Je, wa-aborigine wa Australia wana asili ya Tanzania? Ni wazaramo, wasambaa au wamakonde?

Je, wa-aborigine wa Australia wana asili ya Tanzania? Ni wazaramo, wasambaa au wamakonde?

Mkuu kama ulivyosema ni milion nyingi iliyopita(continental drift theory),kwa mujibu wa bwana Alfred Wegner,kinachofanana katika sehemu hizo za pwani ni mazingira(hali ya hewa na uoto wa asili)na labda mijusi na kenge wanaopatikana sehemu hizo.
 
Mkuu umenikumbusha mbali kweli. Yeah hapo kuna theories mbili kwenye geography A level which are continental drift na plate tectonic. Ukiangalia uoto wa asiri pwani ya afrika magharibi na east part ya south america zinafanana na hata watu wa maeneo hayo asiri zao ni moja. Hata umegukaji wa haya mapande mawili ya ardhi yanashabihiana.
Evidence nyingine ni uwepo wa bonde la ufa lililoanzia Middle East jordan huko likapita pande za Egypt hadi East Africa mpaka mto Tanganyika kuelekea kusini mwa Tanzania pande za Mbeya. Vitu ni vingi na vyote vinaelezea kuwa miaka milioni ya mamilioni iliyopita pande la ardhi lilikuwa moja.
 
since no body has proven why lumanyisa is black and Ian Jones is white chochote kiandikwacho ni dhanio tu.ila dhana hizo huweza kupelekea kupatikana kwa ukweli

kusema wa aborigine wana asili ya tanzania kwa dhana ya nchi yao ilimeguka toka tanzania ni uongo.separation happened around 150 something million years BC na tunafahamu binadamu wa kale zaidi aliishi lini.ni jambo ambalo linaupingo wa wazi kabisa since there is no correlation in numbers.

Mkuu umechanganya matukio sana. Theory ya Pangae (pangea?) na kumeguka kwa tectonic plates inasema kwamba hiki kitu kilitokea kitambo sana kabla bin Adam hajaweka mguu kunako Dunia. Kwa hyo inawezekana walitokea East Africa lakini sio katika mtindo unaofikiri wewe.
Kaka Transkei kama umenisoma kutokea mwanzo, mimi siamini kwamba hao watu weusi walioko Australia, Papua New Guinea, Indonesia, Malaysia, Sri lanka, India kuwa walifika huko kwa sababu ya plate tectonics au Continental drifts, hiyo ya kumeguka kwa dunia ilifanyika kabla ya uwepo wa Binadamu

unlike blacks Walioko sehemu zingine (cuBa, america, brazil) kwa minajili ya utumwa, hao niliowataja na uliowatja wewe, walifka huko as part of human migration
Wakuu lumanyisa, Kituko, and mjasiria,
Hivi ni utafiti gani umeweza kusema beyond reasonable doubt kwamba mwanadamu wa kwanza aliishi duniani miaka X iliyopita na continental drift ilitokea miaka Y iliyopita? By the way, kama nilivyotangulia kusema hapo awali, mie sina ufahamu wa kutosha wa historia ambayo niliibwaga nikiwa kidato cha pili! Tell me am wrong here, kwamba kwa historia ile ya form II, tunaambiwa madai kwamba kufahamu mwanadamu wa kwanza aliishi miaka mingapi iliyopita, inatokana na kufanya utafiti katika masalia ya biandamu. Masalia haya ni yale yaliyogunduliwa; kwamba provided the oldest discovered fossils yatakuwa ni yale ya miaka 50 million iliyopita, basi hapo ndipo wataalamu watasema mwanadamu wa kwanza aliishi miaka 50 million iliyopita! If that is the case, kuna uhakika gani kwamba hakuna masalia ya kale zaidi kuliko hayo ya 50 million years ago?

