Je, wa-aborigine wa Australia wana asili ya Tanzania? Ni wazaramo, wasambaa au wamakonde?

Je, wa-aborigine wa Australia wana asili ya Tanzania? Ni wazaramo, wasambaa au wamakonde?

reandle

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2009
Posts
11,166
Reaction score
8,148
Ili twende pamoja basi ningeshauri uwe na ramani ya dunia pembeni yako huku uki-refresh darasa lako la historia na jiografia hata kama ni ile ambayo wengi wetu tunayo; yaani ya O-Level

Nitangulie kusema kwamba sina ufahamu wa kutosha wa historia na hata jiografia. Pale nitakapokosea, naomba nirekebishwe...awali kabisa, ningewaomba wajuvi wa jiografia watueleze kinagaubaga concept ya Plate Tectonic.

Tuanze mjadala kwa kuangalia kwa makini kabisa position ya East Africa in relation to the world map. Kisha tena angalia bara la Australia. Hata ukiangalia kwa haraka, hutachelewa kugundua kwamba upande wa mashariki wa East Afrika, hususani costal part of Tanzania ni kama imebonyea kwa ndani. Kwa upande mwingine, ukiiangalia Western Australia moja kwa moja utagundua upande huo (West) una nundu! Lakini ukiiangalia kwa makini Australia, utagundua haijakaa wima, ni kama ime-lean South East. Yaani kama ni suala la kumegeka na move away, basi ni kama Australia ilikuwa ina-move towards south east.

Vuta pumzi kidogo kisha tujikumbushe Jiografia ya O-Level. Kule tulijifunza kitu kinachofahamika Plate Tectonic. Kwenye Plate Tectonic tunaambiwa kwamba, millions of years ago, dunia lilikuwa pande moja. As a result of Plate Tectonic, dunia ikamegeka mapande na yakawa yana-move away from their original positions.

Sasa basi, tukirudi kwenye ile elevation ya Australia na nundu yake west side, na kwa upande mwingine tukirudi kwenye mbonyeo/tumbo la East Africa, Tanzania in particular; ukiangalia kwa makini utagundua ni kama ile nundu iliyopo Western Australia ina-fit kabisa kwenye mbonyeo wa Costal Part of Tanzania. Do you agree with me?

Sasa turudi kwenye historia. Bara la Australia linakaliwa na Wazungu hata hivyo tunaambiwa wenyeji wa asili wa Australia ni wa-Aborigine. Wa-Aborigine ni weusi. Mtu anaweza kujiuliza weusi wale walifikaje fikaje Australia wakati, tukiacha wale originated from slave trade, weusi wengine wote wapo Afrika. Labda kama wana-historia wa jamvi hili watueleze pasipo na shaka yoyote kwamba wa-Aborigine nao ni results of slave trade. Na kama ndivyo, why waonekane ndio wenye asili ya Australia? Swali hili, hata sie tusiofahamu historia tunashawishika kuamini kwamba Aborigines aren't a result of slave trade.

If so, can we at least hypothesize kwamba asili ya wa-Aborigines ni East Africa, Tanzania in particular? Kwamba, as a result of Plate Tectonic, pande la dunia upande wa East Africa lilipomeguka na ku-detach, wa-Aborigines wakajikuta wametenganishwa na ama Wasambaa wenzao, Wazaramo, Wandengereko au Wamwera, Wamakonde wenzao? Hata kama walitenganishwa for few feet, hawakuwa na uwezo tena wa kujitosha baharini ili kurudi kuungana na wenzao? Yaani assume umesimama na mtu mnaongea; ghafla dunia ikameguka na kuwatenganisha na kina kirefu cha maji. Si kwamba hamuonani, mnaonana lakini unashindwa kuruka urudi ulikotokea! Hili ndilo liliwakumba wa-Aborigines? Na kutokana na detached land ku-move away south east ndipo hatimae pande lile ambalo leo hii tunaliita Australia lilisafiri na ndugu zetu wa-Aborigine?

Kwa kuangalia concept ile ile, tunaweza kusema kwamba Wa-Israel na Wagiriki ni wamoja? Wayahudi wengi ni Wazungu na Israel ni taifa pekee la Wazungu ambalo lipo Middle East! Wazungu wengine unaweza kuwapata Lebanon. Je, si wamoja hawa hasa ukiangalia zilipo nchi zao na ilipo Cyprus ya Wagiriki? Aidha, tumepata kuwasoma wana-Falsafa kadhaa wa kadha wa kale wenye kuheshimika kabisa hadi leo duniani na wengi wake wakitokea Ugiriki. Ama bila shaka, huwezi kuwa mwana-falsafa uliyetukuka bila kuwa na bongo iliyojaa mbolea sawasawa! Na katika dunia hii ya leo, tunaambiwa Wayahudi nao ni watu wenye bongo iliyojaa vyema mbolea. Sasa basi, tukichukua bongo mbili hizi, kisha tukaangalia position ya Israel na Greece; tukachanganya na shaka kwamba huenda Israel pale walipo labda ilitokana na result ya Plate Tectonic, hitimisho lake si kwamba Wayahudi na Wagiriki ni dugu moja? Anyway, ni mtazamo wangu tu!!​

