Je Waarabu hawajui Adui Yao?

Je Waarabu hawajui Adui Yao?

Mtume Muhammad kaja kakuta waarabu wanachinjana ,na kaondoka kawaacha wanachinjana ,hawa wanavisasi vyao vya tangu na tangu uko,na hata wazungu wanaanziaga hapo kufanikisha ajenda zao,
 
Hakika kinachoendelea Syria kinatisha, Waarabu wameendelea kutokujua adui yao namba moja ni nani! Ili washughulike nae bado hawajajiuliza vyema na kujibu swali hili ipaswavyo. Je ni Iran, je ni Urusi! Je ni misimamo Yao ya kidini au ni Marekani na washirika wao ikiwemo Israel?
Ni ajabu Waarabu wamekuwa wakipigania kitu ambacho hakijawahi kuwa ni jambo safi kwao! Kinawaangamiza na kuwatafuna. swala la demokrasia ya Kimagharibi ! Demokrasia inayowataka wao kuwa wapiga kelele bila kushughulikiwa na watawala, demokrasia inayowafanya wavae kama wamagharibi, waoane wa kiume na kiume na wa kike aolewe na wa kike mwenzake. Haya yote si jadi yao, wao ni wafuasi wa Uislam na ajabu zaidi Uislam hautaki na hautoi uhuru huo wa kidemokrasia ya kimagharibi wautakao.

Kama ni uongo nitajie nchi moja tu ya kiarabu inayofuata mrengo wa demokrasia ya kweli ya kimagharibi na Haina makelele.
Ajabu ni kwamba katika upiganiaji huu wa uhuru mpya wa kidemokrasia wanashindwa kupigana wakiwa neutral. Imekua ni lazima wajifungamanishe vilivyo, na dini hiyo ya Kiislam. Hapa utaona makundi mbalimbali yenye silaha kama FSA wakipigana dhidi jeshi la Syria, utaona pia ISIS, Al Qaeda, nk.
Wengi wa makundi haya hufadhiliwa na US, Israel, Ufaransa, Uingereza , Turkey ,Qatar, Saudia nk. Makundi yote haya wana silaha nzito lengo lao ni kuziondoa serikali zao za kiimla utaona Kule Libya na Egypt lakini wanapoingia madarakani hakuna wanachobadilisha. Hali za kiuchumi huwa ni mbaya zaidi, hali za kibinadamu mbaya zaidi, watu huchinjwa kama kuku.

Waarabu hawana malengo ya pamoja ya kuunganisha jamii zao zenye dini tofauti na misimamo tofauti kujenga nchi zao ziwe bora zaidi kijeshi, kiuchumi, na kijamii. Wanajisahau hata Wamarekani kuna jamii mamia zenye dini, mirengo, na itikadi tofauti lakini linapokuja swala la utaifa na utambulisho wao si dini wala U -democratic au U- Republic huyumbisha Imani ya kuijenga Marekani iliyo na nguvu zaidi kijeshi, kisasa na kiuchumi kuliko yeyote duniani.

Je ni kweli Waarabu hawajui adui yao namba moja, Waarabu wa Leo ni walaini laini. Hawana nguvu ! Wao Kila kitu kisemwacho na US ni ndio. Hebu ona hili. Kwani unafikiri Kuwait, SaudiArabia, na Qatar ni nchi ambazo Marekani inazipenda sana kwasababu wanafuata demokrasia ya Kimagharibi? Jibu ni Hapana yenye Herufi kubwa. Yes Hapana.
Wamarekani wameshawafunga Kwa kuhakikisha hawataenda kinyume na maslahi yao. Ndio maana hapo Saudia watu huchinjwa vibaya Kwa makosa ya uzinifu na pengine hisia za upinzani dhidi ya ufame huo!

Lakini je uliwahi kusikia Wamagharibi wakipiga kelele kubwa na nzito juu ya uvunjifu mkubwa wa amani ufanywao na taifa hili?
Syria juzi Kwa msaada mkubwa wa Silaha na Intelijensia kutoka Marekani ,wamemuondoa kiongozi wao aliyeongoza kwa muda mrefu kabisa miaka ishirini na nne,wanasahau kwamba Marekani anaupinga utawala wa Syria wa miaka 53 lakini Mmarekani huyohuyo anaushabikia kuukumbatia na kuuenzi utawala wa kimabavu wa Qatar, Kuwait, Oman na UAE wa miaka nenda rudi.

