I am still thinking loudly! But India haipo loose pale ilipo, is totally attached to neighbors ambao also they look the same. Ukiwaangalia Wahindi, wa-Pakistan, Wa-Bangladesh, ni kama wamoja hawa na maeneo yao yamekuwa completely attached na Asia Continent (Central Asia) huku kukiwa na makabila ambayo yana-look like yalikuwa detached from China...haya ni kv Indonesia, Malaysia, Burma, including Japanese and Koreans...all are Chinese species.Asante Great thinker NasDaz, ki ukweli Australia haiukuwa detached moja kwa moja na East Africa, Australia ilikuwa mbele ya Madagascar na India, Actual India na Madagascar ndio zilimegeka kutoka East African coast
Mfano nilioutimia wa darasa saba umetokana na shocking explanation of your theory, kwa mtu kama wewe ambae ulikuwa unatumia muda mwingi sana jukwaa la siasa kwenye kuelimisha members kuhusu maswala ya gas na kutumia mifano ya kisayansi na facts.Pale ulipo-conclude kwamba mawazo ya wanafunzi wa darasa la saba nilitarajia uwe umeweka yale ya ki-PhD, but you didn't, instead ni kama umeishia tu kusema hawa wameandika hivi na kule wameandika vile bila kusema excatly nini hasa wameandika! That's one; second, I don't always rely on what other people say but what I think na ndio maana mada hii nikaileta jukwaa hili and not anywhere else.
Yap watu ujibizana na mara nyingi naona wengi huwa wana demand scientific facts ndio maana mtu hawezi kujianzia culture ya aborigines ya kiafrika kisa kaona ngoma wakati ngoma ni moja tu wakati ndani ya tamaduni kuna kuuwa sana wazee na disabled people (prior to settling), ways food are preserved, sharing of food and many things to do with moving people, this life style is not unique to them only. Anthropologists have discovered similarities are universal to all people living in such a way world wide, sasa kwanini mtu aseme ngoma au rangi ndio kigezo cha asili yao kuwa wana uafrika wakati ngoma zinapigwa pia na zinachezwa na wazungu/wahindi huko ndani ya amazon na wanafanana sana na hawa watu kitabia si unaweza kusema wana asili hizo na eskimo je? tunaishi dunia ya evidence based hypothesis uwezi kujianzia tu it is unacceptable.Kama hujalifahamu vizuri hili jukwaa, ni kwamba, pamoja na kujadili masuala ya intelejensia/undercover issues, jukwaa hili pia hutumika na watu wanao-think differently from how other people think! Na ndio maana, with a lot of scriptures claiming things like existence of God, jukwaa hili utakutana na mawazo kwamba there's no such thing like God! Hili ni jukwaa ambalo kwa watu ambao wanaamini tofauti na maandiko kadhaa wa kadhaa, wanaweza kueleza vile wanavyofikiri hapa!! Kwamba, kuna maandishi mengi bado haiwezi kusaidia coz' ulitakiwa kusema hayo maandishi mengi yameandika nini. UKiyaandika, watu wataya-jaji ingawaje ni vizuri wakati mwingine mtu ukitumia tu uwezo wako wa kufikiri badala ya kila kitu kujikita na what other people say. Na ndio maana, hata ukiangalia wachangiaji wengine, kila mmoja kasema anachokifahamu au kukiamini.
Ina maana wamepashapata kuhusishwa na Watanzania hapo nyuma? Just wanted to know.
Sijui hapa wanaangalia vigezo gani, manake kwa muonekano...hasa kwa kuangalia nywele zao, hawafanani na wa-SA. Kwa kungalia Australia shape, doesn't fit anywhere in SA, if not East Africa, I can bet somewhere in Mozambique! Na hawa jamaa bana, ukiacha nywele zao, ni full WAMAKONDE, kama sio wa kule Mtwara basi watakuwa wa NCHUMBIJI!!!