Look here; jana, 18.03.2014, vyombo mbalimbali duniani vimetangaza ufahamu mpya kuhusu ni lini hasa kansa ilianza! Ufahamu huu mpya umetokana na masalia ya mwanadamu yaliyogunduliwa recently na baada ya kufanyiwa uchunguzi, ikaonekana kwamba mifupa yake ilikuwa imetoboka toboka na kutoa uwezekano mkubwa kwamba huyo mheshimiwa alikuwa anaumwa kansa!! Sasa basi, ikiwa tunalazimika ku-conclude kwamba mwanadamu wa mwanzo aliishi 50 million years ago kwa kuangalia masalia husika, what if kuna masalia ya miaka 200 million iliyopita lakini bado hayagundulika?4

In addition to that, ikiwa wataalamu hao wanaamini by the time of continental drift tayari kulikua na baadhi ya wanyama na mimea; and bila shaka na samaki, itashindikana nini basi kuwapo mnyama jamii ya mwanadamu? Hivi ni kwmba wakati wa continental drift hapakuwa na mwanadamu au there's no eveidence kwamba mwanadamu alikuwapo? Ikiwa ni kwamba there's no evidence in the existence of human life, this's different to there's no human life!

Mkuu Kituko umesema blacks wa sehemu kama Papua New Guinea and the like, uwepo wao kule umetokana na human migration. Hapa nimeuliza swali ambalo bado sijajibiwa! Ikiwa ni result of human migration, what' was the motivation of their migration? migrated from where? why did them had to risk their lives and migrate throughout islands?
 
Last edited by a moderator:
Wakuu lumanyisa, Kituko, and mjasiria,
Hivi ni utafiti gani umeweza kusema beyond reasonable doubt kwamba mwanadamu wa kwanza aliishi duniani miaka X iliyopita na continental drift ilitokea miaka Y iliyopita? By the way, kama nilivyotangulia kusema hapo awali, mie sina ufahamu wa kutosha wa historia ambayo niliibwaga nikiwa kidato cha pili! Tell me am wrong here, kwamba kwa historia ile ya form II, tunaambiwa madai kwamba kufahamu mwanadamu wa kwanza aliishi miaka mingapi iliyopita, inatokana na kufanya utafiti katika masalia ya biandamu. Masalia haya ni yale yaliyogunduliwa; kwamba provided the oldest discovered fossils yatakuwa ni yale ya miaka 50 million iliyopita, basi hapo ndipo wataalamu watasema mwanadamu wa kwanza aliishi miaka 50 million iliyopita! If that is the case, kuna uhakika gani kwamba hakuna masalia ya kale zaidi kuliko hayo ya 50 million years ago?

Look here; jana, 18.03.2014, vyombo mbalimbali duniani vimetangaza ufahamu mpya kuhusu ni lini hasa kansa ilianza! Ufahamu huu mpya umetokana na masalia ya mwanadamu yaliyogunduliwa recently na baada ya kufanyiwa uchunguzi, ikaonekana kwamba mifupa yake ilikuwa imetoboka toboka na kutoa uwezekano mkubwa kwamba huyo mheshimiwa alikuwa anaumwa kansa!! Sasa basi, ikiwa tunalazimika ku-conclude kwamba mwanadamu wa mwanzo aliishi 50 million years ago kwa kuangalia masalia husika, what if kuna masalia ya miaka 200 million iliyopita lakini bado hayagundulika?4

In addition to that, ikiwa wataalamu hao wanaamini by the time of continental drift tayari kulikua na baadhi ya wanyama na mimea; and bila shaka na samaki, itashindikana nini basi kuwapo mnyama jamii ya mwanadamu? Hivi ni kwmba wakati wa continental drift hapakuwa na mwanadamu au there's no eveidence kwamba mwanadamu alikuwapo? Ikiwa ni kwamba there's no evidence in the existence of human life, this's different to there's no human life!