Si mbaya tukijongezea kichaji bongo ili tufikiri kwa makini zaidi. Hivi umewahi kuwaangalia vizuri wa-Morocco, wa-Spanish na Wareno? Ukiwaangalia vizuri hawa hutachlewa kugundua kwamba hawa ni ndugu moja! Angalia nywele zao…nywele zao lainiii, nyeusi ti! Ukiangalia position ya Morocco in relation to the position of Spain and Portugal, kisha uka-apply concept ya Plate Tectonic, utagundua kwamba Morocco, Spain and Portugal was just one piece of big land! Mifano ni mingi, hata ukitaka kuangalia vizuri Chinese varieties in South East Asia and Far East. Middle East, in relation to North Africa and The Horn of Africa.
 
Mkuu ulichoonge ni sahihi ila sio kwa asilimia zote

If so, can we at least hypothesize kwamba asili ya wa-Aborigines ni East Africa, Tanzania in particular? Kwamba, as a result of Plate Tectonic, pande la dunia upande wa East Africa lilipomeguka na ku-detach, wa-Aborigines wakajikuta wametenganishwa na ama Wasambaa wenzao, Wazaramo, Wandengereko au Wamwera, Wamakonde wenzao? Hata kama walitenganishwa for few feet, hawakuwa na uwezo tena wa kujitosha baharini ili kurudi kuungana na wenzao? Yaani assume umesimama na mtu mnaongea; ghafla dunia ikameguka na kuwatenganisha na kina kirefu cha maji. Si kwamba hamuonani, mnaonana lakini unashindwa kuruka urudi ulikotokea! Hili ndilo liliwakumba wa-Aborigines? Na kutokana na detached land ku-move away south east ndipo hatimae pande lile ambalo leo hii tunaliita Australia lilisafiri na ndugu zetu wa-Aborigine?

Mkuu,Plate tectonics au continental drift ili span millions of years.Sio kitu cha ghafla kama volcanic eruptions.Geography inasema hapo mwanzo kulikuwa na land mass iliyoitwa Pangea.Kutokana na tectonic plates land mass hiyo ilivunjika na kusambaa dunia na bado inaendlea kusambaa.Kwa sasa rate of continental drift ni 2.5centimetres per year

Kuna study ilifanyika ikagundua watu wote wa dunia nzima wana share a genetic trait na the people of East Africa.In actual sense we are the birthplace of mankind as we know it

Kwa kuangalia concept ile ile, tunaweza kusema kwamba Wa-Israel na Wagiriki ni wamoja? Wayahudi wengi ni Wazungu na Israel ni taifa pekee la Wazungu ambalo lipo Middle East! Wazungu wengine unaweza kuwapata Lebanon. Je, si wamoja hawa hasa ukiangalia zilipo nchi zao na ilipo Cyprus ya Wagiriki? Aidha, tumepata kuwasoma wana-Falsafa kadhaa wa kadha wa kale wenye kuheshimika kabisa hadi leo duniani na wengi wake wakitokea Ugiriki. Ama bila shaka, huwezi kuwa mwana-falsafa uliyetukuka bila kuwa na bongo iliyojaa mbolea sawasawa! Na katika dunia hii ya leo, tunaambiwa Wayahudi nao ni watu wenye bongo iliyojaa vyema mbolea. Sasa basi, tukichukua bongo mbili hizi, kisha tukaangalia position ya Israel na Greece; tukachanganya na shaka kwamba huenda Israel pale walipo labda ilitokana na result ya Plate Tectonic, hitimisho lake si kwamba Wayahudi na Wagiriki ni dugu moja? Anyway, ni mtazamo wangu tu!!​

Mkuu hapa unaongelea ancient hebrews ambao sio Jews.Hebrews and Jews ni vitu viwili tofauti.Hebrews were not caucasians yani hawakuwa wazungu,walikuwa dark skinned

Jews on the other hand wamegawanyika katika makundi mawili ambao ni Ashkenazi na Spheradic.Hao wayahudi(jews) ambao ni wazungu ni ashkenazi na ambao wenye asili ya uarabuni ni Spheradic