Mkuu Jerry inaonesha unawafahamu vizuri hawa watu...nadhani hapa kwenye muonekano ndipo pa kuanzia. The guys, sure, with their hairs, they look like Indians. Let's try this. First let's assume Sri Lanka's position is the result of plate tectonic. Let's push it gently north-west; ni kama ina-fit somewhere south India; pale kwenye chogo pointing south. Then let's push Australia north west as well. Ukiangalia ramani ya Australia pale north, utaona kuna shimo. Hili shimo ni kama lina-fit ile sehemu ya chini ya India+Sri-Lanka! Na ukiwaangalia wa-Sri-Lanka, ndo wanafanana zaidi na hawa wa-Aborigines. Aidha, uki-extend zaidi western part of Australia, ni kama inakuja ku-fit somewhere in East Africa. Ukichanganya hayo mawili, it's like, after first pale tectonic, western part of Australia ikawa detached from East Africa but ikawa imeshikana na southern part of India/Sri-Lanka. Hata hivyo, ikawa is like a narrow part of India, ikawa imeshikilia a very large mass of the whole detached part from E.A to the point ikafika wakati ikashindwa kuhimili. Ile large mass ikanyofoka downwards na kuondoka na baadhi ya Wahindi wa Sri-Lanka! The large mass now ikawa na two species, Africans and Indians, particularly from south, or probably Sri-Lanka! hapa ikatokea cross breeding, between Africans and Indians, ikaja product ambayo ni black skins with Indian hairs!!! Anyway, ni mtazamo wangu...
What am trying to say, is like, before plate tectonic, western part of Australia was detached from somewhere in E. Africa or probably Horn of Africa as others suggest. W
Kwenye mgogoro wa Tanzania na Malawi-kuhusu ziwa nyasa, watafiti walisema hii ramani ya Tanzania imekosewa so kuna ramani nyingine ili tu kuonesha ziwa nyasa lipo Tanzania. .hizi ramani tunazotumia tumeletwa na wadhungu with all borders, michoro ya satellite Haijakidhi haja bado, na ndio maana mpaka leo zimepita siku 8 ile ndege ya Malaysia haijaonekan mpaka leo na mateknologia yote yaliyokuwepo nowadays! ! Hapa ninamaanisha hata hizo tectonic forces hazijaprove uwepo wake! ! Na miaka mingi imepita Our earth is samr as all the world and its geo...ni nature tu imeumbwa hivyo basi.
Kwenye mgogoro wa Tanzania na Malawi-kuhusu ziwa nyasa, watafiti walisema hii ramani ya Tanzania imekosewa so kuna ramani nyingine ili tu kuonesha ziwa nyasa lipo Tanzania. .hizi ramani tunazotumia tumeletwa na wadhungu with all borders, michoro ya satellite Haijakidhi haja bado, na ndio maana mpaka leo zimepita siku 8 ile ndege ya Malaysia haijaonekan mpaka leo na mateknologia yote yaliyokuwepo nowadays! ! Hapa ninamaanisha hata hizo tectonic forces hazijaprove uwepo wake! ! Na miaka mingi imepita Our earth is samr as all the world and its geo...ni nature tu imeumbwa hivyo basi.
Tuko, Thanks kwa kunifungua kwamba kuna theories nyingi...lakini kama ni Madagascar ndio ilikuwa detached somewhere in East Africa, mbona shape yake doesn't fit anywhere? But when you look Madascar careful, it fit somewhere in Mozambique. Even Australia itself, kwa kuangalia shape yake, doesn't fit anywhere in Madagascar. Look the map.