Mkuu Kituko umesema blacks wa sehemu kama Papua New Guinea and the like, uwepo wao kule umetokana na human migration. Hapa nimeuliza swali ambalo bado sijajibiwa! Ikiwa ni result of human migration, what' was the motivation of their migration? migrated from where? why did them had to risk their lives and migrate throughout islands?

sawa kabisa mkuu.Tutazame fiziolojia ya binadamu tunayemuita wa kale zaidi.in some aspects anataka kufanana na primates.kwenye feeding mode,residence na mambo mengine.iwapo tunaamini kuwa binadamu wa kale amepitia badiliko toka kwa wanyama wenye jamii ya sokwe basi ukweli hautupeleki kuwa binadamu aliishi miaka million 150 iliyopita.ikiwa alikuwepo wakati huo aliishi wapi na alikuwa na umbo lipi.

sababu kubwa zinazofanya tutawanye wanadamu katika makudi ni mabadiliko ya mwili pamoja na ubadilikaji wa shughuli zao.tunaamini kuwa primates wameanza kuishi 60 million years bc but badiliko la kuwa na umbo la binadamu inadate back kwenye 2.5 au 3 million years bc.hapa tunapata picha kuwa binadamu ni wajuzi tu hapa.ingelikuwa wapo tangu zamani ingejulikana.mbona tunajua kuwa amphibians wameishi kuanzia miaka 360 millions bc.

uthibitisho huo unadhihirisha hata primates hawakuwepo wakati wa continental drift.ikiwa primates hawaitwi binadamu bali binadamu alitokana nao.basi suala li wazi kuwa bianadamu hakuwepo wakati huo.
 
Last edited by a moderator:
Nikipata nafasi nitaichangia thread hii; ni kati ya topics ambazo ninapenda kuzichangia kwa makini ila kwa sasa nitaiweka kiporo ili niendelee kufuatilia mijadala ya katiba.
 
Wakuu lumanyisa, Kituko, and mjasiria,
1. Hivi ni utafiti gani umeweza kusema beyond reasonable doubt kwamba mwanadamu wa kwanza aliishi duniani miaka X iliyopita na continental drift ilitokea miaka Y iliyopita?

2. kuna uhakika gani kwamba hakuna masalia ya kale zaidi kuliko hayo ya 50 million years ago?

3. In addition to that, ikiwa wataalamu hao wanaamini by the time of continental drift tayari kulikua na baadhi ya wanyama na mimea; and bila shaka na samaki, itashindikana nini basi kuwapo mnyama jamii ya mwanadamu?

4. Hivi ni kwmba wakati wa continental drift hapakuwa na mwanadamu au there's no eveidence kwamba mwanadamu alikuwapo? Ikiwa ni kwamba there's no evidence in the existence of human life, this's different to there's no human life!

5. Mkuu Kituko umesema blacks wa sehemu kama Papua New Guinea and the like, uwepo wao kule umetokana na human migration. Hapa nimeuliza swali ambalo bado sijajibiwa! Ikiwa ni result of human migration, what' was the motivation of their migration? migrated from where? why did them had to risk their lives and migrate throughout islands?[/QUOTE]


GT NasDaz naomba nikiri maswali uliyoyaweka yako so Challenging, na mengine yanahitaji maelezo ya Kina na reference nyingi, lakini kwa kifupi ngoja nijaribu kuyajibu kadriri nilivyokuwa "Brain washed"

1. kwa swali lako la kwanza, Utafiti Mkubwa ulifanyika na unaoendelea kufanyika ni ule wa Dating, kujua miaka ya matukio na evolution ya vitu (wanyama, wadudu na mimea), hapo ndipo palipokuwa na Relative dating (Age depending na events) na ile inayoitwa Absolute dating (Age in Numbers)

