Yaani wao wanacheza na ulimwengu wa roho, matokeo yake wewe unafanya mambo katika ulimwengu unaonekana kwa macho ya kawaida, haya mambo yanaweza kuwa ulevi, usinzi, wivu,hasira,huzuni, kibri,majivuno, madharau, unatumia hela hovyo bila kuwa na mpangilio nk