Kufuatia sakata hili la 19 ambalo ni wazi inaonesha msukumo wake ni njaa ya mapesa na anasa za Ubunge, nachelea kuhoji sasa hawa Wabunge wetu wanapanga vipi bajeti zao kutokana na mapesa wanayolipwa?
Fikiria mtu kama Halima, miaka 10 ya Ubunge lakini anakuja kuishia kujimaliza kisiasa kwa sababu ya njaa na tamaa ya mapesa ya Ubunge. Unajiuliza mtu kama huyu aliyedumu kama Mbunge kwa miaka 10 namna yake ya kuhifadhi akiba ya pesa ina nidhamu kiasi gani?
Mimi napata net income ya 1.5M na kwa mwezi naweza na ninafanya hivyo, naweka angalau 600k kama akiba na mpaka sasa nina mapesa mengi tu naweza kumkopesha Halima.
Sasa Halima ushapoteza uanachama. CCM wanakutumia kwa miaka hii mitano tu. Je, 2025 CCM hawatakutaka tena, itakuaje?
Tujadiliane hapa, hawa Wabunge wetu wanatumia vipi pesa zao ikiwa mtu kama Halima aliyetumika Bungeni miaka 10 bado amefanya kitendo hiki cha aibu ya njaa?
Fikiria mtu kama Halima, miaka 10 ya Ubunge lakini anakuja kuishia kujimaliza kisiasa kwa sababu ya njaa na tamaa ya mapesa ya Ubunge. Unajiuliza mtu kama huyu aliyedumu kama Mbunge kwa miaka 10 namna yake ya kuhifadhi akiba ya pesa ina nidhamu kiasi gani?
Mimi napata net income ya 1.5M na kwa mwezi naweza na ninafanya hivyo, naweka angalau 600k kama akiba na mpaka sasa nina mapesa mengi tu naweza kumkopesha Halima.
Sasa Halima ushapoteza uanachama. CCM wanakutumia kwa miaka hii mitano tu. Je, 2025 CCM hawatakutaka tena, itakuaje?
Tujadiliane hapa, hawa Wabunge wetu wanatumia vipi pesa zao ikiwa mtu kama Halima aliyetumika Bungeni miaka 10 bado amefanya kitendo hiki cha aibu ya njaa?