Je, Vision 2030 ya Saudi Arabia ya Mwana Mfalme Mohammed Bin Salman inamaanisha nini kwa Waumini wa SUNNI?

Je, Vision 2030 ya Saudi Arabia ya Mwana Mfalme Mohammed Bin Salman inamaanisha nini kwa Waumini wa SUNNI?

Huwezi kupewa vyote uwe na akili na hela waarabu wanahela wanawatumia wenye akili kufanya wanayoyataka nenda dubai kulivyojengeka engineers wote wazungu
sasa hapo anayefaidika nani? kama engineers wote wazungu, wanachota tu mihela, na wao waarabu hawajawekeza kwenye elimu that means hawatakuja kuwa independent hata siku moja. tunachoongelea hapa ni independence ya waarabu toka mikononi mwa wazungu,never. soko tu la mafuta ni kwasababu mzungu anafaidika, asingefaidika akiamua kulitikisa hao waarabu watarudi kuuza tende.
 
kwahiyo unataka kuniambia mtu anaweza kuendelea dunia hii ya leo bila kumiliki teknolojia? au na wewe ni mwarabu?nisijekuwa nabishana na walewale.
by 2040 wamecommit 2.5% ya bajeti yao kwenye R&D, mwezi uliopita MBS amezindua mfuko wa tafiti na maendeleo ya high tech na future technologies king abdulah university of science and technology. Kasome reports za WEF kuhusu reforms and tech investment ya saudi. Saudi inabadilika sana.
 
by 2040 wamecommit 2.5% ya bajeti yao kwenye R&D, mwezi uliopita MBS amezindua mfuko wa tafiti na maendeleo ya high tech na future technologies king abdulah university of science and technology. Kasome reports za WEF kuhusu reforms and tech investment ya saudi. Saudi inabadilika sana.
angeongea hili iran ningeamini, sasa huyu? hawezi kujitesa kusoma mwarabu wewe.
 
kwahiyo unataka kuniambia mtu anaweza kuendelea dunia hii ya leo bila kumiliki teknolojia? au na wewe ni mwarabu?nisijekuwa nabishana na walewale.
Nakuambia saudi inawekeza kwenye tech i.e miundombinu, sera na elimu halafu unaniuliza tena kama unaweza endelea bila teknolojia.
 
Niwakumbushe tu kuwa Mwana wa Mfalme Mohammad Bin Salman, allisha tamka kuwa Zaidi ya asilimia 90% ya Hadithi (kwenye Quran) ni takakataka!!

Sidhani kama hajaona takataka zilizoko kwenye Quran yenyewe, lakini, ukigusa hicho kitabu na vile waislam walivyo, nafikiri vita ya Dunia anajua itazuka-akamua aanze kwanza na Hadith. Ni huyu huyu ambaye amepiga marufuku Wanafunzi wa kike kuingia darasani wakiwa wamevaa Abaya.

Katika video hapa chini anaapa kwamba ndani ya miaka mitano anataka kui transform kabisa Saudia na nchi nyingine ya Mashariki ya Kati-Kwa maneno yake anataka the New Europe iwe Mashariki ya Kati!

Akiwa anatamka hilo Emir of Dubai Mohammed bin Rashid Al Maktoum peke yake kati ya Umati wote Ndiye anaamka kuonyesha kuunga mkono maono hayo.

Ikumbukwe Dubai imefunguka kiuchumi na kijamii. Aidha katika hotuba yako hiyo anaapa kuwa anataka kablla ya kufa aone ndoto yake hiyo imetimia kwa 100%

Bin Salman siyo tuu anataka Middle East ya waarabu ndiyo iwe Europe, bali anaiwinda hata Israel. Kuna mazungumzo ya chini chini ambapo anataka kuanzisha uhusiano wa kibalozi na Israel na kama hiyo haitoshi anataka kuchukua hata usimamizi wa Msikiti wa Al-Aqsa. ikumbukwe tu Waislam wa siasa kali wanautumiaga Msikiti huo kuanzisha vurugu ambazo hutokeza mapigano kati ya Waisrael na Wapalestina.

Inasemekana Saudia wamechoshwa na hali hiyo ya vita; kwani maendeleo hayaji kukiwa na chokochoko za vita
Mzee Mwinyi aliisha sema ukifungulia Dirisha hewa nzuri iingie, basi na maanzii yayo yataaingia.

WaSunn kwa maendeleo haya basi tegemeeni kuishi katika ulimwengu ambao itabidi mkubaliane na uasi imani kwenye dini yenu iliyojaa masharti yasiyo na msingi na kwakweli hayatoki kwa Mungu wa Kweli

Wale Waarabu ambao ndyo wanaoisoma na kuielewa Quran (siyo nyinyi mliokaririshwa) Watafunguka macho kutokana na modernization na hivyo kufichua uongo na upuuzi ulioandikwa kwenye Quran.