Je halitoshi kuwa fundisho Kwa Waarabu wengine wote kwamba kuwa against US ni sumu kuu ? Kwamba ukiamua hivyo kuwa tayari Kwa uasi, vita na vikwazo?
Je halitoshi hili kuwa ni fundisho waungane zaidi kujenga zaidi mataifa yao?

Baada ya serikali ya Syria kuanguka Israel iliamua kuingia Syria kama sehemu ya uwanja wa bibi. Syria imesambaratika , Syria Haina jeshi tena, silaha zote maelfu za former Syrian Army zinashambuliwa kuangamizwa ziishe kabisa. Kwa wenye akili taifa kama Syria kuongozwa na Wanamgambo ni fedheha. Fedheha kuu isiyomithilika.

Je hili halitoshi kuwa fundisho kwao kwamba adui yao hakuwa Assad?
Ni huzuni kubwa Leo Syria taifa kubwa la kihistoria dahari Kwa dahari haina jeshi la ulinzi. Ajabu ni kwamba Kwa kujua au kutokujua Waarabu wanashangilia.
Poleni sana Waarabu!
Karibuni sana.
Mwisho.
Adui mkubwa wa mwarab ni mwarab mwenzake, hii jamii ni wanafiki sana na hata dini yao imejaa unafiki tu.
 
Makaburi ya halaiki yapatayo 50 ambayo kila moja linakadiriwa kuwa na miili takriban 200,000 na kuendelea yamegunduliwa huko Syria.

Dikteta Assad anaweza kurudishwa Syria na kupandishwa Kizimbani.
 
KWa sasa wana civil war, ile ikivamia ni kama nzige inakula kila kitu cha kijani.
kuondoka Asad, ilikuwa hatua ya kwanza, wapeni muda wakae wakubaliane muundo bora wa kujiongoza, katiba iweje na mengine.
Msiwashambulie kwa dini na uarabu wao, nadhani walipaswa kupongezwa kwa hatua waliyofikia.

Sisi hapa tuna TAWALIWA na CCM na hatujui tutokeje tulipo.

Wao wamepigana na mwisho wamemshinda MTAWALA DHALIM, Asad.

Kila kitu kina hatua, naamini watatoka walipo na wayasonga mbele wakiwa wamoja na wenyefuraha
USA, walikuwa na civil war, ilipoisha sasa wanakimbiliwa kwa misaada mbali mbali, Syria watavuka hatua hiyo pia.

Bravo SYRIA!
 
1. Mwaarabu hana akili, wauane wao halafu wawasingizie Marekani na washirika zake. Wewe ukamuue baba yako na mama yako halafu uwadanganye watu umedanganywa. Uwaite watu makafikiri halafu hao makafikiri ndiyo wakufadhili ukafanye ugaidi😀😀😀
Ukitaka kujua hawana akili angalia wafuasi wao, Zanzibar wakifunga wanatembea na mafimbo kuchapa watu wanaokula hadharani au kupika. Umefunga bado unapiga watu😀😀😀
2. Ni jamii ya watu wanaopenda kuana, vita na fujo. Mfano mzuri Sudani, Waarabu wanawaua watu weusi haijalishi ni dini gani ili wabaki wenyewe. Msumbiji (ISIS), Boko haramu (Nigeria), Syria, Libya.
3. Ubaguzi wa dini, katika watu wenye ubaguzi waarabu wa kidini mpaka race. Tunisia mhamiaji mweusi alichomwa na kisu na kufa kisa hawataki wahamiaji kwasababu wanaweza kuweka makazi na wakaishi na kuzaa na dada zao ila ajabu hao wahamiaji wakifika ulaya wanapewa uraia na makazi😕 Pakistani au Afghanistan washia na wasuni wameuana. Waislamu ukiwaambia ni nchi gani ungependa ukatafute ukaishi huko kama raia? Wengi watataja Marekani, Uingereza, Austaria, Canada, China
Hii dunia ingekuwa waarabu (nchi za waislamu) ndiyo super power watu ambao wangekuwa siyo waislamu wangekuwa wanauawawa na kubaguliwa hata kunyimwa huduma za kijamii kisa siyo waislamu. Wao wakiwa wengi wanapitisha sheria zao kama Zanzibar ila kamwe hutasikia hivyo kwenye nchi ambazo zina wakiristo wengi
UKiitazama jamii ya Waarabu, kwa kweli ni kama jamii iliyolaaniwa. Pamoja na utajiri wa mafuta, lakini wamekuwa watumwa wa mateso, na uovu wao mwingi umefichwa katika dini ya kiislam. Wanawatesa watu wao, huku wakiwa wamajaa unafiki mkuu.

