Je, Vision 2030 ya Saudi Arabia ya Mwana Mfalme Mohammed Bin Salman inamaanisha nini kwa Waumini wa SUNNI?

Hizo porojo zako, Waislam tunamfahamu Yesu kuliko unavyofikiria.
 
Hivi unataka wawe na technology ya kutengeneza vitu,yanini wakati fedha wanapata toka kwenye mafuta?
 
Salafist wa SUNNI hapa chini Kuna latest news kwa akili yenu. Nimewaambia Dunia inakwenda kwa Kasi sana, msipozinduka sasa you will be overtaken by events.
Crown Prince MBS hataki tena kusikia uvunjifu wa Amani na watu kufa kama ilivyokuwa Hiroshima. Anasema AMANI kati ya Saudia na Taifa la Israel Iko karibu sana. Nawakumbusha tena kuwa Uislam wa Siasa kali ulipelekwa Saudia na Muslim Brotherhood wa Egypt ambapo wakaingiza kwenye Curriculum za Shule za Saudia na baadae wakaamza ku export MATAIFA mengine. MBS kwa sasa amepiga marufuku Saudia kuendelea kufinance hizo Siasa kali. Na Saudia inafunguka na huo ndiyo MWANZO wa mwisho wa Islam. Kinacho fuata kama ilivyo kawaida yenu mtaleta vurugu kwa Serikali na ndipo kile kilichoandikwa kwenye Biblia Ufunuo 17:16 "Serikali za Dunia zitamuangamiza yule Kahaba (dini ya Uongo) asionekane tena. Kwa sasa Kitendawili ambacho Bado hakijateguliwa ni Serikali ya Kidini ya Iran-Nasubiri kwa hamu Kitendawili hicho. Hata hivyo tukumbuke dini za uongo ni nyingi


View: https://m.youtube.com/watch?v=CX1t2ZIpJ_k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…