Ashkenazi jews hawana uhusiano wowote na ancient israelites/hebrews.Ni uongo uliokua ukisambazwa kwa muda mrefu kuwa hawa wazungu ni hebrews

Ashkenazi jews wametokana na taifa la kizungu lililokuwa katika katika ya Byzantine Empire(East Roman Empire) na Ottoman Turks.Taifa hilo liliitwa KHAZAR. Lili act kama buffer between these powerful empires.Na kuondoa shari ya kuchagua kati ya ukristo Byzantine na Uislam wa Ottoman wakachagua Judaism kam official religion of the state

Baada ya Byzantine ya Constantinople kuanguka kwa Ottomans Kingdom of KHAZAR ilitawanyika ndo tukawapata hawa wazungu wanaojiita wayahudi(ashkenazi).Hawa jamaa hawana uhusiano wowote na wagiriki

Pia madai ya kuwa wayahudi wanaakili sana ni uongo. Ni propaganda za kuwatisha waarabu.Statistics zinasema jamii yenye watu wenye akili nyingi ni China ikifuatiwa other asian states kama Japan na Korea.Kwa ulaya nchi inayoongoza ni Germany
 
Kilichokatika kutoka East Africa ni Madagascar ni tuvisiwa vidogovidogo vya Pemba ,Unguja shelisheli, Comoro ect, Australia inaweza kuwa ilikatika mbele ya Madagascar all in all likuwa upande wa East Africa pamoja na India

Hao Aborigines ndio wana Asili ya Africa lakini inasadikika ni Horn of Africa-Somalia,Ethiopia nk na walifika Australia kwa root ya kuzunguka kupitia root ya Arabuni, kisha India wakaacha trace kidogo kisha, thailand, Malaysia na kisha Indonesia ambano inasadikika kuwa kulikuwa na barafu iliyoinganisha Indonesia na Australia na wao walikuwa wanatembea na kuvuka tu

theory ziko nyingi
 
Kitu kingine labda plate tectonics ilitokea Zamani kabla ya Binadamu, lakini baadhi ya viumbe walishakuwepo

Hao aborigin trace zao ziko uko kote nilikoandika, ukifika india wapo, ukifika Malaysia pia wapo japo kwa uchache au wamechanganya damu na species zingine, lakini Indonesia bado wapo na culture zao bado zipo
 
hakuna kitu kama hicho, wala hawataki kabisa kuhusishwa na watz labda kidogo ukiongea nao wanasema wao kwao ni south Africa. Ukiwaangalia nywele zao ni kama wahindi kabisa kwa asilimia 90 ingwa wanasema kwao ni afrika na sio asia. Kiufupi tu kunachowaunganisha na sisi ni ile rangi pamoja na culture ya kuchza ngoma kama wabotswana hasa kwa waaaborijino wa maeneo ya Darwin, Arhnem Land, Broome na kidogo maeneno ya Western Australia. Ebu tizama hii picha za baadhi yao 1387541_10151621577896012_488112012_o.jpg
 
Mkuu ulichoonge ni sahihi ila sio kwa asilimia zote



Mkuu,Plate tectonics au continental drift ili span millions of years.Sio kitu cha ghafla kama volcanic eruptions.Geography inasema hapo mwanzo kulikuwa na land mass iliyoitwa Pangea.Kutokana na tectonic plates land mass hiyo ilivunjika na kusambaa dunia na bado inaendlea kusambaa.Kwa sasa rate of continental drift ni 2.5centimetres per year

Kuna study ilifanyika ikagundua watu wote wa dunia nzima wana share a genetic trait na the people of East Africa.In actual sense we are the birthplace of mankind as we know it



Mkuu hapa unaongelea ancient hebrews ambao sio Jews.Hebrews and Jews ni vitu viwili tofauti.Hebrews were not caucasians yani hawakuwa wazungu,walikuwa dark skinned

Jews on the other hand wamegawanyika katika makundi mawili ambao ni Ashkenazi na Spheradic.Hao wayahudi(jews) ambao ni wazungu ni ashkenazi na ambao wenye asili ya uarabuni ni Spheradic

Ashkenazi jews hawana uhusiano wowote na ancient israelites/hebrews.Ni uongo uliokua ukisambazwa kwa muda mrefu kuwa hawa wazungu ni hebrews

Ashkenazi jews wametokana na taifa la kizungu lililokuwa katika katika ya Byzantine Empire(East Roman Empire) na Ottoman Turks.Taifa hilo liliitwa KHAZAR. Lili act kama buffer between these powerful empires.Na kuondoa shari ya kuchagua kati ya ukristo Byzantine na Uislam wa Ottoman wakachagua Judaism kam official religion of the state

