Je, Wabunge hutumia vipi vipato vyao? Inakuaje Mbunge baada ya miaka 10 bado njaa inamuendesha?

Je, Wabunge hutumia vipi vipato vyao? Inakuaje Mbunge baada ya miaka 10 bado njaa inamuendesha?

inchaji

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2019
Posts
2,427
Reaction score
4,944
Kufuatia sakata hili la 19 ambalo ni wazi inaonesha msukumo wake ni njaa ya mapesa na anasa za Ubunge, nachelea kuhoji sasa hawa Wabunge wetu wanapanga vipi bajeti zao kutokana na mapesa wanayolipwa?

Fikiria mtu kama Halima, miaka 10 ya Ubunge lakini anakuja kuishia kujimaliza kisiasa kwa sababu ya njaa na tamaa ya mapesa ya Ubunge. Unajiuliza mtu kama huyu aliyedumu kama Mbunge kwa miaka 10 namna yake ya kuhifadhi akiba ya pesa ina nidhamu kiasi gani?

Mimi napata net income ya 1.5M na kwa mwezi naweza na ninafanya hivyo, naweka angalau 600k kama akiba na mpaka sasa nina mapesa mengi tu naweza kumkopesha Halima.

Sasa Halima ushapoteza uanachama. CCM wanakutumia kwa miaka hii mitano tu. Je, 2025 CCM hawatakutaka tena, itakuaje?

Tujadiliane hapa, hawa Wabunge wetu wanatumia vipi pesa zao ikiwa mtu kama Halima aliyetumika Bungeni miaka 10 bado amefanya kitendo hiki cha aibu ya njaa?
 
Kwani hela mtu anaridhika nayo. Ingekuwa hivyo kina Abood, Shabiby, Chenge wangestaafu zamani sana.

NB: Halafu nakushangaa mwanaume unajisifia pato la 1.5 m. Ebo, hiyo si hela ya bata tu wikiendi!
Yeye kwake ni kubwa ila kwako ni ndogo .

Alaf ingefaa hawa wabunge wawe wanalipwa milion 1 kwa mwez sidhan Kama Halima mdee angejoin huo upande wenu wa kishenz .

Sasa hizo Milion 12 kwa mwez ndio zinawachanganya hawa wajinga ukiwemo na ww unaeitaja milion 1.5 Kama hela ya bata weekend moja .

Narudia tena hii kazi ya ubunge iwe kazi ya wito tu wajitolee Kama wafanyakaz wengine wanavyojitolea ,Zaid wapewe magar ya kawaida kwa ajir ya kuzungukia mjimbo yao na mafuta wajaziwe alaf wao warambe milion 1 tu kwa mwez uone Kama Kuna mtu atahangaika na huo ubunge.
 
Halima kawa mbunge kwa miaka15 tangu viti maalum 2005 akiwa na Late Amina Chifupa.

-Halima kilichompeleka sijui ni nini,miaka 15 bado ana njaa? 12m per month ,mikopo ya mil 600 ameipata mara tatu!! Nyumba yake ni zaidi ya 400m ,inamaa ameshindwa hata kufungua kibanda cha M-pesa au Tigo pesa? Mbona Mbunge Mwenzake Emmanuel Kipole alifungua Kibanda cha Mpesa alipokosa Ubunge hadi alipoteuliwa na MAGU ndio akakifunga?
 
Halima kawa mbunge kwa miaka15 tangu viti maalum 2005 akiwa na Late Amina Chifupa.

-Halima kilichompeleka sijui ni nini,miaka 15 bado ana njaa? 12m per month ,mikopo ya mil 600 ameipata mara tatu!! Nyumba yake ni zaidi ya 400m ,inamaa ameshindwa hata kufungua kibanda cha M-pesa au Tigo pesa? Mbona Mbunge Mwenzake Emmanuel Kipole alifungua Kibanda cha Mpesa alipokosa Ubunge hadi alipoteuliwa na MAGU ndio akakifunga?
Kama yule wa babati amefungua mpesa.
 
