Kwa nchi yetu hilo bado mkuu kwa sababu ni wachanga sana kwenye demokrasia ,yaani nchi hii kumkosoa Waziri ni uhujumu uchumi ,kucheka kinyago unasweka rumande hebu fikiria leo magazeti yote yanaandika kwa kumsifia Rais ,sasa tutapata wapi maendeleo ya kweli katika safari hii lazima mawazo yatofautiane ndipo maendeleo tuyaone lakini ukisema mimi naandika upande wa upinzani maana yake umekubali kupigwa risasi,kuvunjwa pumbu ,kuwekewe tindikali na kubambikiwa kesi za uhujumu uchumi njia nzuri ni wananchi kutaka katiba mpya ambayo itaainisha namna kazi za kiuandishi na waandishi wawe kwa mitindo Gani kwa Sasa nchi yetu ipo kwenye udikteta .