Baada ya Byzantine ya Constantinople kuanguka kwa Ottomans Kingdom of KHAZAR ilitawanyika ndo tukawapata hawa wazungu wanaojiita wayahudi(ashkenazi).Hawa jamaa hawana uhusiano wowote na wagiriki

Pia madai ya kuwa wayahudi wanaakili sana ni uongo. Ni propaganda za kuwatisha waarabu.Statistics zinasema jamii yenye watu wenye akili nyingi ni China ikifuatiwa other asian states kama Japan na Korea.Kwa ulaya nchi inayoongoza ni Germany

ahahahah mtapotoshwa huko misikitini mpaka basi unapingana na historia but najua nimtazamo wako na jinsi ulivyomezeshwa sumu
 
Ili twende pamoja basi ningeshauri uwe na ramani ya dunia pembeni yako huku uki-refresh darasa lako la historia na jiografia hata kama ni ile ambayo wengi wetu tunayo; yaani ya O-Level

Nitangulie kusema kwamba sina ufahamu wa kutosha wa historia na hata jiografia. Pale nitakapokosea, naomba nirekebishwe...awali kabisa, ningewaomba wajuvi wa jiografia watueleze kinagaubaga concept ya Plate Tectonic.

Tuanze mjadala kwa kuangalia kwa makini kabisa position ya East Africa in relation to the world map. Kisha tena angalia bara la Australia. Hata ukiangalia kwa haraka, hutachelewa kugundua kwamba upande wa mashariki wa East Afrika, hususani costal part of Tanzania ni kama imebonyea kwa ndani. Kwa upande mwingine, ukiiangalia Western Australia moja kwa moja utagundua upande huo (West) una nundu! Lakini ukiiangalia kwa makini Australia, utagundua haijakaa wima, ni kama ime-lean South East. Yaani kama ni suala la kumegeka na move away, basi ni kama Australia ilikuwa ina-move towards south east.

Vuta pumzi kidogo kisha tujikumbushe Jiografia ya O-Level. Kule tulijifunza kitu kinachofahamika Plate Tectonic. Kwenye Plate Tectonic tunaambiwa kwamba, millions of years ago, dunia lilikuwa pande moja. As a result of Plate Tectonic, dunia ikamegeka mapande na yakawa yana-move away from their original positions.

Sasa basi, tukirudi kwenye ile elevation ya Australia na nundu yake west side, na kwa upande mwingine tukirudi kwenye mbonyeo/tumbo la East Africa, Tanzania in particular; ukiangalia kwa makini utagundua ni kama ile nundu iliyopo Western Australia ina-fit kabisa kwenye mbonyeo wa Costal Part of Tanzania. Do you agree with me?

Sasa turudi kwenye historia. Bara la Australia linakaliwa na Wazungu hata hivyo tunaambiwa wenyeji wa asili wa Australia ni wa-Aborigine. Wa-Aborigine ni weusi. Mtu anaweza kujiuliza weusi wale walifikaje fikaje Australia wakati, tukiacha wale originated from slave trade, weusi wengine wote wapo Afrika. Labda kama wana-historia wa jamvi hili watueleze pasipo na shaka yoyote kwamba wa-Aborigine nao ni results of slave trade. Na kama ndivyo, why waonekane ndio wenye asili ya Australia? Swali hili, hata sie tusiofahamu historia tunashawishika kuamini kwamba Aborigines aren't a result of slave trade.

If so, can we at least hypothesize kwamba asili ya wa-Aborigines ni East Africa, Tanzania in particular? Kwamba, as a result of Plate Tectonic, pande la dunia upande wa East Africa lilipomeguka na ku-detach, wa-Aborigines wakajikuta wametenganishwa na ama Wasambaa wenzao, Wazaramo, Wandengereko au Wamwera, Wamakonde wenzao? Hata kama walitenganishwa for few feet, hawakuwa na uwezo tena wa kujitosha baharini ili kurudi kuungana na wenzao? Yaani assume umesimama na mtu mnaongea; ghafla dunia ikameguka na kuwatenganisha na kina kirefu cha maji. Si kwamba hamuonani, mnaonana lakini unashindwa kuruka urudi ulikotokea! Hili ndilo liliwakumba wa-Aborigines? Na kutokana na detached land ku-move away south east ndipo hatimae pande lile ambalo leo hii tunaliita Australia lilisafiri na ndugu zetu wa-Aborigine?