Nawaambia hivyo, waulizeni wenzenu wakatoliki, ambao walikuwa wakikaririshwa Biblia kwa Kilatini na wakaambiwa Biblia ni ngumu kuielewa hivyo wao wawe wanawasikiliza tu Mapadre wao.

Europe ilipo Modernize uasi ukaanza kutokea na kuanzishwa makanisa ya Kiprotestant. (dont take me wrong thou, because I am neither catholic nor protestant).

The worst scenario, kwa sababu WaSunni ni watu wa kujilipua, basi tutegemee kupigwa marufuku kwa dini yenu pamoja na dini zingine za uongo.

Mambo yanaenda kwa haraka sana, wakati Ulimwengu unaelekea kuadhimisha miaka 2000 tangu ulimwengu ulipotambulishwa Yesu kuwa ndiyo Mesiha
Ambacho hatukifahamu ALLAH anasema wakati sisi tunapanga Naye anapanga ILA KATUKUMBUSHA KUWA "YEYE NI MBORA KABISA KATIKA KUPANGA"

Makka, Madina na Jerusalem ITABAKI NI MIJI MITIKUFU KABISA WALA HAKUNA UBISHI, MAKKAH na Madina Mola Mlezi ameahidi kuilinda HATA DAJJAL [MPINGA KRISTO] HATAKANYAGA!!!!

ila kingine USISHANGAE NCHI ZILIZOKUWA ZA KIKAFIRI [ MAJORITY NON MUSLIMS] Zikawa ndiyo MUSLIM COUNTRIES.....

Huwezi shindana na Mola Mlezi!!! Na Qur'an ameahidi ATAILINDA dhidi ya kukngiliwa na MIKONO MIOVU kama ilivyoingiliwa VITABU VILIVYOPITA....
 
Misimamo ya kidini kwa kiasi kikubwa imerudisha au imesimamisha maendeleo ya moja kwa moya ya mwanadamu ambae anazihusudu hizo dini.

Hata huku Afrika tukiweza kuuvuka mstari ulio wekwa na dini tutapiga hatua walao chache mbele.
 
umeandika upuuz mtupu.MSIMAMO WA MTU MMOJA HAUWEZ KUWA MSIMAMO WA UISLAM.huyo mbs wenu ataondoka QURAN NA HADITH ZITABAKI.afanye atakavyo fanya ila maandiko ya uislam yatabaki vile vile.kwenye dhambi itabaki dhambi tu.na kwenye thawabu itabaki thawabu tu.uislam hauangalii wewe ni nani
Ila akiwaletea tende mwafurahia

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
angeamua kuwekeza kwenye elimu, ningeona anajua anachokiongea. shida moja ni kwamba, waarabu akili hawanaga za shule, ndio maana kamwe hawatakuja kujitegemea. hawajawahi kuinvent chochote, technologia zote wanazotumia hawajazivumbua wao na hawazimiliki, wanategemea kila kitu kwa wazungu na wachina ambao hawawauzii ila wanawatumia tu. watajitegemeaje wakati hawana uwezo kutengeneza hata ndege za kivita za mabox tu, hawan auwezo kutengeneza magari, hata kijiko hawawezi, walichonacho ni pesa tu ambazo wazungu wanazitafuna kweli kweli nazo ni za mafuta, yakiisha au technolojia ikibadilika wanalala njaa. waige mfano wa china na india, hao ndio wenye uwezo kushindana na wazungu, wamewekeza sana kwenye teknolojia na elimu, wamerusha vyombo angali, wamevumbua vitu vingi sana vya kisasa na ukitaja india kwa mfano kwenye IT wapo mbali sana hata makampuni makubwa hayo yanawatumia sana wahindi. sasa mwarabu asiye na alimu, ambaye hana labour force yenye elimu, anategemea kuimport kile kitu kuanzia wafanyakazi hadi vyakula, hadi machinery, atatawalaje dunia? au kwa imani ya dini yao?
China wenyewe hawajagundua chochote, ni copy and paste, at least Korea Kusini, ila Wakristo wa Kizungu ndo wamechangia pakubwa ugunduzi wa teknolojia.
 
umeandika upuuz mtupu.MSIMAMO WA MTU MMOJA HAUWEZ KUWA MSIMAMO WA UISLAM.huyo mbs wenu ataondoka QURAN NA HADITH ZITABAKI.afanye atakavyo fanya ila maandiko ya uislam yatabaki vile vile.kwenye dhambi itabaki dhambi tu.na kwenye thawabu itabaki thawabu tu.uislam hauangalii wewe ni nani
Wewe sema tu Uislam!! Shida ni nyinyi SUNNI na MBS atawanyoosha mpaka mseme poo. Kuna wenzio huko Saudia ni Wahhabi imebidi watimuke; mwenzao ataka Maendeleo wao wanaleta ujinga wa SIASA kali
 
umeandika upuuz mtupu.MSIMAMO WA MTU MMOJA HAUWEZ KUWA MSIMAMO WA UISLAM.huyo mbs wenu ataondoka QURAN NA HADITH ZITABAKI.afanye atakavyo fanya ila maandiko ya uislam yatabaki vile vile.kwenye dhambi itabaki dhambi tu.na kwenye thawabu itabaki thawabu tu.uislam hauangalii wewe ni nani

