jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Twende taratibu..musa aliitunza torati kwa kusali na kuabudu sabato jmos..si ndio?na mnamuamini musa kama nabii..sasa ilikuaje leo hii uislamu unaitunza ijumaa..je torati ya musa na uislamu huoni kwamba vinapingana tayari..au ndio kusema tunachukua yanayotufaa sisi tunaacha yasiyo tufaa hata kama ni maagizo ya muumba.Kuna muda kumuelewesha mtu aliyekua na majibu tyr ni kazi ngumu mno mm simlazimishi mtu kuufuata uislamu lkn mtakuja kujua siku mkifa ndo utajua ipi dini ya haki
Emergency jamaa..ni suala la imejensi..hata korani imesema hivyo au?..kwamba halamu inahalamishwa kwenye emergency sindio?Poor you
Unapojenga hoja ondoa hasira na chuki..utaonekana kioja..unadhani fungu la kumi ni maaneno ya wachungaji?..hilo ni agizo ya Mungu mwenyewe tena kwa Mussa..kwenda kwa kuhani mkuu Aruni.We una chuki tu uislamu lkn nikwambie tu hao walokuleteeni iyo dini wao saivi wanasilimu kwa kasi huko nyie endeleeni kukumbatia tuu iyo dini ya watu. ivi kweli yni martin luther hakukubaliana na ukatoliki nae akaanzisha dhehebu lake la kilutheri yni nyinyi bhna ata hamfikirii kma mnadanganywa wazi wazi.Fungueni akili zenu vizuri izo ao wachungaji wenu mnawapatia sadaka zenu wanaendelea tuu kutumbua maisha huku nyinyi mkiendelea kutaabika maisha magumu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yni pesa yko mwenyewe ety mchungaji akwambie fungu la kumi lije kanisani dah poleni sana tena sanaaa
Wajinga ndio waliwao.
Wazee wa emergency [emoji16][emoji16],imani bila msimamo hapo ni wizi mtupu.Kwenye dharura,katika dini ya kiislamu,unaruhusiwa kufanya jambo la kujiokoa,ni tofauti na wasabato(wakristo),kwa mfano
1.Wasabato(wakristo) hawaongezewi damu,wakati katika uislamu unaongezewa damu.
2.Msabato(mkristo) hafanyi kazi jumamosi,hata akimuona mnyama katumbikia kwenye shimo,hamtoi,ambapo katika uislamu,siku ya ijumaa unafanyakazi,mda wa ibada unakwenda fanya ibada,ukimalizaunaendelea na kazi zako.
3.Wasabato,mtihani ukifanyika jumamosi,hawafanyi mtihani,wakati waislamu ijumaa,wanafanya mitihani.
Kwa hiyo usifananishe uislamu na dini,za kujitungia,wanadamu.
Sent using Jamii Forums mobile app
kipindi icho cha mussa kishapita na saivi kuna kitabu kipyaaaTwende taratibu..musa aliitunza torati kwa kusali na kuabudu sabato jmos..si ndio?na mnamuamini musa kama nabii..sasa ilikuaje leo hii uislamu unaitunza ijumaa..je torati ya musa na uislamu huoni kwamba vinapingana tayari..au ndio kusema tunachukua yanayotufaa sisi tunaacha yasiyo tufaa hata kama ni maagizo ya muumba.
#MaendeleoHayanaChama
Yupo sahihi na wewe upo sahihi ila unaelewa kwa makusudi unajaza server kwa nonsense. WAKRISTU NI WAFUASI WA KRISTU. Ni watu wanaofuata mafundisho yake ni kipi kigumu hapo kinachokuitaji utumia nguvu za kukariri?Hata wewe ukiyafuata mafundisho ya Kristu bayo kimsingi ni mawili tu. Tayari unakwenda mbinguni. Mbinguni hskuna dini bali ni nafasi kwa wale wote 1. WALIOMPENDA MUNGU KWA MOYO WAO WOTE, AKILI YAO YOTE 2. WALIOMPENDA BINADAMU MWEZAO KAMA WANAVYOJIPENDA WENYEWE. Ukiweza hayo mawili umekwenda mbinguniYani nyie sijui mkoje uyo" yesu mnoamuabudu hakuwahi kuwa mkristo" ni maneno ya mzee wa upako
Endeleeni kudanganywa tuu
Tukiwaambia iyo biblia imetiwa mikono ya watu hamuamini.Endeleeni tu kuwatajirisha hao wakubwa wenuUnapojenga hoja ondoa hasira na chuki..utaonekana kioja..unadhani fungu la kumi ni maaneno ya wachungaji?..hilo ni agizo ya Mungu mwenyewe tena kwa Mussa..kwenda kwa kuhani mkuu Aruni.
#MaendeleoHayanaChama
uyo kristu ndo nani? ebu jibu kwa usahihiYupo sahihi na wewe upo sahihi ila unaelewa kwa makusudi unajaza server kwa nonsense. WAKRISTU NI WAFUASI WA KRISTU. Ni watu wanaofuata mafundisho yake ni kipi kigumu hapo kinachokuitaji utumia nguvu za kukariri?Hata wewe ukiyafuata mafundisho ya Kristu bayo kimsingi ni mawili tu. Tayari unakwenda mbinguni. Mbinguni hskuna dini bali ni nafasi kwa wale wote 1. WALIOMPENDA MUNGU KWA MOYO WAO WOTE, AKILI YAO YOTE 2. WALIOMPENDA BINADAMU MWEZAO KAMA WANAVYOJIPENDA WENYEWE. Ukiweza hayo mawili umekwenda mbinguni
Sasa cha ajabu kipi? mbona ni kawaida haram kuwa halali na halali kuja kuwa haram, ni suala la sababu na wakati.hawa jamaa din yao bana. eti Mungu anatoa amri msile nguruwe. ila ukikutana na dharura porin hakuna chakula anakuruhusu ule. haram gafla halali.
