MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Kina mama 19 sio wasaliti. Wote hao walikuwa ndugu, michepuko na wake za vigogo wa CHADEMA. Vigogo walizidiwa kete kuingiza mahawara zao wengine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kuna covid yeyote alikubali kupelekwa na kigogo wa chadema bungeni basi atakuwa fala sana ! Katiba ya Chadema hairuhusu jambo hilo na Halima Mdee akiwa kiongozi wa juu wa Chadema , alijua utaratibu .
Muapishe Mfungwa aliyetolewa Jela msingizie vigogo wa Chadema ! hata kama Watanzania ni mbumbumbu mzungu wa reli , ndio muwadanganye kibwege namna hii kweli !
Hivi Job Ndugai na Mahera ndio vigogo wa Chadema ?