literacy ni asilimia 100 kabisa kwa Vijana.angeamua kuwekeza kwenye elimu, ningeona anajua anachokiongea. shida moja ni kwamba, waarabu akili hawanaga za shule, ndio maana kamwe hawatakuja kujitegemea. hawajawahi kuinvent chochote, technologia zote wanazotumia hawajazivumbua wao na hawazimiliki, wanategemea kila kitu kwa wazungu na wachina ambao hawawauzii ila wanawatumia tu. watajitegemeaje wakati hawana uwezo kutengeneza hata ndege za kivita za mabox tu, hawan auwezo kutengeneza magari, hata kijiko hawawezi, walichonacho ni pesa tu ambazo wazungu wanazitafuna kweli kweli nazo ni za mafuta, yakiisha au technolojia ikibadilika wanalala njaa. waige mfano wa china na india, hao ndio wenye uwezo kushindana na wazungu, wamewekeza sana kwenye teknolojia na elimu, wamerusha vyombo angali, wamevumbua vitu vingi sana vya kisasa na ukitaja india kwa mfano kwenye IT wapo mbali sana hata makampuni makubwa hayo yanawatumia sana wahindi. sasa mwarabu asiye na alimu, ambaye hana labour force yenye elimu, anategemea kuimport kile kitu kuanzia wafanyakazi hadi vyakula, hadi machinery, atatawalaje dunia? au kwa imani ya dini yao?
ndio maana nimesema kule wanaenda kuchota mipesa kwa watu wasio jielewa. makampuni mengi ya uchimbaji mafuta kote huko ni ya wazungu, waarabu wanapata kamisheni tu, sema cha muhimu ni kwamba wanapata kamisheni kubwa sana, ila wazungu wakiondoa uwekezaji kwenye mafuta, wameisha hao. hawana meli binafsi za kusafirishia mafuta kwenda kwenye masoko, wawekezaji wazungu ndio wamiliki wa kila kitu. kusema nchi zote duniani zinategemea migration kusustain uchumi wao, hauelewi unachokiongea.Ila wanaitawala Dunia, karibia kampuni zote kubwa duniani hela zao unazikuta kuanzia Kampuni za Magharibi, Urusi hadi china na Japan. literacy rate nchi za Ghuba ni zaidi ya asilimia 90 kuna Nchi kama Bahrain na Kuwait literacy ni asilimia 100 kabisa kwa Vijana.
Nchi zote kubwa Duniani zinategemea Migration ku sustain Nchi zao na kuwa na watu wa IT haimaanishi kuondoka na umasikini, India kama sisi bado na umasikini wa kutupwa.
Huwezi kupewa vyote uwe na akili na hela waarabu wanahela wanawatumia wenye akili kufanya wanayoyataka nenda dubai kulivyojengeka engineers wote wazunguangeamua kuwekeza kwenye elimu, ningeona anajua anachokiongea. shida moja ni kwamba, waarabu akili hawanaga za shule, ndio maana kamwe hawatakuja kujitegemea. hawajawahi kuinvent chochote, technologia zote wanazotumia hawajazivumbua wao na hawazimiliki, wanategemea kila kitu kwa wazungu na wachina ambao hawawauzii ila wanawatumia tu. watajitegemeaje wakati hawana uwezo kutengeneza hata ndege za kivita za mabox tu, hawan auwezo kutengeneza magari, hata kijiko hawawezi, walichonacho ni pesa tu ambazo wazungu wanazitafuna kweli kweli nazo ni za mafuta, yakiisha au technolojia ikibadilika wanalala njaa. waige mfano wa china na india, hao ndio wenye uwezo kushindana na wazungu, wamewekeza sana kwenye teknolojia na elimu, wamerusha vyombo angali, wamevumbua vitu vingi sana vya kisasa na ukitaja india kwa mfano kwenye IT wapo mbali sana hata makampuni makubwa hayo yanawatumia sana wahindi. sasa mwarabu asiye na alimu, ambaye hana labour force yenye elimu, anategemea kuimport kile kitu kuanzia wafanyakazi hadi vyakula, hadi machinery, atatawalaje dunia? au kwa imani ya dini yao?