Relative DAting ni njia ya kulinganisha vitu ama matukio (correlations) unaweza kwa asilimia kubwa kujua ni kipi kilitangulia kabla ya kingine na hapa kuna principles nyingi zinazotumika kufikia hitimisho na ndio nikasema panahitajika muda wa kueleza kiundani, lakini miongoni mwa hizo principle kuna ile inayosema PRESENT IS KEY TO THE PAST, ikiwa inamaana kwamba geological events zote zinazotokea sasa zilishawahi kutokea huko nyuma na tunazitumia hizi za sasa kuelewa zile za nyuma zilitokeaje, mfano sasa kuna hii East African Rift valley, ni event ambayo inatokea sasa na tunaiwitness na tunaweza kuicalcualte lini inakuwa full opened (currently 12cm kwa mwaka), hichi cha East African rift valley opening kinatupa nafasi na evidence ya kujua ni kweli Pangea ilikuwepo na splits ilifanyika na continental drift ilikuwepo.
pili kuna principle ya FOSSILS SUCCESSIONS, ikiwa na maana kuwa kama hakuna geological disturbances zozote (Eathquakes, Volcanic eruptions nk), basi Fossils zinazopatikana chini ni older kuliko zile zilizo juu, kwa maana kwamba kama unachimbua chimo kubwa na ukaanza kuona masalia ya viumbe vya zamani, basi Mafuvu ya binadamu hayawezi kamwe kuwa chini ya masalia ya Dinnosauraus, na ikitokea hivyo basi kuna sababu ya kuwa hivyo

Pili kuna ile tunayosema ni Absolute dating ambayo inatumia C14 na Radiometric methods (Uranium, Pb nk), sio kweli kwamba zinaweza kuwa na precision ya 100%, lakini zinajitahidi angalau kuweka distinction ya vitu agewise. Kwa Mfano ukisoma vitabu vya dini kutoka uumbaji mpaka sasa si zaidi ya miaka 10,000, lakini ukija kwenye Radiometric inatuonyesha mpaka sasa dunia ina 4.5 billion years.

Kwa kutumia hizi njia Mbili kupitia Evidence za Fossils and Geological Events iliawezekana kujua Binadamu alikuwa lini na Continental drift ilitokea lini,


2. Uhakika ni kwamba hakujawahi kupatikana hayo masalia na pia ukifata ile relative dating yaani kuclasify vitu kutoka na events na evolution, Binadamu hafit zaidi ya hapo, Kufikia hiyo conclusion kuna vitu vingi vinakuwa correlated, kila kitu kilikuwa evolved wakati fulani la labda kuwa extinct wakati fulani, fossils zinazopatikana na Mazingira ndio zinasema hivyo,

3. Nadhani maelezo ya hapo juu yanaeleza vizuri

4. kuna ushahidi kuwa mwanadamu hakuwepo wakati wa Plate tectonics pamoja na wakati wa continental drift, na pia tukizama ndani zaidi mazingira ya wakati ule hayakusupport humani life (Palikuwa na formation ya rocks kama BIF-banded Iron Formation ambazo zilikuwa zina-consume oxgen nyingi wakati wa formation zake) , kuna maelezo marefu sana hapa na ndio maana nikasema hii kitu inahitaji muda mrefu,

5. They were Migrated from Africa,
sababu za kuMigrate ziko nyingi sana Mkuu, Nguni tribe chini ya Chaka Zulu walihama kutoka SA mpaka Tanzania, Malawi, Zambia na wana sababu zao, Wahehe asili yao ni Wandengereko na waliamia huko kwa sababu zao, Wanyiramba wana asili ya musoma na waliamia Singida kwa sababu zao, Waarabu hawakuwa Africa na waliamia Sudan kwa sababu zao,

hivyo kila human migrations zilifanyika kwa sababu zao, na hata hao wa Papua New Guinea nk waliama kwa sababu zao

CC: lumanyisa, mjasiria
 
Last edited by a moderator:
Wakuu lumanyisa, Kituko, and mjasiria,
1. Hivi ni utafiti gani umeweza kusema beyond reasonable doubt kwamba mwanadamu wa kwanza aliishi duniani miaka X iliyopita na continental drift ilitokea miaka Y iliyopita?

2. kuna uhakika gani kwamba hakuna masalia ya kale zaidi kuliko hayo ya 50 million years ago?

3. In addition to that, ikiwa wataalamu hao wanaamini by the time of continental drift tayari kulikua na baadhi ya wanyama na mimea; and bila shaka na samaki, itashindikana nini basi kuwapo mnyama jamii ya mwanadamu?