Kwa kuangalia concept ile ile, tunaweza kusema kwamba Wa-Israel na Wagiriki ni wamoja? Wayahudi wengi ni Wazungu na Israel ni taifa pekee la Wazungu ambalo lipo Middle East! Wazungu wengine unaweza kuwapata Lebanon. Je, si wamoja hawa hasa ukiangalia zilipo nchi zao na ilipo Cyprus ya Wagiriki? Aidha, tumepata kuwasoma wana-Falsafa kadhaa wa kadha wa kale wenye kuheshimika kabisa hadi leo duniani na wengi wake wakitokea Ugiriki. Ama bila shaka, huwezi kuwa mwana-falsafa uliyetukuka bila kuwa na bongo iliyojaa mbolea sawasawa! Na katika dunia hii ya leo, tunaambiwa Wayahudi nao ni watu wenye bongo iliyojaa vyema mbolea. Sasa basi, tukichukua bongo mbili hizi, kisha tukaangalia position ya Israel na Greece; tukachanganya na shaka kwamba huenda Israel pale walipo labda ilitokana na result ya Plate Tectonic, hitimisho lake si kwamba Wayahudi na Wagiriki ni dugu moja? Anyway, ni mtazamo wangu tu!!​

Si mbaya tukijongezea kichaji bongo ili tufikiri kwa makini zaidi. Hivi umewahi kuwaangalia vizuri wa-Morocco, wa-Spanish na Wareno? Ukiwaangalia vizuri hawa hutachlewa kugundua kwamba hawa ni ndugu moja! Angalia nywele zao…nywele zao lainiii, nyeusi ti! Ukiangalia position ya Morocco in relation to the position of Spain and Portugal, kisha uka-apply concept ya Plate Tectonic, utagundua kwamba Morocco, Spain and Portugal was just one piece of big land! Mifano ni mingi, hata ukitaka kuangalia vizuri Chinese varieties in South East Asia and Far East. Middle East, in relation to North Africa and The Horn of Africa.

Hata kama ikitokea kuwa hypothesis yako haiko sahihi, maelezo yako umeyatoa kitaalamu sana!
 
Ili twende pamoja basi ningeshauri uwe na ramani ya dunia pembeni yako huku uki-refresh darasa lako la historia na jiografia hata kama ni ile ambayo wengi wetu tunayo; yaani ya O-Level

Nitangulie kusema kwamba sina ufahamu wa kutosha wa historia na hata jiografia. Pale nitakapokosea, naomba nirekebishwe...awali kabisa, ningewaomba wajuvi wa jiografia watueleze kinagaubaga concept ya Plate Tectonic.

Tuanze mjadala kwa kuangalia kwa makini kabisa position ya East Africa in relation to the world map. Kisha tena angalia bara la Australia. Hata ukiangalia kwa haraka, hutachelewa kugundua kwamba upande wa mashariki wa East Afrika, hususani costal part of Tanzania ni kama imebonyea kwa ndani. Kwa upande mwingine, ukiiangalia Western Australia moja kwa moja utagundua upande huo (West) una nundu! Lakini ukiiangalia kwa makini Australia, utagundua haijakaa wima, ni kama ime-lean South East. Yaani kama ni suala la kumegeka na move away, basi ni kama Australia ilikuwa ina-move towards south east.

Vuta pumzi kidogo kisha tujikumbushe Jiografia ya O-Level. Kule tulijifunza kitu kinachofahamika Plate Tectonic. Kwenye Plate Tectonic tunaambiwa kwamba, millions of years ago, dunia lilikuwa pande moja. As a result of Plate Tectonic, dunia ikamegeka mapande na yakawa yana-move away from their original positions.

Sasa basi, tukirudi kwenye ile elevation ya Australia na nundu yake west side, na kwa upande mwingine tukirudi kwenye mbonyeo/tumbo la East Africa, Tanzania in particular; ukiangalia kwa makini utagundua ni kama ile nundu iliyopo Western Australia ina-fit kabisa kwenye mbonyeo wa Costal Part of Tanzania. Do you agree with me?

Sasa turudi kwenye historia. Bara la Australia linakaliwa na Wazungu hata hivyo tunaambiwa wenyeji wa asili wa Australia ni wa-Aborigine. Wa-Aborigine ni weusi. Mtu anaweza kujiuliza weusi wale walifikaje fikaje Australia wakati, tukiacha wale originated from slave trade, weusi wengine wote wapo Afrika. Labda kama wana-historia wa jamvi hili watueleze pasipo na shaka yoyote kwamba wa-Aborigine nao ni results of slave trade. Na kama ndivyo, why waonekane ndio wenye asili ya Australia? Swali hili, hata sie tusiofahamu historia tunashawishika kuamini kwamba Aborigines aren’t a result of slave trade.

