Pre GE2025 Je, wabunge watakaoshinda kupitia CHADEMA 2025 watagomea mshahara wa Milioni 18 kwa mwezi?

Pre GE2025 Je, wabunge watakaoshinda kupitia CHADEMA 2025 watagomea mshahara wa Milioni 18 kwa mwezi?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ukiambiwa Mbowe ni msela tu anadanganya wenzake,hakuna wa kuacha Ml.18 la sivyo chama kitapasuka,akina Mwakajoka huwaambii kitu aisee
Kigwangala anaweza kukataa pesa hiyo Kwa maslah ya umma?
 
Ndio shida ya Lema,anaivizia hiyo pesa kwa hali na Mali,fikiria aikunje ml.18 kwa miaka mitano ni kama B.kadhaa
CCM hii mada haiwahusu,

Malizeni kuwapa mikataba wafanyakazi wa Bandari wajue ikiwa watatoboa kupitia DP world!!
 
Una matatizo ya akili nadhani. Mbowe alichofanya ni kuhabarisha Umma kujua wawakilishi wetu wanaishije huko Bungeni. Kuna shida gani wewe na wengine kupata hiyo taarifa?! Kama taarifa imekuuma ndo uwauliza hao waliojiongezea. Shida iko wapi?
Ikiwa wewe Si mbunge simamia maslah ya Wananchi Si chama,

2025 ni Uchaguzi na CHADEMA watasimamisha wagonbea ubunge,

Kuna kosa Gani kuhoji ikiwa CHADEMA Ina mpango wa kuelekeza wabunge wake kugomea posho ya ml 18 Kwa mwezi Ili kupata kura?
 
CCM hii mada haiwahusu,

Malizeni kuwapa mikataba wafanyakazi wa Bandari wajue ikiwa watatoboa kupitia DP world!!
Eti nyie ndio mnahubiri Demokrasia,kwenye uzi tu unaweka vikwazo kwa wenzako,Chadema mna safari ndefu sana,ndio Mbowe na Lema wamewaibia pesa za Join the chain.
 
2025 ni uchaguzi ujue,

CHADEMA haiamrishwi hapa, inapewa mbinuu ya kushinda wabunge wengi kirahisi,

Imagine CHADEMA ukisema kuwa Wabunge wake wakichaguliwa, watakataa posho ya ml 18, milioni 5 Kwa mwezi inatosha.

Watapata kura nyingi sana.
Waitishe mkutano kutangaza hawatapokea hiyo hela?
Kwani uchaguzi unawafaidisha wao ama wananchi walioko shimoni kwa sasa?
Wewe na ndugu zako bima ya afya haijawagusa?

SUBIRI MMEO ama mwanao apate ugonjwa wa FIGO na ahitaji dialysis ndio utakumbuka ujinga uanaoandika hapa as if watu wanagombea mishahara badala maisha ya kila mtu.
 
Waitishe mkutano kutangaza hawatapokea hiyo hela?
Kwani uchaguzi unawafaidisha wao ama wananchi walioko shimoni kwa sasa?
Wewe na ndugu zako bima ya afya haijawagusa?

SUBIRI MMEO ama mwanao apate ugonjwa wa FIGO na ahitaji dialysis ndio utakumbuka ujinga uanaoandika hapa as if watu wanagombea mishahara badala maisha ya kila mtu.
Mishahara mikubwa ya wabunge na Watumishi wa Serikali ndio ealetao Mzigo mzito Kwa wananchi,

Matumizi Yao makubwa, ndiyo chanzo Cha kukosekana Kwa madawa hospitalini?

Mbona umefura sana ndugu?

Una ndugu mbunge ambaye hukutumia chochote?
 
Mishahara mikubwa ya wabunge na Watumishi wa Serikali ndio ealetao Mzigo mzito Kwa wananchi,

Matumizi Yao makubwa, ndiyo chanzo Cha kukosekana Kwa madawa hospitalini?

Mbona umefura sana ndugu?

Una ndugu mbunge ambaye hukutumia chochote?
WAbunge wote ni ndugu zangu kasoro wale ambao si watanzania na wameingizwa kinyemela .
Wewe endelea na ngonjera zako!
 
Eti nyie ndio mnahubiri Demokrasia,kwenye uzi tu unaweka vikwazo kwa wenzako,Chadema mna safari ndefu sana,ndio Mbowe na Lema wamewaibia pesa za Join the chain.
Pale bandarini mlisema kuwa wale wafanyakazi wote hawatapoteza ajira?

Nini kinaendelea hv sasa?
 
WAbunge wote ni ndugu zangu kasoro wale ambao si watanzania na wameingizwa kinyemela .
Wewe endelea na ngonjera zako!
Wewe unaona ni sawa bodaboda anayelaza 10 Kwa siku, amlipe mbunge mshahara wa 18 ml Kwa mwezi,

Hiyo ni sawa?
 