4. Hivi ni kwmba wakati wa continental drift hapakuwa na mwanadamu au there's no eveidence kwamba mwanadamu alikuwapo? Ikiwa ni kwamba there's no evidence in the existence of human life, this's different to there's no human life!

5. Mkuu Kituko umesema blacks wa sehemu kama Papua New Guinea and the like, uwepo wao kule umetokana na human migration. Hapa nimeuliza swali ambalo bado sijajibiwa! Ikiwa ni result of human migration, what' was the motivation of their migration? migrated from where? why did them had to risk their lives and migrate throughout islands?[/QUOTE]


GT NasDaz naomba nikiri maswali uliyoyaweka yako so Challenging, na mengine yanahitaji maelezo ya Kina na reference nyingi, lakini kwa kifupi ngoja nijaribu kuyajibu kadriri nilivyokuwa "Brain washed"

1. kwa swali lako la kwanza, Utafiti Mkubwa ulifanyika na unaoendelea kufanyika ni ule wa Dating, kujua miaka ya matukio na evolution ya vitu (wanyama, wadudu na mimea), hapo ndipo palipokuwa na Relative dating (Age depending na events) na ile inayoitwa Absolute dating (Age in Numbers)

Relative DAting ni njia ya kulinganisha vitu ama matukio (correlations) unaweza kwa asilimia kubwa kujua ni kipi kilitangulia kabla ya kingine na hapa kuna principles nyingi zinazotumika kufikia hitimisho na ndio nikasema panahitajika muda wa kueleza kiundani, lakini miongoni mwa hizo principle kuna ile inayosema PRESENT IS KEY TO THE PAST, ikiwa inamaana kwamba geological events zote zinazotokea sasa zilishawahi kutokea huko nyuma na tunazitumia hizi za sasa kuelewa zile za nyuma zilitokeaje, mfano sasa kuna hii East African Rift valley, ni event ambayo inatokea sasa na tunaiwitness na tunaweza kuicalcualte lini inakuwa full opened (currently 12cm kwa mwaka), hichi cha East African rift valley opening kinatupa nafasi na evidence ya kujua ni kweli Pangea ilikuwepo na splits ilifanyika na continental drift ilikuwepo.
pili kuna principle ya FOSSILS SUCCESSIONS, ikiwa na maana kuwa kama hakuna geological disturbances zozote (Eathquakes, Volcanic eruptions nk), basi Fossils zinazopatikana chini ni older kuliko zile zilizo juu, kwa maana kwamba kama unachimbua chimo kubwa na ukaanza kuona masalia ya viumbe vya zamani, basi Mafuvu ya binadamu hayawezi kamwe kuwa chini ya masalia ya Dinnosauraus, na ikitokea hivyo basi kuna sababu ya kuwa hivyo

Pili kuna ile tunayosema ni Absolute dating ambayo inatumia C14 na Radiometric methods (Uranium, Pb nk), sio kweli kwamba zinaweza kuwa na precision ya 100%, lakini zinajitahidi angalau kuweka distinction ya vitu agewise. Kwa Mfano ukisoma vitabu vya dini kutoka uumbaji mpaka sasa si zaidi ya miaka 10,000, lakini ukija kwenye Radiometric inatuonyesha mpaka sasa dunia ina 4.5 billion years.

Kwa kutumia hizi njia Mbili kupitia Evidence za Fossils and Geological Events iliawezekana kujua Binadamu alikuwa lini na Continental drift ilitokea lini,


2. Uhakika ni kwamba hakujawahi kupatikana hayo masalia na pia ukifata ile relative dating yaani kuclasify vitu kutoka na events na evolution, Binadamu hafit zaidi ya hapo, Kufikia hiyo conclusion kuna vitu vingi vinakuwa correlated, kila kitu kilikuwa evolved wakati fulani la labda kuwa extinct wakati fulani, fossils zinazopatikana na Mazingira ndio zinasema hivyo,