Ni nabii wa Mungu aliyetumwa kufundisha wsnadamu mambo ambayo Mungu anataka wanadamu wamtendee na watendeane wao kwa wao na kamwe sii kuanzisha dini maana kwa Mungu dini sii kitu na hatambui kitu kinachoitwa dini bali anatambua wanaadamu waliomheshimu na kuheshimu binaadamu wenzao na viumbe alivyoviumbauyo kristu ndo nani? ebu jibu kwa usahihi
Duh! kila kitakachovumbuliwa basi hiyo Qur'an kingekuwa kitabu cha sayansi, acha kuongeza chumvi.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].. hawa jamaa hawa,basi tu. kila kitakachovumbuliwa utaambiwa Qur'an ilishakisema.
tulitegemea akina Einstein watokee SA, Misri Iraq etc sasa nikichume.
siku wanasayansi waki- discoverer wireless electricity watasema:, " mbona ilo limetajwa kwenye Qur'an "
itatafuta aya kwa namna yoyote ili ifit kwenye uvumbuzi huo.
Oooh. allah knows the Best.
[emoji1787][emoji1787] umenichekesha sana
Kwani hata bangi si inatibu maradhi kwahiyo iwe halali kutumia kwa kuivuta kama kilevi?Hivi huwezi kutanua Akili yako ufikirie zaidi ya hicho ulichofundishwa? Nguruwe akitumika kwa Tiba inakuwa kwa ajili ya kuokoa maisha ila akitumika kwa chakula inakuwa sio kuokoa maisha? Maisha Ni Kitu gani hasa? Maisha Ni tofauti na UHAI?
Sasa Mungu utamjua vipi bila ya kuleta dini yake ? Ata vyama vina kadi ili kuwajua wanachama wake jmni mambo mengine hayahitaji akili kubwa kuyajua ni ufahamu wa kawaida tuu unahitajikaNi nabii wa Mungu aliyetumwa kufundisha wsnadamu mambo ambayo Mungu anataka wanadamu wamtendee na watendeane wao kwa wao na kamwe sii kuanzisha dini maana kwa Mungu dini sii kitu na hatambui kitu kinachoitwa dini bali anatambua wanaadamu waliomheshimu na kuheshimu binaadamu wenzao na viumbe alivyoviumba
Mungu unamfananisha na binadamu wanaoanzisha vyama vya siasa ili awaoate wafuasi? Hili la kuanzisha vikundi ni pale ambapa kuna mshindani na kaumba kila kitu yeye sasa aanzishe kikundi ili iwe nini? Tumia akili yako Mungu hajawahi kuanzisha dini na hatowahi kufanya hivyo Mungu ni OMNIPOTENT na OMNICOPETENTSasa Mungu utamjua vipi bila ya kuleta dini yake ? Ata vyama vina kadi ili kuwajua wanachama wake jmni mambo mengine hayahitaji akili kubwa kuyajua ni ufahamu wa kawaida tuu unahitajika
kwan kuna innovation gani waislamu hawajawaisema Qur'an imeiongelea? iki kibonzo kina sound a lotDuh! kila kitakachovumbuliwa basi hiyo Qur'an kingekuwa kitabu cha sayansi, acha kuongeza chumvi.
Sijamfananisha Mungu na binadamu ila ni mfano tuuMungu unamfananisha na binadamu wanaoanzisha vyama vya siasa ili awaoate wafuasi? Hili la kuanzisha vikundi ni pale ambapa kuna mshindani na kaumba kila kitu yeye sasa aanzishe kikundi ili iwe nini? Tumia akili yako Mungu hajawahi kuanzisha dini na hatowahi kufanya hivyo Mungu ni OMNIPOTENT na OMNICOPETENT
Mh! waislamu wanasema hizi innovation zimeongelewa kwenye Qur'an?kwan kuna innovation gani waislamu hawajawaisema Qur'an imeiongelea? iki kibonzo kina sound a lot
View attachment 1985114
Narudia tena Mungu hakuwahi kuanzisha dini bali iwatuma manabii mbali mbali na kwa nyakati mbalimbali wawafundishe watu kadiri ya mapenzi yake. Sasa hivi watu wamepotoka wanafuata masharti yaliyowekwa na hivyo vikundi na kuacha maelekezo ya Mungu ambayo ni mawili tu . 1.KUMPENDA MUNGU 2. KUMPENDA BINADAMUSijamfananisha Mungu na binadamu ila ni mfano tuu
Wewe hutaki kuamini kwenye dini mana unajua itakufunga kwenye matamanio yako ya kidunia
m naomba kuuliza kwanini kuna agano la kale na jipya?
[/QUOTE
Agano la kale ni mapokeo ya mwanzo kabla ya yesu na agano jipya ni Yesu alipotokea au ni mapokeo baada ya ujio wa yesu so yote haya kale na jipya yapo kwenye bible moja tu hakuna tofauti