Je, Vision 2030 ya Saudi Arabia ya Mwana Mfalme Mohammed Bin Salman inamaanisha nini kwa Waumini wa SUNNI?

Je, Vision 2030 ya Saudi Arabia ya Mwana Mfalme Mohammed Bin Salman inamaanisha nini kwa Waumini wa SUNNI?

Unajizima data siyo. Wewe huoni kuwa huyo Msunni anatakakuaminisha kuwa Quran inasema Yesu hakufa kwenye mti wa mateso wakati Quran kumbe 19:15 na 33 Issa akiwa kichanga aliisha jitabiria kuwa zimebarikiwa siku aliyozaliwa, siku atakufa na siku atakayofufuliwa na Mungu. Vile vile huyo Sunn alitaka kupotosha kuwa Quran 3:55 inasema Yesu alipalizwa kwa Mungu bila kufa wakati tafsiri halisi ya NENO HILO LA KIARABU ni kuwa MUNGU alimfisha ISSA. Ndiyo hapo alipoitwa Mwarabu ambaye ni Muislam lakini ameamua kusema ukweli.
Ndiyo maana ninasema mabadiliko anayofanya MBS, Mungu atawaongoza Wasaudia kama huyo Bw. Waseme ukweli wote kuhusu Quran
Hizo porojo zako, Waislam tunamfahamu Yesu kuliko unavyofikiria.
 
angeamua kuwekeza kwenye elimu, ningeona anajua anachokiongea. shida moja ni kwamba, waarabu akili hawanaga za shule, ndio maana kamwe hawatakuja kujitegemea. hawajawahi kuinvent chochote, technologia zote wanazotumia hawajazivumbua wao na hawazimiliki, wanategemea kila kitu kwa wazungu na wachina ambao hawawauzii ila wanawatumia tu. watajitegemeaje wakati hawana uwezo kutengeneza hata ndege za kivita za mabox tu, hawan auwezo kutengeneza magari, hata kijiko hawawezi, walichonacho ni pesa tu ambazo wazungu wanazitafuna kweli kweli nazo ni za mafuta, yakiisha au technolojia ikibadilika wanalala njaa. waige mfano wa china na india, hao ndio wenye uwezo kushindana na wazungu, wamewekeza sana kwenye teknolojia na elimu, wamerusha vyombo angali, wamevumbua vitu vingi sana vya kisasa na ukitaja india kwa mfano kwenye IT wapo mbali sana hata makampuni makubwa hayo yanawatumia sana wahindi. sasa mwarabu asiye na alimu, ambaye hana labour force yenye elimu, anategemea kuimport kile kitu kuanzia wafanyakazi hadi vyakula, hadi machinery, atatawalaje dunia? au kwa imani ya dini yao?
Hivi unataka wawe na technology ya kutengeneza vitu,yanini wakati fedha wanapata toka kwenye mafuta?
 
Salafist wa SUNNI hapa chini Kuna latest news kwa akili yenu. Nimewaambia Dunia inakwenda kwa Kasi sana, msipozinduka sasa you will be overtaken by events.
Crown Prince MBS hataki tena kusikia uvunjifu wa Amani na watu kufa kama ilivyokuwa Hiroshima. Anasema AMANI kati ya Saudia na Taifa la Israel Iko karibu sana. Nawakumbusha tena kuwa Uislam wa Siasa kali ulipelekwa Saudia na Muslim Brotherhood wa Egypt ambapo wakaingiza kwenye Curriculum za Shule za Saudia na baadae wakaamza ku export MATAIFA mengine. MBS kwa sasa amepiga marufuku Saudia kuendelea kufinance hizo Siasa kali. Na Saudia inafunguka na huo ndiyo MWANZO wa mwisho wa Islam. Kinacho fuata kama ilivyo kawaida yenu mtaleta vurugu kwa Serikali na ndipo kile kilichoandikwa kwenye Biblia Ufunuo 17:16 "Serikali za Dunia zitamuangamiza yule Kahaba (dini ya Uongo) asionekane tena. Kwa sasa Kitendawili ambacho Bado hakijateguliwa ni Serikali ya Kidini ya Iran-Nasubiri kwa hamu Kitendawili hicho. Hata hivyo tukumbuke dini za uongo ni nyingi


View: https://m.youtube.com/watch?v=CX1t2ZIpJ_k
 
Back
Top Bottom