Fikiria, nchini Saudia ni marufuku kutengeneza, kufanya biashara au kutumia pombe, lakini Saudia ndiyo nchi inayoongoza Duniani kwa uagizaji wa mitambo midogo ya kutengebezea pombe majumbani toka Marekani!! Ukishuka uwanja wa ndege mjini Riadhi kuna watu wapo kutizama wageni walioshuka kwenye uwanja wa ndege, kisha wanakuuliza kama unataka pombe au mwanamke, uwaelekeze ili wakuletee hotelini.

Nimeenda Zanzibar, mabinti wanaofanya kazi kwenye mahoteli ya kitalii, wanatoka majumbani wamevaa mabaibui, na vibegi vyao. Kabla ya kuingia kazini, wanapiga miniskirts kali.

Pale Dubai, mabinti wanaohudumu ndani ya ndege, miniskirts kali, wakienda huko mitaani ni mwendo wa baibui!

Kuna matajiri wakubwa wa UAE, wakati wa msimu wa joto, wanasingizia kuwa ni kwa sababu ya joto kali, wanaondoka nchini kwao, wanaenda nchi za Ulaya, Canada na Marekani. Huku wanakaa kwa mwezi 1, miezi 2 hadi 3. Huko wanapiga starehe na anasa za kila aina.

4. Kuna baadhi ya mataifa ya kiarabu wanasisitiza mabinti ni lazima waolewe wakiwa mabikira, na kama ukimwoa binti halafu ukaona siyo bikira una uhuru wa kumwacha au kuendelea naye. Matokeo baadhi ya mabinti ili waolewe wakiwa mabikira, kabla ya kuolewa ni mwendo wa kuingiliwa kinyume na maumbile. Baadaye hawa vijana (mabinti na wanaume) hata wakiolewa au kuoa, inageuka kuwa ndiyo tabia yao. Haya mambo ya uhayawani ya ufirauni, jamii ya waarabu ipo juu kuliko jamii yoyote, ila wanaojulikana ni wazungu kwa sababu wazungu wameweka wazi.
5. Nilishangaa wakati nimeenda Zanzibar, nikamtafuta muongozaji, anaanza kuniuliza kama nataka mwanamke! Sikutegemea kuulizwa juu ya mambo hayo Zanzibar. Tanganyika na nchi mbalimbali za Afrika sijawahi kuulizwa juu ya mambo hayo, nje ya Afrika nimewahi kuulizwa mara 2; halafu nakuja naulizwa Zanzibar. Na ukiona hivyo, ina maana wateja wa namna hiyo na watoa huduma hiyo, wapo wengi Zanzibar!!

Kiuhalisia, hawa watu wamejaa unafiki mkubwa.
 
Kuna Shida Mahali Haiwezekani Waafrica Na Waarabu Akili Zifanane Tofauti Ndogo Sanaa hilo ni Kweli Yani majitu hayani akili Kabsa
Waarabu na waafrika wanasumbuliwa sana na ubinafsi. Ndiyo maana wapo tayari kushirikiana na mwovu yeyote ili mradi yeye binafsi anufaike!!


Katika hali ya kawaida, ungetegemea kuwepo na Mtanganyika aunge mkono au atumiwe kukamilisha uporwaji wa rasilimali za Tanganyika kama bandari, mbuga za wanyama na hifadhi za misitu? Lakini kwetu imewezekana. Akina Musukuma, Mwigulu na maCCM wengi, mpaka wanatokwa na mapovu kutetea uporwaji wa rasilimali asilia za nchi unaofanywa na wageni!! Lakini yote hayo ni kwa sababu yeye binafsi kapewa pesa, V8, nyumba mjini Dubai, na rushwa ya cheo!!
 