If so, can we at least hypothesize kwamba asili ya wa-Aborigines ni East Africa, Tanzania in particular? Kwamba, as a result of Plate Tectonic, pande la dunia upande wa East Africa lilipomeguka na ku-detach, wa-Aborigines wakajikuta wametenganishwa na ama Wasambaa wenzao, Wazaramo, Wandengereko au Wamwera, Wamakonde wenzao? Hata kama walitenganishwa for few feet, hawakuwa na uwezo tena wa kujitosha baharini ili kurudi kuungana na wenzao? Yaani assume umesimama na mtu mnaongea; ghafla dunia ikameguka na kuwatenganisha na kina kirefu cha maji. Si kwamba hamuonani, mnaonana lakini unashindwa kuruka urudi ulikotokea! Hili ndilo liliwakumba wa-Aborigines? Na kutokana na detached land ku-move away south east ndipo hatimae pande lile ambalo leo hii tunaliita Australia lilisafiri na ndugu zetu wa-Aborigine?

Kwa kuangalia concept ile ile, tunaweza kusema kwamba Wa-Israel na Wagiriki ni wamoja? Wayahudi wengi ni Wazungu na Israel ni taifa pekee la Wazungu ambalo lipo Middle East! Wazungu wengine unaweza kuwapata Lebanon. Je, si wamoja hawa hasa ukiangalia zilipo nchi zao na ilipo Cyprus ya Wagiriki? Aidha, tumepata kuwasoma wana-Falsafa kadhaa wa kadha wa kale wenye kuheshimika kabisa hadi leo duniani na wengi wake wakitokea Ugiriki. Ama bila shaka, huwezi kuwa mwana-falsafa uliyetukuka bila kuwa na bongo iliyojaa mbolea sawasawa! Na katika dunia hii ya leo, tunaambiwa Wayahudi nao ni watu wenye bongo iliyojaa vyema mbolea. Sasa basi, tukichukua bongo mbili hizi, kisha tukaangalia position ya Israel na Greece; tukachanganya na shaka kwamba huenda Israel pale walipo labda ilitokana na result ya Plate Tectonic, hitimisho lake si kwamba Wayahudi na Wagiriki ni dugu moja? Anyway, ni mtazamo wangu tu!!​

Si mbaya tukijongezea kichaji bongo ili tufikiri kwa makini zaidi. Hivi umewahi kuwaangalia vizuri wa-Morocco, wa-Spanish na Wareno? Ukiwaangalia vizuri hawa hutachlewa kugundua kwamba hawa ni ndugu moja! Angalia nywele zao…nywele zao lainiii, nyeusi ti! Ukiangalia position ya Morocco in relation to the position of Spain and Portugal, kisha uka-apply concept ya Plate Tectonic, utagundua kwamba Morocco, Spain and Portugal was just one piece of big land! Mifano ni mingi, hata ukitaka kuangalia vizuri Chinese varieties in South East Asia and Far East. Middle East, in relation to North Africa and The Horn of Africi
Inawezekana sio kweli..ila asanta sana kwa kufikilia.
 
Umechoka kulima sasa unaunda unda historia ili uhalalishwe Australia! Pole sana ndg nenda tu watakupokea kama mzawa.
 
Mkuu ulichoonge ni sahihi ila sio kwa asilimia zote



Mkuu,Plate tectonics au continental drift ili span millions of years.Sio kitu cha ghafla kama volcanic eruptions.Geography inasema hapo mwanzo kulikuwa na land mass iliyoitwa Pangea.Kutokana na tectonic plates land mass hiyo ilivunjika na kusambaa dunia na bado inaendlea kusambaa.Kwa sasa rate of continental drift ni 2.5centimetres per year

Kuna study ilifanyika ikagundua watu wote wa dunia nzima wana share a genetic trait na the people of East Africa.In actual sense we are the birthplace of mankind as we know it



Mkuu hapa unaongelea ancient hebrews ambao sio Jews.Hebrews and Jews ni vitu viwili tofauti.Hebrews were not caucasians yani hawakuwa wazungu,walikuwa dark skinned

Jews on the other hand wamegawanyika katika makundi mawili ambao ni Ashkenazi na Spheradic.Hao wayahudi(jews) ambao ni wazungu ni ashkenazi na ambao wenye asili ya uarabuni ni Spheradic

Ashkenazi jews hawana uhusiano wowote na ancient israelites/hebrews.Ni uongo uliokua ukisambazwa kwa muda mrefu kuwa hawa wazungu ni hebrews

Ashkenazi jews wametokana na taifa la kizungu lililokuwa katika katika ya Byzantine Empire(East Roman Empire) na Ottoman Turks.Taifa hilo liliitwa KHAZAR. Lili act kama buffer between these powerful empires.Na kuondoa shari ya kuchagua kati ya ukristo Byzantine na Uislam wa Ottoman wakachagua Judaism kam official religion of the state

