Pre GE2025 Je, wabunge watakaoshinda kupitia CHADEMA 2025 watagomea mshahara wa Milioni 18 kwa mwezi?

Pre GE2025 Je, wabunge watakaoshinda kupitia CHADEMA 2025 watagomea mshahara wa Milioni 18 kwa mwezi?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Na ukisharudisha huku wabunge wa-ccm zaid ya asilimia 90 wanachukua inamaana gani
CCM imeshathibitika Si chama tena chenye dira,

Ndio maana hatupotezi muda kujadili hapa.

Mategemeo yetu ni CDM chama mbadala, kitupe wananchi tumaini kuwa, wao wakipewa nafasi, watahakikisha wabunge wanapunguziwa mishahara isizidi 5 ml Kwa mwezi,

Ili pesa zinazobaki, ziende mashuleni, watoto wapate hata kikombe kimoja Cha uji utolewao na Serikali kupitia Kodi za wananchi.
 
Unahoji tu pale tu chadema wanapotumia ila ni sawa kwa ccm walioko asilimia zaidi ya 90 wakichukua mshahara
Kazi kweli Kweli
CCM ni corrupt, ndio maana hatuijadili hapa,

Tunakijadili chama mbadala CHADEMA kilichobeba matumaini ya Watanzania.
 
Ushauri wangu kwa Chama changu cha CHADEMA tuugomeeni huo Mshahara.
 
Salaam, Shalom!

Mimi ni MMOJA wa wananchi anayepinga wabunge kulipwa zaidi ya milioni 3 tatu, Kwa mwezi kutokana na Pato kiduchu linalokusanywa maana ubunge ni KAZI ya kujitolea, ni part time job!!


Amen
Watachukua na kushauri Bunge at the same time na Rais wa wakati huo ndugu Mbowe aitishe mabadiliko ya Katiba ili Katiba ya Waioba irudishwe.
 
Hoji chanzo cha tatizo. Sasa hapa unahoji watu ambao hawako serikalini wala bungeni? Unahoji uongozi wa CHADEMA kuhusu matumizi ya kodi zako? Halafu unauliza swali la kinadharia wakati kodi zinafujwa in real time? Be serious please.

CHADEMA chama mbadala chenye mbunge mmoja tu wa jimbo?

Inakuwaje unaogopa kuwagusa wanaohusika na ufujaji mkubwa wa fedha za umma unaoendelea nchini hivi sasa? Subiri CHADEMA waingie bungeni au madarakani uwape kazi ya kufanya. Unachofanya hapa ni kupiga ramli.
2015 CHADEMA ilikuwa na wabunge zaidi ya 70 bungeni,

Hapakuwahi kuinuka HOJA Kutoka CHADEMA yenye kudai, malipo ya wabunge ya wakati huo ml 12 Kwa mwezi kuwa ni makubwa, yapunguzwe,

Na Kwakuwa tunaelekea uchaguzi 2025, CHADEMA ije na HOJA ya kuombea kura Kwa wananchi kuwa,

Tukichagua wabunge wa CHADEMA 2025,

Watagomea mshahara wa ml 18 na kupokea ml 5 pekee, zingine zote wazijusanye na kupeleka kwenye mfumo wa bima ya watoto chini ya miaka 5.

Tutawapa kura za kutosha.
 
Ushauri wangu kwa Chama changu cha CHADEMA tuugomeeni huo Mshahara.
Wakija na HOJA hii kuelekea compaign za uchaguzi,

Watapata uungwaji mkono mkubwa Kutoka Kwa wananchi,

Na CCM itakataliwa mchana kweupe,

Na hata wakiiba kura, hawatatoboa.
 
Watachukua na kushauri Bunge at the same time na Rais wa wakati huo ndugu Mbowe aitishe mabadiliko ya Katiba ili Katiba ya Waioba irudishwe.
Kabla ya kuaminiwa na kupewa madaraka,

CHADEMA itoke hadharani na kusema mishahara ya wabunge ni mikubwa,

Wakipewa Nchi, mishahara na posho za wabunge isizidi ml 5 Kwa mwezi.
 
Wakija na HOJA hii kuelekea compaign za uchaguzi,

Watapata uungwaji mkono mkubwa Kutoka Kwa wananchi,

Na CCM itakataliwa mchana kweupe,

Na hata wakiiba kura, hawatatoboa.
Ngoja hii hoja tuipeleke kwenye Vikao ni Hoja mujarabi sana.
 
kwani katibu mkuu Dr slaa alikua analipwa ngapi, mashinji na JJMNYIKA analipwa ngapi 🐒

Kwan, Join the chain walilipana ngapi ngapi🐒

Ruzuku ya majuzi waligawana ngap ngap kwan 🐒

uwazi ni jambo muhimu sana aise
Toa hivyo vinyani, Kisha tujadili HOJA.

Badilika basi.
 
Kugomea kiwango cha mshahara ni pale mhusila awapo nje ya mshahara,uzamapo jikoni lazima uone hakikutoshi na liwalo na liwe bora ule 70% ya keki kibakiacho wagawiwe makumi elfu ya waajiriwa na walala hoi
 
Kabla ya kuaminiwa na kupewa madaraka,

CHADEMA itoke hadharani na kusema mishahara ya wabunge ni mikubwa,

Wakipewa Nchi, mishahara na posho za wabunge isizidi ml 5 Kwa mwezi.
Wewe umelala chumba cha buku 5 hapo Gesti ndio unaiamrisha CHADEMA?
#poor you!
 
Kugomea kiwango cha mshahara ni pale mhusila awapo nje ya mshahara,uzamapo jikoni lazima uone hakikutoshi na liwalo na liwe bora ule 70% ya keki kibakiacho wagawiwe makumi elfu ya waajiriwa na walala hoi
Katiba ya Warioba ije tu kwakweli,

Idadi ya wabunge ipungue, na mshahara ipungue.
 
Waambie CCM , JIWE na Nappe walishasema CHADEMA imekufa, sasa unaamrisha chama kilichofa ?
Ni Kweli vyama vyote vitakufa,

CHADEMA itakufa Kweli, lakini ni baada ya CCM kufa kwanza.
 
2015 CHADEMA ilikuwa na wabunge zaidi ya 70 bungeni,

Hapakuwahi kuinuka HOJA Kutoka CHADEMA yenye kudai, malipo ya wabunge ya wakati huo ml 12 Kwa mwezi kuwa ni makubwa, yapunguzwe,

Na Kwakuwa tunaelekea uchaguzi 2025, CHADEMA ije na HOJA ya kuombea kura Kwa wananchi kuwa,

Tukichagua wabunge wa CHADEMA 2025,

Watagomea mshahara wa ml 18 na kupokea ml 5 pekee, zingine zote wazijusanye na kupeleka kwenye mfumo wa bima ya watoto chini ya miaka 5.

Tutawapa kura za kutosha.
Very wrong postulation.

Kazi ya msingi ya mbunge ni kuhakikisha matumizi sahihi ya kodi za wananchi SI masuala ya mfuko wake binafsi. sijui kama unaelewa maana ya “legislative assembly”.

Mafanikio ya wabunge na chama chao ni pale wanapofanikiwa kupitisha miswada inayosaidia taifa. Au angalau kutetea kwa nguvu na msimamo usioyumba wa miswada hiyo. Sio michango binafsi toka mifukoni mwao.

Pendekezo uliloweka hapo nilipo-highlight (red/bold) sio la mtu mwenye uelewa wa kimantiki wa bunge, vyama vya siasa na serikali. Ni la mtu anayeendeshwa na hisia za kinafiki. Completely illogical. Sorry.
 
Back
Top Bottom