Hakika kinachoendelea Syria kinatisha, Waarabu wameendelea kutokujua adui yao namba moja ni nani! Ili washughulike nae bado hawajajiuliza vyema na kujibu swali hili ipaswavyo. Je ni Iran, je ni Urusi! Je ni misimamo Yao ya kidini au ni Marekani na washirika wao ikiwemo Israel?
Ni ajabu Waarabu wamekuwa wakipigania kitu ambacho hakijawahi kuwa ni jambo safi kwao! Kinawaangamiza na kuwatafuna. swala la demokrasia ya Kimagharibi ! Demokrasia inayowataka wao kuwa wapiga kelele bila kushughulikiwa na watawala, demokrasia inayowafanya wavae kama wamagharibi, waoane wa kiume na kiume na wa kike aolewe na wa kike mwenzake. Haya yote si jadi yao, wao ni wafuasi wa Uislam na ajabu zaidi Uislam hautaki na hautoi uhuru huo wa kidemokrasia ya kimagharibi wautakao.

Kama ni uongo nitajie nchi moja tu ya kiarabu inayofuata mrengo wa demokrasia ya kweli ya kimagharibi na Haina makelele.
Ajabu ni kwamba katika upiganiaji huu wa uhuru mpya wa kidemokrasia wanashindwa kupigana wakiwa neutral. Imekua ni lazima wajifungamanishe vilivyo, na dini hiyo ya Kiislam. Hapa utaona makundi mbalimbali yenye silaha kama FSA wakipigana dhidi jeshi la Syria, utaona pia ISIS, Al Qaeda, nk.
Wengi wa makundi haya hufadhiliwa na US, Israel, Ufaransa, Uingereza , Turkey ,Qatar, Saudia nk. Makundi yote haya wana silaha nzito lengo lao ni kuziondoa serikali zao za kiimla utaona Kule Libya na Egypt lakini wanapoingia madarakani hakuna wanachobadilisha. Hali za kiuchumi huwa ni mbaya zaidi, hali za kibinadamu mbaya zaidi, watu huchinjwa kama kuku.

Waarabu hawana malengo ya pamoja ya kuunganisha jamii zao zenye dini tofauti na misimamo tofauti kujenga nchi zao ziwe bora zaidi kijeshi, kiuchumi, na kijamii. Wanajisahau hata Wamarekani kuna jamii mamia zenye dini, mirengo, na itikadi tofauti lakini linapokuja swala la utaifa na utambulisho wao si dini wala U -democratic au U- Republic huyumbisha Imani ya kuijenga Marekani iliyo na nguvu zaidi kijeshi, kisasa na kiuchumi kuliko yeyote duniani.

Je ni kweli Waarabu hawajui adui yao namba moja, Waarabu wa Leo ni walaini laini. Hawana nguvu ! Wao Kila kitu kisemwacho na US ni ndio. Hebu ona hili. Kwani unafikiri Kuwait, SaudiArabia, na Qatar ni nchi ambazo Marekani inazipenda sana kwasababu wanafuata demokrasia ya Kimagharibi? Jibu ni Hapana yenye Herufi kubwa. Yes Hapana.
Wamarekani wameshawafunga Kwa kuhakikisha hawataenda kinyume na maslahi yao. Ndio maana hapo Saudia watu huchinjwa vibaya Kwa makosa ya uzinifu na pengine hisia za upinzani dhidi ya ufame huo!

Lakini je uliwahi kusikia Wamagharibi wakipiga kelele kubwa na nzito juu ya uvunjifu mkubwa wa amani ufanywao na taifa hili?
Syria juzi Kwa msaada mkubwa wa Silaha na Intelijensia kutoka Marekani ,wamemuondoa kiongozi wao aliyeongoza kwa muda mrefu kabisa miaka ishirini na nne,wanasahau kwamba Marekani anaupinga utawala wa Syria wa miaka 53 lakini Mmarekani huyohuyo anaushabikia kuukumbatia na kuuenzi utawala wa kimabavu wa Qatar, Kuwait, Oman na UAE wa miaka nenda rudi.

Je halitoshi kuwa fundisho Kwa Waarabu wengine wote kwamba kuwa against US ni sumu kuu ? Kwamba ukiamua hivyo kuwa tayari Kwa uasi, vita na vikwazo?
Je halitoshi hili kuwa ni fundisho waungane zaidi kujenga zaidi mataifa yao?

