Je, Wachagga na Wamasai ni ndugu moja?

hamna kitu.
Unataka kutuambia zile zisizoonekana na wamama wa Kichanga na vile vitambi kama gunia ndo maumbo ya wakushi na Wanilotiki??
Wachaga wako encircled na nilotes na cushitcs so inawezekana kuna genetic exchange kwa muda mrefu hadi kukatokea wengine wana non bantu features
 
Wachagga ni mchanganyiko kati ya banti na maasai na makabila mengine ,babu yangu alikuwa na ndugu zake wamaasai wa huko Kenya,Kuna kipindi walikuwa wanakuja ila tulipotezana nao,Kuna koo za kichaga ambazo Zina asili ya kimasai,Kila ukoo uchagani una asili ya chimbuko lake,koo nyingine zinatokana na wapare,wengine wakamba,wengine wataita,ila wamaasai wanamchanganyiko mkubwa zaidi kwa sababu hii,kulingana na deaturi za uchagani wakati wa vita ,haikuruhusiwa kujua watoto,wakati wa vita Babu zetu walienda maeneo ya Masai na kupigana nao,waliposhindwa wanawake na watoto walichukuliwa na kuja kuishi kwenye nchi ya uchagani kama watu huru,haikuruhusiwa kabisa kuua mtoto mdogo kwenye vita.Na jambo jingine Kuna wachaga wa huko machame,hawa waliona na wamasai na walikuwa na ushirika nao mkubwa
 
Yawezekana kua na mwingiliano kati ya makabila yaliyo jirani.

Sina shaka hilo
ila pia katka wachaga pia kuna watusi wengi walijichanganya na kujiita wachaga,,, hii hipo hata uhayani ambako hofu yao kubwa ilikua kukataliwa maana watanzania waliwaogopa watusi hawakutaka wala kuwataka nchini kisa roho zao za mauaji hivo wengi leo hujiita wahaya,wachaga au waha.

Achana na nyie watusi wa kujiandikisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…