Halima kawa mbunge kwa miaka15 tangu viti maalum 2005 akiwa na Late Amina Chifupa.

-Halima kilichompeleka sijui ni nini,miaka 15 bado ana njaa? 12m per month ,mikopo ya mil 600 ameipata mara tatu!! Nyumba yake ni zaidi ya 400m ,inamaa ameshindwa hata kufungua kibanda cha M-pesa au Tigo pesa? Mbona Mbunge Mwenzake Emmanuel Kipole alifungua Kibanda cha Mpesa alipokosa Ubunge hadi alipoteuliwa na MAGU ndio akakifunga?
Mshahara wa mbunge hauna uwezo wa kukopeshwa mil 600.
Ubunge ni miaka 5 (miezi 60). Mil 600 maana yake arudishe mil 10 kwa mwezi jumlisha na interest. Mshahara hauwezi kutosha.

In 2010 walikuwa wanakopeshwa mil 200 ambayo makato yake yalikuwa zaidi kidogo ya mil 4.

Ikifika kipindi cha kampeni, mil 50 inaweza kutumika kwa wiki mbili tu...
 
Mshahara wa mbunge hauna uwezo wa kukopeshwa mil 600.
Ubunge ni miaka 5 (miezi 60). Mil 600 maana yake arudishe mil 10 kwa mwezi jumlisha na interest. Mshahara hauwezi kutosha.

In 2010 walikuwa wanakopeshwa mil 200 ambayo makato yake yalikuwa zaidi kidogo ya mil 4.

Ikifika kipindi cha kampeni, mil 50 inaweza kutumika kwa wiki mbili tu...
Hivi unajua mafao ya Mbunge baada ya hiyo miaka 5 ni kiasi gani? Inashindikana vipi kukopeshwa hiyo milioni 600 kwa dhamana ya hayo mafao? Ficha upumbavu wako Mkuu, watanzania sio wajinga tena siku hizi. Sawa sawa?
 
Wewe kweli zwazwa, hivi unajua mafao ya Mbunge baada ya hiyo miaka 5 ni kiasi gani? Inashindikana vipi kukopeshwa hiyo milioni 600 kwa dhamana ya hayo mafao? Ficha upumbavu wako Mkuu, watanzania sio wajinga tena siku hizi. Sawa sawa?
Jenga hoja na figures. Usipige kelele tu.
 
Kwani hela mtu anaridhika nayo. Ingekuwa hivyo kina Abood, Shabiby, Chenge wangestaafu zamani sana.

NB: Halafu nakushangaa mwanaume unajisifia pato la 1.5 m. Ebo, hiyo si hela ya bata tu wikiendi!
Ndio urefu wa kamba yake ameamua kuwa mkweli amna jambo linaudhi kama nchi yetu kugeuka nchi ya kisanii sanaii kila kitu uwongo uwongo Mungu awa nusuru watoto wetu!
Ata elimu zetu ni za uwongo uwongo fikiria kama serikali imekuwa ya uwongo uwongo wa kiwango cha kunuka tufafika kuwa na watu wenye elimu ya kusimamia fani zao!
Tutegemeye kuwa na ma Dr wa wongo wa waongo
 
Hujaelewa kitu gani hapo? Mshahara wa zaidi ya milioni 10 kwa mwezi plus posho za vikao na hayo mafao ya zaidi ya milioni 200 baada ya kuhitimisha bunge kwa miaka 5 anashindwaje kupatiwa huo mkopo wa milioni 600? Pumbavu.
Toa hesabu kwa namba acha bla bla

Tunataka uandike kwa hesabu

Mfano riba za Benki ni asilimia 17 percent

Pato la mbunge kwa mwezi ni milioni let say 20

Atarudisha kwa miaka 5 ya ubunge

Je?ukipiga hesabu ataweza kuwarudishia Benki pesa za wawekaji?