ahahahah mtapotoshwa huko misikitini mpaka basi unapingana na historia but najua nimtazamo wako na jinsi ulivyomezeshwa sumu
Hebu twende taratibu manake naona una-overreact! Hivi kuna mahala popote kwenye post yangu niliposema kwamba hiyo ndo existing FACT? Does it require any university degree kuona kwamba nilichokiandika kinatokana na personal judgement? Look one of my statement here: If so, can we at least hypothesize kwamba asili ya wa-Aborigines ni East Africa, Tanzania in particular? Does it sound like factual statement? Hypothesis isn't fact, according to Oxford Advance Learner's Dictionary: Hypothesis is an idea or explanation of something that is based on few known facts but that has not yet been proved to be true or correct. Under this subject the idea behind is the root of Aborigines basing on few facts like plate tectonic and Aborigines' color. Hypothesize is to suggest a way of explaining something when you don't definitely know about it. Ukiyaona hayo, utagundua kwamba hakuna fact yoyote niliyotoa but rather hypothesis ikiongozwa zaidi na persona judgement. Aidha, kuna sentensi nyingine hii hapa: Yaani assume umesimama na mtu mnaongea; ghafla dunia ikameguka na kuwatenganisha na kina kirefu cha maji. Si kwamba hamuonani, mnaonana lakini unashindwa kuruka urudi ulikotokea! Hili ndilo liliwakumba wa-Aborigines? Na kutokana na detached land ku-move away south east ndipo hatimae pande lile ambalo leo hii tunaliita Australia lilisafiri na ndugu zetu wa-Aborigine?"Mfano nilioutimia wa darasa saba umetokana na shocking explanation of your theory, kwa mtu kama wewe ambae ulikuwa unatumia muda mwingi sana jukwaa la siasa kwenye kuelimisha members kuhusu maswala ya gas na kutumia mifano ya kisayansi na facts.
Sasa iweje leo uje na thread bila ya kuzingatia scientific facts, uwezi tu ukaangalia ramani ya dunia na kutumia ndio kama kigezo cha facts, wakati kuna field experts wengi such as (geologists, anthropologists and historians )wameandika extensively and scientifically on the subject of both Pangea and human migration with peer reviews. Kwa hivyo kukosoa siitaji kuwa na Phd bali na angalia tu kama kuna facts ambazo zipo sawa so far there is no evidence of modern human existence during that geological time scale, sasa wewe umeitimisha vipi kwamba hawa jamaa walisogea na dunia, wakati hakuna hizo evidence ndio maana nika kuuliza kwanza kulikuwa hata na life as we know it today inabidi ujue ushahidi wa modern man unarudi mpaka wapi na dunia imetawanyika lini then uje na assumption kama zako vinginevyo zinakuwa ni hadithi za ku-associate tu kama mwelekeo wa thread yenyewe bila ya facts, sasa uoni kama ni utoto huo.
In this paragraph, WHOLE OF PARAGRAPH you've talked about culture and other similar stuffs! Labda inabidi niipitie tena na tena post yangu mwenyewe kuona nilipozungumzia na/ama kuhusisha culture na Aborigines! Nimerudia mara kadhaa, sijaona, but sitachoka.Yap watu ujibizana na mara nyingi naona wengi huwa wana demand scientific facts ndio maana mtu hawezi kujianzia culture ya aborigines ya kiafrika kisa kaona ngoma wakati ngoma ni moja tu wakati ndani ya tamaduni kuna kuuwa sana wazee na disabled people (prior to settling), ways food are preserved, sharing of food and many things to do with moving people, this life style is not unique to them only. Anthropologists have discovered similarities are universal to all people living in such a way world wide, sasa kwanini mtu aseme ngoma au rangi ndio kigezo cha asili yao kuwa wana uafrika wakati ngoma zinapigwa pia na zinachezwa na wazungu/wahindi huko ndani ya amazon na wanafanana sana na hawa watu kitabia si unaweza kusema wana asili hizo na eskimo je? tunaishi dunia ya evidence based hypothesis uwezi kujianzia tu it is unacceptable.
