Pre GE2025 Je, wabunge watakaoshinda kupitia CHADEMA 2025 watagomea mshahara wa Milioni 18 kwa mwezi?

Pre GE2025 Je, wabunge watakaoshinda kupitia CHADEMA 2025 watagomea mshahara wa Milioni 18 kwa mwezi?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Cdm hawaachagi hela hata iwe ya nusu mkate.watachukua alafu watakwambia ni haki yao kikatiba ,kama ilivyotokea kwenye ruzuku.
Yaani Erythrocyte anadai Magu aliiba uchaguzi wote,

Hapo hapo, wanakubali matokeo ya kura za CHADEMA 2020 na kupokea Ruzuku.

Yaani uchaguzi ni haramu, ila ruzuku ni halali.
 
Yaani Erythrocyte anadai Magu aliiba uchaguzi wote,

Hapo hapo, wanakubali matokeo ya kura za CHADEMA 2020 na kupokea Ruzuku.

Yaani uchaguzi ni haramu, ila ruzuku ni halali.
Ruzuku ni haki yao kikatiba zile sio huruma au msaada
Ujinga unakusumbua sana
Ccm yenye wabunge wengi wangebadilisha sheria chadema wasipewa ruzuku

Ruzuku wanayochukua ccm ni kubwa sana ila hawalalamikiwi ila analalamikiwa chadema anayechukua kiduchu nchi hii ni kama imelogwa vile

Nchi hii wabunge wa sasa asilimia zaidi ya 99 ni ccm na rais ni ccm wanashindwa nini kuondoa ruzuku kwa vyama vya upinzani
Lakin lawama ataendelea kupewa chadema ambao haina hata wabunge wa tano wa kuchaguliwa
 
Shida ya Watanzania tumefungwa minyororo ya uchama,

Utanzania wetu unatakiwa utangulie mbele, Vyama baadae.

HOJA ijibiwe Kwa HOJA.
Huna hoja hapa, bali unafiki. Unaacha kushughulikia tatizo lenyewe unahangaika kutaka kuzuia matokeo yake tena kwa upande mmoja. Kwa hiyo malipo hayo yakibaki kwa wabunge wa CCM tu kwako inakuwa “problem solved”!

Subiri Mbowe na CHADEMA waingie bungeni ndipo uanzishe harakati za kuwataka wawasilishe muswada kurekebisha malipo ya wabunge. Wakikataa anzisha mada. Kuwataka wasipokee malipo yaliyopo kisheria ni kutaka kuonekana una “wivu wa kike” kama alivyobainisha mstaafu mmoja hapo kale.

Bora zaidi, jiunge nao kupambania katiba mpya itakayombana Rais na serikali yake katika masuala mazima ya ufujaji wa fedha za umma. CHADEMA wako very clear kwenye hilo ila wafuasi wa CCM hawataki bali wanang’ang’ania mambo ambayo wanaona ndiyo yataidhoofisha CDM kihali na kiutendaji comparatively huku CCM ikiendelea kuimarika kwa ufisadi uliokithiri kama mada hii ilivyolenga. Ni unafiki mtupu! Total dishonesty!
 
Ruzuku ni haki yao kikatiba zile sio huruma au msaada
Ujinga unakusumbua sana
Ccm yenye wabunge wengi wangebadilisha sheria chadema wasipewa ruzuku

Ruzuku wanayochukua ccm ni kubwa sana ila hawalalamikiwi ila analalamikiwa chadema anayechukua kiduchu nchi hii ni kama imelogwa vile

Nchi hii wabunge wa sasa asilimia zaidi ya 99 ni ccm na rais ni ccm wanashindwa nini kuondoa ruzuku kwa vyama vya upinzani
Lakin lawama ataendelea kupewa chadema ambao haina hata wabunge wa tano wa kuchaguliwa
Ruzuku ni HAKI Yao Kwa kura za uchaguzi halali sio haramu,

Uchaguzi uporwe, hizo kura za Urais za kuhalalisha ruzuku unazitoa wapi?
 
Salaam, Shalom!

Mimi ni MMOJA wa wananchi anayepinga wabunge kulipwa zaidi ya milioni 3 tatu, Kwa mwezi kutokana na Pato kiduchu linalokusanywa maana ubunge ni KAZI ya kujitolea, ni part time job!!


Amen
kwani katibu mkuu Dr slaa alikua analipwa ngapi, mashinji na JJMNYIKA analipwa ngapi 🐒

Kwan, Join the chain walilipana ngapi ngapi🐒

Ruzuku ya majuzi waligawana ngap ngap kwan 🐒

uwazi ni jambo muhimu sana aise
 
Shida ya Watanzania tumefungwa minyororo ya uchama,

Utanzania wetu unatakiwa utangulie mbele, Vyama baadae.

HOJA ijibiwe Kwa HOJA.
Njooni mkiri Kwanza hizo mil.18 ndo wanazopokea? Hayo ya 2025 tutajua bàdaye.
 
Hoja ya mbowe ni kuwa wabunge wameongezewa fedha bila sisi wananchi kufahamu uku wafanyakazi wengine ikiwa wameongezewa 8000 mpaka 18000
 
Huna hoja hapa, bali unafiki. Unaacha kushughulikia tatizo lenyewe unahangaika kutaka kuzuia matokeo yake tena kwa upande mmoja. Kwa hiyo malipo hayo yakibaki kwa wabunge wa CCM tu kwako inakuwa “problem solved”!