3. Nadhani maelezo ya hapo juu yanaeleza vizuri

4. kuna ushahidi kuwa mwanadamu hakuwepo wakati wa Plate tectonics pamoja na wakati wa continental drift, na pia tukizama ndani zaidi mazingira ya wakati ule hayakusupport humani life (Palikuwa na formation ya rocks kama BIF-banded Iron Formation ambazo zilikuwa zina-consume oxgen nyingi wakati wa formation zake) , kuna maelezo marefu sana hapa na ndio maana nikasema hii kitu inahitaji muda mrefu,

5. They were Migrated from Africa,
sababu za kuMigrate ziko nyingi sana Mkuu, Nguni tribe chini ya Chaka Zulu walihama kutoka SA mpaka Tanzania, Malawi, Zambia na wana sababu zao, Wahehe asili yao ni Wandengereko na waliamia huko kwa sababu zao, Wanyiramba wana asili ya musoma na waliamia Singida kwa sababu zao, Waarabu hawakuwa Africa na waliamia Sudan kwa sababu zao,

hivyo kila human migrations zilifanyika kwa sababu zao, na hata hao wa Papua New Guinea nk waliama kwa sababu zao

CC: lumanyisa, mjasiria

licha ya yote haya upande wa mtoa mada pia unaloswala.bado taarifa zinazotoka ni zenye mpingano kidogo juu ya lini haswa biadamu alianza kuishi.kuna yule binadamu aliyegundulika kuwa aliishi 55 million years bc hilo limedisturb yote yaliyosemwa mwanzo.na kuna miguu inayosemekana ni ya modern man imekanyaga eneo moja na dinosaur huko texas je tuseme kuwa waliwah kuishi wote zama hizo na jiwe linaonyesha limefukiwa miaka mingi kuliko binadamu tuliyepata kuambiwa ni wakale.

lakini mkuu swala la binadamu alishindwa kuishi kutokana na swala la formation of rocks mbonna tunaambiwa kuwa mammals wameanza kuishi 200 million bc.hao mamalia walipata wapi oksijeni hiyo plus wanyama wengine.nimemsemea zaidi mamalia kwakuwa binadamu tuko kwenye kundi hilo na tunashare tabia nyingi
 
Last edited by a moderator:
Mkuu huo ni msimamo wako na sijakataa lakini ukizama ndani kwenye the true meaning of intelligence IQ ndo kipimo sahihi cha akili. Uvumbuzi sio wote ni waakili mkuu.kuna wanasayanzi waligundu vitu kwa bahati mfano ni Louis Pasteur kugundua chirality of identical molecules au Thomas Edison na uvumbuzi wa bulb

Nitasimamia ninachokiamnini,kama na IQ yako kubwa umeshindwa kuvumbua hata kwa bahati, kuna faida gani kusomeka kwamba una IQ kubwa ?


Mkuu hapa hukunielewa. Sikusema hao wayahudi waliopata nobel prizes hawajafanya kitu ila wakati hizo kamati zinachagua kunakuwa na list ya wana sayansi myahudi anakuwa na chance kubwa zaidi kuchaguliwa kutokana na historia yake ngumu

hushindanishwa kwa RACE au Kwa matokeo ya utafiti yenye mashiko ? kama ni kwa kuangalia utaifa basi Noble Prize committe ni Bogus body.


Mkuu Jews wamegundua vitu zaidi kuliko wachina?!! Inawezekana unaangalia sana western media.Wachina wameanza kugundua vitu toka zamani kuanzia Gun Powder, Silk(wakati huo China pekee duniani ndo ilikuwa na uwezo wa kutengeneza silk) na mengine cheki link hapo chini
List of Chinese discoveries - Wikipedia, the free encyclopedia


Wewe unaangalia uvumbuzi kwenye Wikipedia, mimi naangalia uvumbuzi kwenye vitu vilivyopo katika maisha halisi ninayoishi (wala sipati kutoka western media kama unavyodai, unapata hamu ya kujua kitu fulani nani yuko nyuma yake kiuvumbuzi unafuatilia, ingawa kuna tatizo la chinese media kuzipata kwa lugha ninayoielewa kirahisi rahisi), hapo tuko kwenye frequens tofauti kabisa...
 
Back
Top Bottom