Una matatizo ya akili nadhani. Mbowe alichofanya ni kuhabarisha Umma kujua wawakilishi wetu wanaishije huko Bungeni. Kuna shida gani wewe na wengine kupata hiyo taarifa?! Kama taarifa imekuuma ndo uwauliza hao waliojiongezea. Shida iko wapi?
Anataka amshushie lawama mleta taarifa tuna kizazi cha hovyo
Mbowe amesha-play his party ni wajibu wa wananchi kuchukua hatua
 
Kwahiyo unaiamrisha CHADEMA ambayo haina mbunge wala waziri badala ya kumuamrisha aliyeko madarakani?

Mamlaka ya vyama vya siasa yanatoka wananchi? Kwahiyo ACT "nyie wananchi" ndio mmeiambia iungane na CCM kupinga katiba mpya?

Mmeviambia vyama vingine 18 vilivyobaki vifanye hivyo kama unavyoiamrisha CHADEMA kutokea hapo KUMBATO GUEST HOUSE?
Tukubali uwezo wa watanzania ni mdogo sana
Mtu anailaumu chadema ambayo haina mbunge huku ccm wakiendelea kuitafuna nchi
 
Anataka amshushie lawama mleta taarifa tuna kizazi cha hovyo
Mbowe amesha-play his party ni wajibu wa wananchi kuchukua hatua
Mbowe ameleta taarifa, tunamshukuru,

Baada ya kupokea taarifa na kuichakata kichwani,

Ndipo swali hili linakuja,

Kwamba 2025 tuna uchaguzi wa wabunge, na CHADEMA itasimamisha wagombea ubunge Nchi nzima,

Ikitokea wabunge wa CHADEMA wamechaguliwa, je watapokea huo mshahara wa ml 18 Kwa mwezi au wataugomea?

Kosa liko wapi hapo kuhoji kama Mwananchi?
 
Mbowe ameleta taarifa, tunamshukuru,

Baada ya kupokea taarifa na kuichakata kichwani,

Ndipo swali hili linakuja,

Kwamba 2025 tuna uchaguzi wa wabunge, na CHADEMA itasimamisha wagombea ubunge Nchi nzima,

Ikitokea wabunge wa CHADEMA wamechaguliwa, je watapokea huo mshahara wa ml 18 Kwa mwezi au wataugomea?

Kosa liko wapi hapo kuhoji kama Mwananchi?
Unagomeaje kitu ambacho kipo kisheria
 
Unagomeaje kitu ambacho kipo kisheria
Mamlaka ya bunge ya atoka Kwa wananchi.

Wananchi lini tumeridhia mshahara wa mbunge ufike hata ml 5 Kwa mwezi?

Yaani kinyozi mwenye kupata 10,000 Kwa siku, amepata wapi uwezo wa kulipa mbunge kiasi chote hicho Cha pesa Kwa ridhaa yake?
 
Mamlaka ya bunge ya atoka Kwa wananchi.

Wananchi lini tumeridhia mshahara wa mbunge ufike hata ml 5 Kwa mwezi?

Yaani kinyozi mwenye kupata 10,000 Kwa siku, amepata wapi uwezo wa kulipa mbunge kiasi chote hicho Cha pesa Kwa ridhaa yake?
Umeridhia na nani
Maoni yako binafsi unasema ni ya wananchi
 
Wewe ni mbunge, au uliwahi kuwa mbunge?

Mbona umetokwa povu sana?

Unajua milioni 18 tunataka watu maskini ambao hata kupata Milo mitatu Kwa siku ni taabu?
Wewe ndiye unayetoka povu. Badala ya kutumia akili unatumia fake emotions. Wala dhiki ya masikini wa Tanzania huijui.

Usingekuwa unawatumikia na kuwanyenyekea mafisadi wa CCM wanaoamua kujilipa mamilioni na mabilioni kiasi hicho.

Unahangaika kuhamishia attention kwa CHADEMA wasio na influence serikalini wala bungeni? c'est très
bizarre
!
 
Tukubali uwezo wa watanzania ni mdogo sana
Mtu anailaumu chadema ambayo haina mbunge huku ccm wakiendelea kuitafuna nchi
Hiyo ni agenda ya ACT Wazalendo. Adui yao mkuu ni CHADEMA si CCM.

Hao lengo lao tangu awali ni kutumia mwamvuli wa “upinzani” kuelekeza mashambulizi yasiyo na mantiki; ya kihisia zaidi kwa CHADEMA huku CCM ikiachiwa nafasi ya kupumua katika harakati zake za kufisidi taifa. Na kuwagawia kitu kidogo.

Ndio sababu ya mtu kukomaa na mada isiyo na mantiki.
 
Si Rahisi kuwagomea wabunge,

Tupambanie KATIBA mpya na Tume huru ya Uchaguzi.
Natania tu mkuu, hata mimi nachukua! Mahela yenyewe haya ya serikali! Wacha watu wale kwa urefu wa kamba zao.
 
Back
Top Bottom