Haya nenda kajiripue kuonyesha msimamo wako jihadist.
 
angeamua kuwekeza kwenye elimu, ningeona anajua anachokiongea. shida moja ni kwamba, waarabu akili hawanaga za shule, ndio maana kamwe hawatakuja kujitegemea. hawajawahi kuinvent chochote, technologia zote wanazotumia hawajazivumbua wao na hawazimiliki, wanategemea kila kitu kwa wazungu na wachina ambao hawawauzii ila wanawatumia tu. watajitegemeaje wakati hawana uwezo kutengeneza hata ndege za kivita za mabox tu, hawan auwezo kutengeneza magari, hata kijiko hawawezi, walichonacho ni pesa tu ambazo wazungu wanazitafuna kweli kweli nazo ni za mafuta, yakiisha au technolojia ikibadilika wanalala njaa. waige mfano wa china na india, hao ndio wenye uwezo kushindana na wazungu, wamewekeza sana kwenye teknolojia na elimu, wamerusha vyombo angali, wamevumbua vitu vingi sana vya kisasa na ukitaja india kwa mfano kwenye IT wapo mbali sana hata makampuni makubwa hayo yanawatumia sana wahindi. sasa mwarabu asiye na alimu, ambaye hana labour force yenye elimu, anategemea kuimport kile kitu kuanzia wafanyakazi hadi vyakula, hadi machinery, atatawalaje dunia? au kwa imani ya dini yao?
Sure,

Namkubali MBS ila hapa ndo anafeli.

Kama ana-vision kweli ya kuifikisha Saudia huko ilibidi aanze na elimu, trust me waarabu wengi ni illiterates, elimu wanazo za kawaida sana na za kulia bata tu. Na ndo maana imechukua miaka mingi mpaka kuja kumpata mtu aina ya MBS sababu wengi elimu hawana.

Ila kumwambia mtoto wa kishua asome wakati anaona home kuna kila kitu ni ngumu, huko India na China jamaa maisha mabovu ndo maana yanawafanya wawe competitive sana
 
Ambacho hatukifahamu ALLAH anasema wakati sisi tunapanga Naye anapanga ILA KATUKUMBUSHA KUWA "YEYE NI MBORA KABISA KATIKA KUPANGA"

Makka, Madina na Jerusalem ITABAKI NI MIJI MITIKUFU KABISA WALA HAKUNA UBISHI, MAKKAH na Madina Mola Mlezi ameahidi kuilinda HATA DAJJAL [MPINGA KRISTO] HATAKANYAGA!!!!

ila kingine USISHANGAE NCHI ZILIZOKUWA ZA KIKAFIRI [ MAJORITY NON MUSLIMS] Zikawa ndiyo MUSLIM COUNTRIES.....

Huwezi shindana na Mola Mlezi!!! Na Qur'an ameahidi ATAILINDA dhidi ya kukngiliwa na MIKONO MIOVU kama ilivyoingiliwa VITABU VILIVYOPITA....
Wewe, ninauhakika haufuatilii matukio ya Dunia hii kuhusu Uislam. Kwa taarifa Yako kelele unazosikia za Uislam ni huko nchi za magharibi ambako wamepewa uhuru na sasa wanadanganya baadhi ya wazungu na black Americans. Lakini Saudia vijana wanapishana na Uislam bahati tu Kiongozo wao amestuka mapema ndyo maana wako naye; Irani ndiyo hivyo vijana wa like waliisha kataa Hijabu na kuandamana wakiimba death to the Ayatollahs. Pakistan vijana wanamkashifu waziwazi Mtume Mohammad kwenye mitandao mpaka viongozi wa kiislam wakalia kwanini Allah ameruhusu hiyo itokee. Ukiingia YouTube kwenye speakers corner UK Waislam wameishiwa hoja, wanachofanya sasa hivi ni kuleta vurugu. Islam even with its lies it will die
 
Kama ilivyo Morocco na Tunisia....

Kwa Sasa Saudia, Kuna mashogaaaaa ,madanguro ya Malaya, kumbi za kamali n.k
Mzee Rukhusa alisema ukifungulia dirisha upate hewa safi na manzii nayo yanaingia; pale wajue hakuna tena huo utakayifu. Kwanza hiyo Makka yenyewe ni ya mchongo. Watafiti wanachoshangaa Jiji Gani mnalosema la kihistoria lakini hakuna hata Baki lolote lililochimbuliwa kuthibitisha Uislam na Mohammad alikuwa huko. Si Ajabu mwana Mfalme Bin Salman ameliona hilo akajia Uongo WETU uko ukingoni ndyo maana anaachana na hayo mavitu
 
Back
Top Bottom