Kama kuna covid yeyote alikubali kupelekwa na kigogo wa chadema bungeni basi atakuwa fala sana ! Katiba ya Chadema hairuhusu jambo hilo na Halima Mdee akiwa kiongozi wa juu wa Chadema , alijua utaratibu .
Muapishe Mfungwa aliyetolewa Jela msingizie vigogo wa Chadema ! hata kama Watanzania ni mbumbumbu mzungu wa reli , ndio muwadanganye kibwege namna hii kweli !
Hivi Job Ndugai na Mahera ndio vigogo wa Chadema ?