Baada ya serikali ya Syria kuanguka Israel iliamua kuingia Syria kama sehemu ya uwanja wa bibi. Syria imesambaratika , Syria Haina jeshi tena, silaha zote maelfu za former Syrian Army zinashambuliwa kuangamizwa ziishe kabisa. Kwa wenye akili taifa kama Syria kuongozwa na Wanamgambo ni fedheha. Fedheha kuu isiyomithilika.

Je hili halitoshi kuwa fundisho kwao kwamba adui yao hakuwa Assad?
Ni huzuni kubwa Leo Syria taifa kubwa la kihistoria dahari Kwa dahari haina jeshi la ulinzi. Ajabu ni kwamba Kwa kujua au kutokujua Waarabu wanashangilia.
Poleni sana Waarabu!
Karibuni sana.
Mwisho.
Adui mkubwa wa waarabu ni mmarekani ambae anawachonganisha na amewagawanya,na kwakuwa anawachunga sana wasipatane,siku waarabu wote watapatana ndipo utakapokuwa mwisho wa dunia
 
Hakika kinachoendelea Syria kinatisha, Waarabu wameendelea kutokujua adui yao namba moja ni nani! Ili washughulike nae bado hawajajiuliza vyema na kujibu swali hili ipaswavyo. Je ni Iran, je ni Urusi! Je ni misimamo Yao ya kidini au ni Marekani na washirika wao ikiwemo Israel?
Ni ajabu Waarabu wamekuwa wakipigania kitu ambacho hakijawahi kuwa ni jambo safi kwao! Kinawaangamiza na kuwatafuna. swala la demokrasia ya Kimagharibi ! Demokrasia inayowataka wao kuwa wapiga kelele bila kushughulikiwa na watawala, demokrasia inayowafanya wavae kama wamagharibi, waoane wa kiume na kiume na wa kike aolewe na wa kike mwenzake. Haya yote si jadi yao, wao ni wafuasi wa Uislam na ajabu zaidi Uislam hautaki na hautoi uhuru huo wa kidemokrasia ya kimagharibi wautakao.

Kama ni uongo nitajie nchi moja tu ya kiarabu inayofuata mrengo wa demokrasia ya kweli ya kimagharibi na Haina makelele.
Ajabu ni kwamba katika upiganiaji huu wa uhuru mpya wa kidemokrasia wanashindwa kupigana wakiwa neutral. Imekua ni lazima wajifungamanishe vilivyo, na dini hiyo ya Kiislam. Hapa utaona makundi mbalimbali yenye silaha kama FSA wakipigana dhidi jeshi la Syria, utaona pia ISIS, Al Qaeda, nk.
Wengi wa makundi haya hufadhiliwa na US, Israel, Ufaransa, Uingereza , Turkey ,Qatar, Saudia nk. Makundi yote haya wana silaha nzito lengo lao ni kuziondoa serikali zao za kiimla utaona Kule Libya na Egypt lakini wanapoingia madarakani hakuna wanachobadilisha. Hali za kiuchumi huwa ni mbaya zaidi, hali za kibinadamu mbaya zaidi, watu huchinjwa kama kuku.

Waarabu hawana malengo ya pamoja ya kuunganisha jamii zao zenye dini tofauti na misimamo tofauti kujenga nchi zao ziwe bora zaidi kijeshi, kiuchumi, na kijamii. Wanajisahau hata Wamarekani kuna jamii mamia zenye dini, mirengo, na itikadi tofauti lakini linapokuja swala la utaifa na utambulisho wao si dini wala U -democratic au U- Republic huyumbisha Imani ya kuijenga Marekani iliyo na nguvu zaidi kijeshi, kisasa na kiuchumi kuliko yeyote duniani.

Je ni kweli Waarabu hawajui adui yao namba moja, Waarabu wa Leo ni walaini laini. Hawana nguvu ! Wao Kila kitu kisemwacho na US ni ndio. Hebu ona hili. Kwani unafikiri Kuwait, SaudiArabia, na Qatar ni nchi ambazo Marekani inazipenda sana kwasababu wanafuata demokrasia ya Kimagharibi? Jibu ni Hapana yenye Herufi kubwa. Yes Hapana.
Wamarekani wameshawafunga Kwa kuhakikisha hawataenda kinyume na maslahi yao. Ndio maana hapo Saudia watu huchinjwa vibaya Kwa makosa ya uzinifu na pengine hisia za upinzani dhidi ya ufame huo!