Baada ya Byzantine ya Constantinople kuanguka kwa Ottomans Kingdom of KHAZAR ilitawanyika ndo tukawapata hawa wazungu wanaojiita wayahudi(ashkenazi).Hawa jamaa hawana uhusiano wowote na wagiriki

Pia madai ya kuwa wayahudi wanaakili sana ni uongo. Ni propaganda za kuwatisha waarabu.Statistics zinasema jamii yenye watu wenye akili nyingi ni China ikifuatiwa other asian states kama Japan na Korea.Kwa ulaya nchi inayoongoza ni Germany

Mbona haujawawadavua spheradic
 
Kilichokatika kutoka East Africa ni Madagascar ni tuvisiwa vidogovidogo vya Pemba ,Unguja shelisheli, Comoro ect, Australia inaweza kuwa ilikatika mbele ya Madagascar all in all likuwa upande wa East Africa pamoja na India

Hao Aborigines ndio wana Asili ya Africa lakini inasadikika ni Horn of Africa-Somalia,Ethiopia nk na walifika Australia kwa root ya kuzunguka kupitia root ya Arabuni, kisha India wakaacha trace kidogo kisha, thailand, Malaysia na kisha Indonesia ambano inasadikika kuwa kulikuwa na barafu iliyoinganisha Indonesia na Australia na wao walikuwa wanatembea na kuvuka tu

theory ziko nyingi
Tuko, Thanks kwa kunifungua kwamba kuna theories nyingi...lakini kama ni Madagascar ndio ilikuwa detached somewhere in East Africa, mbona shape yake doesn't fit anywhere? But when you look Madascar careful, it fit somewhere in Mozambique. Even Australia itself, kwa kuangalia shape yake, doesn't fit anywhere in Madagascar. Look the map.
 
Last edited by a moderator:
Tuko, Thanks kwa kunifungua kwamba kuna theories nyingi...lakini kama ni Madagascar ndio ilikuwa detached somewhere in East Africa, mbona shape yake doesn't fit anywhere? But when you look Madascar careful, it fit somewhere in Mozambique. Even Australia itself, kwa kuangalia shape yake, doesn't fit anywhere in Madagascar. Look the map.

Asante Great thinker NasDaz, ki ukweli Australia haiukuwa detached moja kwa moja na East Africa, Australia ilikuwa mbele ya Madagascar na India, Actual India na Madagascar ndio zilimegeka kutoka East African coast
 
Last edited by a moderator:
So many times inafika hatua kutokana na tabia za wachangiaji wengine especially kwenye jukwaa la siasa mtu unasema enough of commenting in this forum, but then you come across a post like this which is unacceptable kabisa. Hivi mkuu NasDazyou come across as a person who is informed na uelewa wako wote umeshindwa hata kutafuta simple information such as geological time scale ya dunia ilivyoanza kusambaratika, sababu (even hypotheses zilizopo) na kujaribu kuangalia hata kama kulikuwa na life as we know it today at the time kabla ya kuandika uliyoo yaandika maana hayo mawazo wanafikiria wanafunzi wa darasa la saba si watu wazima.

Halafu culture ya Australian aborigines is not unique nor having similarities to Africans but rather it has characteristics of most foraging societies which are far apart with no communications from the Kalahari Ju'hoansi to Congolese Mbuti all the way to far continental such as Alaska with Eskimo and Brazil Amazonian tribes. Therefore scientific research has concluded it has derived from the similarities of life rather than culture, isitoshe there is enough writing on human migration kiasi kwamba sielewi kwanini umeamua kuja na maandishi yenye justification rahisi kama yako. Muwe mnasoma seriously it is the age of information scores of books are available for free online.
 