Mkuu hesabu sio upumbavu kama kichwa chako

Hesabu ni namba

Haya njoo hapa na mahesabu yako ili upinge hoja

Ahaaaa umesoma History huko halafu unaleta mbwembwe

Idiot mkubwa
 
Toa hesabu kwa namba acha bla bla

Tunataka uandike kwa hesabu

Mfano riba za Benki ni asilimia 17 percent

Pato la mbunge kwa mwezi ni milioni let say 20

Atarudisha kwa miaka 5 ya ubunge

Je?ukipiga hesabu ataweza kuwarudishia Benki pesa za wawekaji?

Mkuu hesabu sio upumbavu kama kichwa chako

Hesabu ni namba

Haya njoo hapa na mahesabu yako ili upinge hoja

Ahaaaa umesoma History huko halafu unaleta mbwembwe

Idiot mkubwa
Hesabu si ilishatolewa huko juu? Unataka nirudie rudie ili iweje? Wewe ni slow learner eti? Mibunge ya CCM mipumbavu sana, hivi unataka kuficha nini hapa? Watanzania lazima waelewe kwanini mnapigania kwenda huko bungeni hata kwa kumwaga damu. Pumbavu sana.
 
Yeye kwake ni kubwa ila kwako ni ndogo .

Alaf ingefaa hawa wabunge wawe wanalipwa milion 1 kwa mwez sidhan Kama Halima mdee angejoin huo upande wenu wa kishenz .

Sasa hizo Milion 12 kwa mwez ndio zinawachanganya hawa wajinga ukiwemo na ww unaeitaja milion 1.5 Kama hela ya bata weekend moja .

Narudia tena hii kazi ya ubunge iwe kazi ya wito tu wajitolee Kama wafanyakaz wengine wanavyojitolea ,Zaid wapewe magar ya kawaida kwa ajir ya kuzungukia mjimbo yao na mafuta wajaziwe alaf wao warambe milion 1 tu kwa mwez uone Kama Kuna mtu atahangaika na huo ubunge

Umamaliza,thanks mkuu,hata kupata hao wabunge wapitie the same recruitment process kama wengine, iwe kazi kama nyingine sina shida na mtu kutumia kipato chake anavyotaka,ila kuwanunulia V8 wabunge woooooteee haooo kwa nchi yetu ni wastage of resources!
 
Ndio urefu wa kamba yake ameamua kuwa mkweli amna jambo linaudhi kama nchi yetu kugeuka nchi ya kisanii sanaii kila kitu uwongo uwongo Mungu awa nusuru watoto wetu!
Ata elimu zetu ni za uwongo uwongo fikiria kama serikali imekuwa ya uwongo uwongo wa kiwango cha kunuka tufafika kuwa na watu wenye elimu ya kusimamia fani zao!
Tutegemeye kuwa na ma Dr wa wongo wa waongo
Kabsaaa kabsaaa mkuu. Nchi yangu imejaa wafitini kizazi chetu kiko kwenye wrong track !!

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Kwani hela mtu anaridhika nayo. Ingekuwa hivyo kina Abood, Shabiby, Chenge wangestaafu zamani sana.

NB: Halafu nakushangaa mwanaume unajisifia pato la 1.5 m. Ebo, hiyo si hela ya bata tu wikiendi!
Umenikosha sana we mtoto kwa jinsi ulivyomjibu mshikaji.
 
Yeye kwake ni kubwa ila kwako ni ndogo .

Alaf ingefaa hawa wabunge wawe wanalipwa milion 1 kwa mwez sidhan Kama Halima mdee angejoin huo upande wenu wa kishenz .

Sasa hizo Milion 12 kwa mwez ndio zinawachanganya hawa wajinga ukiwemo na ww unaeitaja milion 1.5 Kama hela ya bata weekend moja .

Narudia tena hii kazi ya ubunge iwe kazi ya wito tu wajitolee Kama wafanyakaz wengine wanavyojitolea ,Zaid wapewe magar ya kawaida kwa ajir ya kuzungukia mjimbo yao na mafuta wajaziwe alaf wao warambe milion 1 tu kwa mwez uone Kama Kuna mtu atahangaika na huo ubunge
Kumbuka yuko na mkewe
 
Back
Top Bottom