Mkuu wangu Kituko,Kaka hapo (kwenye highlight nyekundu) naona kama unataka kulazimisha vitu viwili ambavyo vilikuwa kwenye epoch/era/Period tofauti, plate tectonics ambayo tunaweza kusema ile major iliyovunjavunja Pangaea ilikuwa kwenye period ya Cretacious around 145mil labda mpaka Paleocene around 55mil years wakati ambapo India subcontinent ina collide na Asia na kuanza kuform Himalaya mountains 45mil years,
Mpaka sasa hakuna scientific evidences zinazoonyesha na kuprove kuwa wakati wa hiyo plate tectonichs kulikuwa na binadamu au likes. Facts zinaonyesha kulikuwa na wanyama au rather viumbe vilivyokuwepo wakati huo na baadhi walitumiwa na Alfred Wegner kuishawishi dunia kwa mara ya kwanza kuwa dunia ilikuwa moja kabla ya plate tectonics na continetal drifts.
infact data zinaonyesha kuwa Apes ambao tunaweza kusema ndio species za binadamu ziliappear around Neogene-Miocene period around 23 to 7mil years, ambayo ni too recent kulinganisha na plate tectonics and continetal drifts.
hivyo hapo kwenye Nyekundu haiwezi kuwa sahihi kusema watu wa Africa walimove/drifts na broken subcontinents na kwenda kucollide kwenye cont' zingine
hapo kwenye Nyeusi ni kweli crossbdreeding ya Wa Africa na Hao Wahindi ilifanyik a na ndio ikatengeneza hiyo species ya hao Aborigenes, lakini ilifanyika wakati wa Human migrations
Mkuu wangu Kituko,
Aborigines ambao historia yao is far back 40K to 80K walishakuwa na uwezo wa kuvuka bahari from unknown spot to Australia! Does it make any sense? Wale wazungu hatuna shaka nao, tunafahamu wapi walitoka...what about these dark skinned people with indian hairs? Iwe East or South Africa kama wengine wanavyosema....walifikaje fikaje kule coz' it's hard to believe kwamba by that time, walikuwa na uwezo wa ku-sail through ocean!!
Hapana mkuu wangu, bado nipo kwenye MSTARI/MADA. Tukichukulia ulipo-highlight, nilichokuwa najaribu ku-defend hapo ni kwamba kuna dalili Aborigines hawakufika Australia through migration or something like that...hapa tunazungumzia jamii ambayo imekuwapo pale more than 40K years ago. Hata kama hakuna ushahidi kwamba blacks hawakuwa na uwezo wa ku-sail/kukata bahari (not any means of travelling...by foot kama walivyokuwa wamefanya wayahudi, it's possible) lakini bado pia napata taabu kuamini ikiwa 40K years ago (ikiwa ni kweli wapo pale kwa miaka yote hiyo) kulikuwa na mwanadamu (not only black, but any) aliyekuwa na uwezo wa kusafiri through ocean! Kama mtu alishakuwa tayari ku-risk na kusafiri baharini basi lazima kulikuwa na motivation factor...hapa bado hapajibiki!!Mkuu NasDaz,
naona soon tutatoka nje ya mada, maana nishaanza kuona dalili za kuongea mambo yasiyohusiana hapa,
Mkuu, sipati picha ni kwa ushahidi gani unasema hao blacks walikuwa hawana uwezo wa ku-sail, au uwezo wa aina yoyote ya kusafiri au ku cross bahari?
Point ni hivi, Kuna historia kubwa sana ya watu weusi hapo Nyuma ambayo haikuandikwa au iliharibiwa kwa makusudi tu ili kuwafanya watu weusi wawe inferior, mtu mweusi alishawahi heshimika sana Duniani hata kwenye Royal families za Portugal, Greek na hata ndani ya British empire na waliheshimika kutokana na historia yao ya hapo Nyuma.
ndio maana nasema tutatoka nje ya Mada Black People And Their Place In World History
Hapana mkuu wangu, bado nipo kwenye MSTARI/MADA. Tukichukulia ulipo-highlight, nilichokuwa najaribu ku-defend hapo ni kwamba kuna dalili Aborigines hawakufika Australia through migration or something like that...hapa tunazungumzia jamii ambayo imekuwapo pale more than 40K years ago. Hata kama hakuna ushahidi kwamba blacks hawakuwa na uwezo wa ku-sail/kukata bahari (not any means of travelling...by foot kama walivyokuwa wamefanya wayahudi, it's possible) lakini bado pia napata taabu kuamini ikiwa 40K years ago (ikiwa ni kweli wapo pale kwa miaka yote hiyo) kulikuwa na mwanadamu (not only black, but any) aliyekuwa na uwezo wa kusafiri through ocean! Kama mtu alishakuwa tayari ku-risk na kusafiri baharini basi lazima kulikuwa na motivation factor...hapa bado hapajibiki!!