Subiri Mbowe na CHADEMA waingie bungeni ndipo uanzishe harakati za kuwataka wawasilishe muswada kurekebisha malipo ya wabunge. Wakikataa anzisha mada. Kuwataka wasipokee malipo yaliyopo kisheria ni kutaka kuonekana una “wivu wa kike” kama alivyobainisha mstaafu mmoja hapo kale.

Bora zaidi, jiunge nao kupambania katiba mpya itakayombana Rais na serikali yake katika masuala maxima ya ufujaji wa fedha za umma. CHADEMA wako very clear kwenye hilo ila wafuasi wa CCM hawataki bali wanang’ang’ania mambo ambayo wanaona ndiyo yataidhoofisha CDM kihali na kiutendaji comparatively huku CCM ikiendelea kuimarika kwa ufisadi uliokithiri kama mada hii ilivyolenga. Ni unafiki mtupu! Total dishonesty!
Kwanini nisubiri 2025 ndipo nije kuhoji?

Kwakuwa CDM ndio chama mbadala kinachoaminiwa na wananchi,

Mishahara na posho za wabunge ni jambo linalogusa Walipa Kodi.

Wananchi tuna HAKI ya kuhoji matumizi mazuri ya Kodi zetu.
 
Njooni mkiri Kwanza hizo mil.18 ndo wanazopokea? Hayo ya 2025 tutajua bàdaye.
Mimi sio Serikali,

Pia sio mbunge wa CCM.

HOJA hapa ni kuwa, kabla haijapanda kufika huo ml 18,

Ile ml 13 walikuwa wakipokea na hawakuwahi kusema kuwa hiyo ni kubwa upunguzwe.

CCM wanaifilisi Nchi, tunategemea chama mbadala CHADEMA itoke na kuweka msimamo kuwa, tukiwapa Nchi,

Wabunge watalipwa posho isiyozidi mil 3 Kwa mwezi,

Pesa itakayobaki, iende kuhudumia wananchi.
 
Hoja ya mbowe ni kuwa wabunge wameongezewa fedha bila sisi wananchi kufahamu uku wafanyakazi wengine ikiwa wameongezewa 8000 mpaka 18000
Tangu bunge la vyama vingi kuanza 1995,

Lini bunge liliomba hadharani idhini ya wananchi kuongeza posho na mishahara ya wabunge?

Kwakuwa CHADEMA ni chama mbadala, kinachoaminiwa na wananchi,

Chama hiki Kitoke hadharani kusema, upi Hasa utakuwa mshahara na posho stahiki za mbunge Kwa mwezi,

Ituambie, ikipewa idhini na wananchi ya kuunda Serikali, 2025 itapunguza posho na mishahara ya wabunge Hadi kiasi Gani?
 
Ndio ni haki yao ccm waliokua wengi bungeni wabadilishe wanaogopa nini
Chadema mara nyingi wako wachache sana na hawana uwezo wa kubadilisha kitu
Uchache wao Si HOJA,

Kugomea mshahara mbona ni jambo dogo sana,

Unasuburi mshahara umeingia, unautoa, Kisha unaitisha press na kuandika cheki hadharani hurudisha kiasi kilichozidi hazina.
 
Uchache wao Si HOJA,

Kugomea mshahara mbona ni jambo dogo sana,

Unasuburi mshahara umeingia, unautoa, Kisha unaitisha press na kuandika cheki hadharani hurudisha kiasi kilichozidi hazina.
Na ukisharudisha huku wabunge wa-ccm zaid ya asilimia 90 wanachukua inamaana gani
 
Kwanini nisubiri 2025 ndipo nije kuhoji?

Kwakuwa CDM ndio chama mbadala kinachoaminiwa na wananchi,

Mishahara na posho za wabunge ni jambo linalogusa Walipa Kodi.

Wananchi tuna HAKI ya kuhoji matumizi mazuri ya Kodi zetu.
Unahoji tu pale tu chadema wanapotumia ila ni sawa kwa ccm walioko asilimia zaidi ya 90 wakichukua mshahara
Kazi kweli Kweli
 
Kwanini nisubiri 2025 ndipo nije kuhoji?

Kwakuwa CDM ndio chama mbadala kinachoaminiwa na wananchi,

Mishahara na posho za wabunge ni jambo linalogusa Walipa Kodi.

Wananchi tuna HAKI ya kuhoji matumizi mazuri ya Kodi zetu.
Hoji chanzo cha tatizo. Sasa hapa unahoji watu ambao hawako serikalini wala bungeni? Unahoji uongozi wa CHADEMA kuhusu matumizi ya kodi zako? Halafu unauliza swali la kinadharia wakati kodi zinafujwa in real time? Be serious please.

CHADEMA chama mbadala chenye mbunge mmoja tu wa jimbo?

Inakuwaje unaogopa kuwagusa wanaohusika na ufujaji mkubwa wa fedha za umma unaoendelea nchini hivi sasa? Subiri CHADEMA waingie bungeni au madarakani uwape kazi ya kufanya. Unachofanya hapa ni kupiga ramli.
 
Back
Top Bottom