Lakini je uliwahi kusikia Wamagharibi wakipiga kelele kubwa na nzito juu ya uvunjifu mkubwa wa amani ufanywao na taifa hili?
Syria juzi Kwa msaada mkubwa wa Silaha na Intelijensia kutoka Marekani ,wamemuondoa kiongozi wao aliyeongoza kwa muda mrefu kabisa miaka ishirini na nne,wanasahau kwamba Marekani anaupinga utawala wa Syria wa miaka 53 lakini Mmarekani huyohuyo anaushabikia kuukumbatia na kuuenzi utawala wa kimabavu wa Qatar, Kuwait, Oman na UAE wa miaka nenda rudi.

Je halitoshi kuwa fundisho Kwa Waarabu wengine wote kwamba kuwa against US ni sumu kuu ? Kwamba ukiamua hivyo kuwa tayari Kwa uasi, vita na vikwazo?
Je halitoshi hili kuwa ni fundisho waungane zaidi kujenga zaidi mataifa yao?

Baada ya serikali ya Syria kuanguka Israel iliamua kuingia Syria kama sehemu ya uwanja wa bibi. Syria imesambaratika , Syria Haina jeshi tena, silaha zote maelfu za former Syrian Army zinashambuliwa kuangamizwa ziishe kabisa. Kwa wenye akili taifa kama Syria kuongozwa na Wanamgambo ni fedheha. Fedheha kuu isiyomithilika.

Je hili halitoshi kuwa fundisho kwao kwamba adui yao hakuwa Assad?
Ni huzuni kubwa Leo Syria taifa kubwa la kihistoria dahari Kwa dahari haina jeshi la ulinzi. Ajabu ni kwamba Kwa kujua au kutokujua Waarabu wanashangilia.
Poleni sana Waarabu!
Karibuni sana.
Mwisho.
ishu sio demokrasia ishu ni viongoz wanaosimamia ushetani. popote pale pana demokrasia , ww unatafsiri demokrasia ni kubadili viongoz ila demokrasio ni zaid ya hapo , Saudia demokrasia ipo , Iran demokrasia ipo ila demokrasia ya kiwango gan ndo hoja inaanzia hapo , sio kwel kwamba wananchi hawapo huru kweny kila kitu , uhuru wa kuchagua kiongozi na uhuru wa kumhoji akikosea hapo ndo ttzo lilopo kwa nchi za kiarabu ambapo uislam hauzuii kumhoji kiongoz akikosea ila viongoz wabovu wanataka kuwaingiza kweny ushetan kwa kusema demokrasia ni ya watu wa magharibi , Huez jenga demokrasia bila kupitia vita ya kuwashinda wale wanaosimama na ushetan wao ila mkiwamaliza mtakuwa kama Magharibi , Magharibi wamemwaga damu nying kufika pale walipo
 
No
Kwa hiyo maoni yako ni kwamba wajifungamamishe na Marekani na kutii kila wazo litakaloamriwa kutoka huko?

Hawana jambo jengine la kuwatoa hapo walipo?

Tawala zao za kiimla, kiukoo na kifalme, wewe unaziona zipo sawa?
Nnachoshangaa ni namna ambacho hawaelewi wanachokitaka. Kila mmoja na lake bunduki mkononi
 
Wasio na akili wakigombanishwa hadi na wazazi wao wanaona ni sawa tu. Kama mtu anaweza kumchinja mwanawe au kumpiga mawe ndugu yake hadi kufa kisa dini unafikiri huyo yuko sawasawa kiakili?
Waarabu hawajielew hawajui adui yao mkuu ni marekani na mtt wake hilo hata miaka 100 m ele watakuja kuligundua mm. Auliza hv warabu wamesoma na kuwa na mazingatio mbona kama hawana akili
 
Anamwijia mmoja wenu shetani katika sala, basi anapuliza (anampuliza) katika matako yake, basi yule mtu inamwijia fikiria ya kuwa umemtoka upepo (kajamba) nae haukumtoka, basi akiona hali hiyo asiondoke kwenye sala mpaka asikie sauti ya kumtoka huo upepo au anuse harufu yake”. (KITABU CHA MKWELI MWAMIU, JUZUU YA 1 -2 HADITHI NA. 74, UK 42)

Hivi hii Aya ipo kwenye kitabu Cha Dini kweli
 
Back
Top Bottom