But all in all, thanks kwako na stroke kwa link mlizotoa. Wacha nijifunze zaidi coz' kama nilivyosema hapo awali, sina ufahamu mkubwa wa history(done it up to form II) na jiography wasn't subject of my interest hata kama nilifika nayo form iv.
Mkuu nia na madhumuni ya kukosoa aikuwa kulumbana kusiko na tija tunaishi kwenye dunia ambayo elimu ina demand kufikiria kwa facts, evidence or theoretically kuanzia O'level, let alone huko juu. Mfano hata kwenye literature tu a fictional writer (unless it is a science fiction) hawezi kuandika kwamba alienda porini sijui akakutana na some ape ambae anadhani ni cross breed kati ya chimpanzee na orangatung somewhere in pacific islands. Mtu ataona mh hivi hawa apes wanatamaduni za ku-cross breed, halafu hata wapo katika hizo regions mpaka mtu adai hivyo.Hebu twende taratibu manake naona una-overreact! Hivi kuna mahala popote kwenye post yangu niliposema kwamba hiyo ndo existing FACT? Does it require any university degree kuona kwamba nilichokiandika kinatokana na personal judgement?
This is typical justification ya wadau wengi wanaposhindwa kutetea hoja zao kwenye JF wanaanza vitu vingine kabisa.Look one of my statement here: If so, can we at least hypothesize kwamba asili ya wa-Aborigines ni East Africa, Tanzania in particular? Does it sound like factual statement? Hypothesis isn't fact, according to Oxford Advance Learner's Dictionary: Hypothesis is an idea or explanation of something that is based on few known facts but that has not yet been proved to be true or correct. Under this subject the idea behind is the root of Aborigines basing on few facts like plate tectonic and Aborigines' color. Hypothesize is to suggest a way of explaining something when you don't definitely know about it. Ukiyaona hayo, utagundua kwamba hakuna fact yoyote niliyotoa but rather hypothesis ikiongozwa zaidi na persona judgement. Aidha, kuna sentensi nyingine hii hapa: Yaani assume umesimama na mtu mnaongea; ghafla dunia ikameguka na kuwatenganisha na kina kirefu cha maji. Si kwamba hamuonani, mnaonana lakini unashindwa kuruka urudi ulikotokea! Hili ndilo liliwakumba wa-Aborigines? Na kutokana na detached land ku-move away south east ndipo hatimae pande lile ambalo leo hii tunaliita Australia lilisafiri na ndugu zetu wa-Aborigine?"
So, unaposema eti "nahihitimisha", then am sorry to say you're completely MISTAKEN otherwise kusingekuwa na lots of questions....labda ni kama unachanganya kati ya FACTS AND OPINIONS...tofautisha hayo mambo mawili.
Hands up, i though someone mentioned something of the parallel somewhere, ooops my bad.Labda inabidi niipitie tena na tena post yangu mwenyewe kuona nilipozungumzia na/ama kuhusisha culture na Aborigines! Nimerudia mara kadhaa, sijaona, but sitachoka.
Mkuu mi sio mgeni kwenye hizo tectonic forces na continental drift-tumezisoma sana, ni theories za watu tu kuweka science ikubalike, ofcoz kuna lots of other forces inside the oceans ans well as beneath OUR earth, my point ni kwamba Je hizo forces ni kweli ziliitenganisha ulimwengu na mabara yake??? Au ni just assumptions tu kwamba uwepo wa hizi forces majabari yamegongana some millions years ago basi zikatokea africa, shelisheli, aasia nk>!!Mkuu unaandika kuwa tectonic forces hazipo? Do you have any knowledge of elementary geography?Ushawah kuskia kitu kinachoitwa seismic prospecting?