Last edited by a moderator:
hakuna kitu kama hicho, wala hawataki kabisa kuhusishwa na watz
Ina maana wamepashapata kuhusishwa na Watanzania hapo nyuma? Just wanted to know.
labda kidogo ukiongea nao wanasema wao kwao ni south Africa.
Sijui hapa wanaangalia vigezo gani, manake kwa muonekano...hasa kwa kuangalia nywele zao, hawafanani na wa-SA. Kwa kungalia Australia shape, doesn't fit anywhere in SA, if not East Africa, I can bet somewhere in Mozambique! Na hawa jamaa bana, ukiacha nywele zao, ni full WAMAKONDE, kama sio wa kule Mtwara basi watakuwa wa NCHUMBIJI!!!
Ukiwaangalia nywele zao ni kama wahindi kabisa kwa asilimia 90 ingwa wanasema kwao ni afrika na sio asia. Kiufupi tu kunachowaunganisha na sisi ni ile rangi pamoja na culture ya kuchza ngoma kama wabotswana hasa kwa waaaborijino wa maeneo ya Darwin, Arhnem Land, Broome na kidogo maeneno ya Western Australia. Ebu tizama hii picha za baadhi yao
Mkuu Jerry inaonesha unawafahamu vizuri hawa watu...nadhani hapa kwenye muonekano ndipo pa kuanzia. The guys, sure, with their hairs, they look like Indians. Let's try this. First let's assume Sri Lanka's position is the result of plate tectonic. Let's push it gently north-west; ni kama ina-fit somewhere south India; pale kwenye chogo pointing south. Then let's push Australia north west as well. Ukiangalia ramani ya Australia pale north, utaona kuna shimo. Hili shimo ni kama lina-fit ile sehemu ya chini ya India+Sri-Lanka! Na ukiwaangalia wa-Sri-Lanka, ndo wanafanana zaidi na hawa wa-Aborigines. Aidha, uki-extend zaidi western part of Australia, ni kama inakuja ku-fit somewhere in East Africa. Ukichanganya hayo mawili, it's like, after first pale tectonic, western part of Australia ikawa detached from East Africa but ikawa imeshikana na southern part of India/Sri-Lanka. Hata hivyo, ikawa is like a narrow part of India, ikawa imeshikilia a very large mass of the whole detached part from E.A to the point ikafika wakati ikashindwa kuhimili. Ile large mass ikanyofoka downwards na kuondoka na baadhi ya Wahindi wa Sri-Lanka! The large mass now ikawa na two species, Africans and Indians, particularly from south, or probably Sri-Lanka! hapa ikatokea cross breeding, between Africans and Indians, ikaja product ambayo ni black skins with Indian hairs!!! Anyway, ni mtazamo wangu...

What am trying to say, is like, before plate tectonic, western part of Australia was detached from somewhere in E. Africa or probably Horn of Africa as others suggest. W
 
So many times inafika hatua kutokana na tabia za wachangiaji wengine especially kwenye jukwaa la siasa mtu unasema enough of commenting in this forum, but then you come across a post like this which is unacceptable kabisa. Hivi mkuu NasDazyou come across as a person who is informed na uelewa wako wote umeshindwa hata kutafuta simple information such as geological time scale ya dunia ilivyoanza kusambaratika, sababu (even hypotheses zilizopo) na kujaribu kuangalia hata kama kulikuwa na life as we know it today at the time kabla ya kuandika uliyoo yaandika maana hayo mawazo wanafikiria wanafunzi wa darasa la saba si watu wazima.

Halafu culture ya Australian aborigines is not unique nor having similarities to Africans but rather it has characteristics of most foraging societies which are far apart with no communications from the Kalahari Ju'hoansi to Congolese Mbuti all the way to far continental such as Alaska with Eskimo and Brazil Amazonian tribes. Therefore scientific research has concluded it has derived from the similarities of life rather than culture, isitoshe there is enough writing on human migration kiasi kwamba sielewi kwanini umeamua kuja na maandishi yenye justification rahisi kama yako. Muwe mnasoma seriously it is the age of information scores of books are available for free online.
Pale ulipo-conclude kwamba mawazo ya wanafunzi wa darasa la saba nilitarajia uwe umeweka yale ya ki-PhD, but you didn't, instead ni kama umeishia tu kusema hawa wameandika hivi na kule wameandika vile bila kusema excatly nini hasa wameandika! That's one; second, I don't always rely on what other people say but what I think na ndio maana mada hii nikaileta jukwaa hili and not anywhere else. Kama hujalifahamu vizuri hili jukwaa, ni kwamba, pamoja na kujadili masuala ya intelejensia/undercover issues, jukwaa hili pia hutumika na watu wanao-think differently from how other people think! Na ndio maana, with a lot of scriptures claiming things like existence of God, jukwaa hili utakutana na mawazo kwamba there's no such thing like God! Hili ni jukwaa ambalo kwa watu ambao wanaamini tofauti na maandiko kadhaa wa kadhaa, wanaweza kueleza vile wanavyofikiri hapa!! Kwamba, kuna maandishi mengi bado haiwezi kusaidia coz' ulitakiwa kusema hayo maandishi mengi yameandika nini. UKiyaandika, watu wataya-jaji ingawaje ni vizuri wakati mwingine mtu ukitumia tu uwezo wako wa kufikiri badala ya kila kitu kujikita na what other people say. Na ndio maana, hata ukiangalia wachangiaji wengine, kila mmoja kasema anachokifahamu au kukiamini.
 
Kuna document inaelezea vizuri habari ya continental drift. Ninayo PDF copy ila sijui kuattach hapa. Labda ukigoogle itakusaidia. PPP Continental drift U of Guelph
 
Back
Top Bottom