Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhhh 1.5m bata? Sio kipindi hichi cha mkulungwa wapo wachache Sana walio baki na life style hiyo nao wanaogopa LusitaniaKwani hela mtu anaridhika nayo. Ingekuwa hivyo kina Abood, Shabiby, Chenge wangestaafu zamani sana.
NB: Halafu nakushangaa mwanaume unajisifia pato la 1.5 m. Ebo, hiyo si hela ya bata tu wikiendi!
Umemjibu murua kabisa..Wewe hio 1.5m ya Bata Ni Hadi utapeli madanga yako
Wewe hio pesa huna labda ukauze chiu yako .
Kufuatia sakata hili la 19 ambalo ni wazi inaonesha msukumo wake ni njaa ya mapesa na anasa za ubunge, nachelea kuhoji sasa hawa Wabunge wetu wanapanga vipi bajeti zao kutokana na mapesa wanayolipwa?
Fikiria mtu kama Halima, miaka 10 ya ubunge lakini anakuja kuishia kujimaliza kisiasa kwa sababu ya njaa na tamaa ya mapesa ya ubunge. Unajiuliza mtu kama huyu aliyedumu kama Mbunge kwa miaka 10 namna yake ya kuhifadhi akiba ya pesa ina nidhamu kiasi gani?
Mimi napata net income ya 1.5M na kwa mwezi naweza na ninafanya hivyo, naweka angalau 600k kama akiba na mpaka sasa nina mapesa mengi tu naweza kumkopesha Halima.
Sasa Halima ushapoteza uanachama. CCM wanakutumia kwa miaka hii mitano tu. Je, 2025 CCM hawatakutaka tena, itakuaje?
Tujadiliane hapa, hawa Wabunge wetu wanatumia vipi pesa zao ikiwa mtu kama Halima aliyetumika bungeni miaka 10 bado amefanya kitendo hiki cha aibu ya njaa?
Kwani hela mtu anaridhika nayo. Ingekuwa hivyo kina Abood, Shabiby, Chenge wangestaafu zamani sana.
NB: Halafu nakushangaa mwanaume unajisifia pato la 1.5 m. Ebo, hiyo si hela ya bata tu wikiendi!
Yes ni kweli mshahara kama mshahara hautoshi ila jamaa wana mapato zaidi ya hayo,wengine wanakopesha hadi 800m Mkuu!! Rejea Mkopo wa Sugu wa Kujenga Hotel......Rejea kauli ya Spika kuhusu Deni la Lema.Mshahara wa mbunge hauna uwezo wa kukopeshwa mil 600.
Ubunge ni miaka 5 (miezi 60). Mil 600 maana yake arudishe mil 10 kwa mwezi jumlisha na interest. Mshahara hauwezi kutosha.
In 2010 walikuwa wanakopeshwa mil 200 ambayo makato yake yalikuwa zaidi kidogo ya mil 4.
Ikifika kipindi cha kampeni, mil 50 inaweza kutumika kwa wiki mbili tu...
Sawasawa, huyo mkopeshaji must be an irresponsible lender. Kuna harufu ya fraud kwenye ukopeshaji wa namna hii.Yes ni kweli mshahara kama mshahara hautoshi ila jamaa wana mapato zaidi ya hayo,wengine wanakopesha hadi 800m Mkuu!! Rejea Mkopo wa Sugu wa Kujenga Hotel......Rejea kauli ya Spika kuhusu Deni la Lema.
Yes Ukipata sehemu yenye Mzunguko mkubwa unapata faida safi tu ,Hata Humphrey polepole alikuwa na kibanda cha Mpesa Bahari Beach wakati anakaa kwa Shemeji yake.(Kipindi cha Ukawa kabla hajapata milungula ya CCM).
Kwani hela mtu anaridhika nayo. Ingekuwa hivyo kina Abood, Shabiby, Chenge wangestaafu zamani sana.
NB: Halafu nakushangaa mwanaume unajisifia pato la 1.5 m. Ebo, hiyo si hela ya bata tu wikiendi!
Ww tangu umeaza kazi pesa zote za mishahara na posho bado unazo Mpaka Leo?Kufuatia sakata hili la 19 ambalo ni wazi inaonesha msukumo wake ni njaa ya mapesa na anasa za Ubunge, nachelea kuhoji sasa hawa Wabunge wetu wanapanga vipi bajeti zao kutokana na mapesa wanayolipwa?
Fikiria mtu kama Halima, miaka 10 ya Ubunge lakini anakuja kuishia kujimaliza kisiasa kwa sababu ya njaa na tamaa ya mapesa ya Ubunge. Unajiuliza mtu kama huyu aliyedumu kama Mbunge kwa miaka 10 namna yake ya kuhifadhi akiba ya pesa ina nidhamu kiasi gani?
Mimi napata net income ya 1.5M na kwa mwezi naweza na ninafanya hivyo, naweka angalau 600k kama akiba na mpaka sasa nina mapesa mengi tu naweza kumkopesha Halima.
Sasa Halima ushapoteza uanachama. CCM wanakutumia kwa miaka hii mitano tu. Je, 2025 CCM hawatakutaka tena, itakuaje?
Tujadiliane hapa, hawa Wabunge wetu wanatumia vipi pesa zao ikiwa mtu kama Halima aliyetumika Bungeni miaka 10 bado amefanya kitendo hiki cha aibu ya njaa?
Kabisa na wakati huu chadema haikutoa ela yoyote kwa watu waliogombea majimbo so walitumia ela zaoUsisahau bajeti ya kampeni. Kampeni ni bottomless pit. Mshahara wa mbunge ni wa kawaida sana ukiangalia lifestyle zao.
1.5m hela ya bata la weekend sio kwelKwani hela mtu anaridhika nayo. Ingekuwa hivyo kina Abood, Shabiby, Chenge wangestaafu zamani sana.
NB: Halafu nakushangaa mwanaume unajisifia pato la 1.5 m. Ebo, hiyo si hela ya bata tu wikiendi!
Kama nakunywa jD za laki 4 akinywa Tatu tu si ela imeisha?1.5m hela ya bata la weekend sio kwel
Kama nakunywa jD za laki 4 akinywa Tatu tu si ela imeisha?1.5m hela ya bata la weekend sio kwel
Kama nakunywa jD za laki 4 akinywa Tatu tu si ela imeisha?
Hiyo Sasa sio kazi yakoUnakunywa JD tatu ? Itabidi tukupeleke sober house
Usisahau wabunge wengi Wa ccm matajiri hukimbilia ubunge ili kuhalalisha biashara yao haramu.wasifuatiliwe,sio kwamba wanafata mshahara.Kwani hela mtu anaridhika nayo. Ingekuwa hivyo kina Abood, Shabiby, Chenge wangestaafu zamani sana.
NB: Halafu nakushangaa mwanaume unajisifia pato la 1.5 m. Ebo, hiyo si hela ya bata tu wikiendi!