Mkuu uwepo wa other species in different positions doesnt mean the existence of tectonic forces...mfano mdogo tu kuna wanyama ambao wanapatikana Australia tu dunia nzima...Kangaroo found only in Australia, how do u say on ur theory of continental detachment ?Kaka hizo forces zipo na hiyo plate tectonics na Contental drifts theories ziko proved.
sasa kwa mfano unapanda juu ya mlima mrefu kabisa - Himalaya mountains chains na kule juu kabisa unakutana na Makonokono yanayopatikana Baharini tu (Exclusive marine), na hayo makonokono hawawezi kutambaa zaidi ya kuogelea tu na unayakuta kwenye urefu wa 23,600ft (7,200m) above sea level sasa yalifikaje kule juu?
Nimeshaona tofauti ya msingi kati yangu na yako. For you, this item is there because it's meant to be there wakati mimi nitauliza ama kujiuliza why it's there! YES, kuna black stuffs in Oceania but I'll still ask myself why they're there! I'll always ask myself why does this exist this way instead of that way…na ndio maana kwenye jamvi hili hili nimepata ku-question credibility ya Kuran and Bible! Na ndio maana kwenye jamvi hili hili nimepata kuhoji kwanini Mungu aliye mwema aliwapiga changa la macho Wayahudi pale alipowaahidi nchi ya maziwa na asali, na kudai kwamba angewapa a VAST land na badala yake walichonacho Wayahudi hivi sasa is just a STRIP of land full of mountains instead of maziwa na asali; na badala yake aka-offer hivyo vitu kwa wabaya wa Wayahudi; Waarabu!!!Mkuu nia na madhumuni ya kukosoa aikuwa kulumbana kusiko na tija tunaishi kwenye dunia ambayo elimu ina demand kufikiria kwa facts, evidence or theoretically kuanzia O'level, let alone huko juu. Mfano hata kwenye literature tu a fictional writer (unless it is a science fiction) hawezi kuandika kwamba alienda porini sijui akakutana na some ape ambae anadhani ni cross breed kati ya chimpanzee na orangatung somewhere in pacific islands. Mtu ataona mh hivi hawa apes wanatamaduni za ku-cross breed, halafu hata wapo katika hizo regions mpaka mtu adai hivyo.
The point i am trying to make when some people read also look at the existing facts or knowledge na akiona kama ulivyokuja wewe it is very disappointing and tiresome kwa mtu mzima kuandika hivyo maana hivyo vitu haviruhusiwi anyway kwenye society nayoishi mimi. Unless unamwandikia mtoto habari za polar-bear kumpokea salmon kwa ukarimu uliopitiliza hili kumfundisha ubinadamu, lakini in real life salmon akiingia tu kwenye streams za polar regions anakuta bear anamsubiri kama lishe muhimu sana kwa ustawi wake.
Sasa wewe huwezi kuandika habari hata kama ni assumptions without taking a little trouble on finding facts aborigines or people with similar features are scattered all over the isles of pacific ocean na bado ukirudi papua new guinea kuna bantu nyeusi kabisa hawa je wametokea wapi in between? na wapo karibu na continent gani zaidi. Ndio uangalie ni sawa kweli uanzishe thread yenye element za kisayansi na mwongozo rahisi kama ulio anza nao, kama mchangiaji nilitakiwa kuendeleza argument mbele na si kurudisha thread nyuma kwa kuuliza facts za maandishi yako, facts ambazo ulitakiwa uzizingatie mleta mada sio mimi.
This is typical justification ya wadau wengi wanaposhindwa kutetea hoja zao kwenye JF wanaanza vitu vingine kabisa.
Hands up, i though someone mentioned something of the parallel somewhere, ooops my bad.