Je, Waislam mtakubali kupandikiziwa figo ya nguruwe?

Je, Waislam mtakubali kupandikiziwa figo ya nguruwe?

Hawa ni nani kama si mashoga in the church?
Nyie mnakataza mapastor wasioe ivi kweli inaingia akilini hii m.me rijali ale ashibe halafu akae tu bila ya m.ke ety hlf m.me uyo uyo atapelekewa kesi za ndoa wakati yy ata ndoa haijui [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Wataishia kuwanajisi watoto wenu mpaka mjue kua mumedanganywa View attachment 1984235
Kunajisi watot na vitu kama ivyo ni tabia ya mtu mmja mmja nd maana kuna mashehe na ostadh wabakaji na wanaoharibu watot kule madrasa kwaiy ni tabia ya mtu mmja mmja tu
 
Wacha nijifakhari na uislamu wangu
20211023_212028.jpg
 
Kunajisi watot na vitu kama ivyo ni tabia ya mtu mmja mmja nd maana kuna mashehe na ostadh wabakaji na wanaoharibu watot kule madrasa kwaiy ni tabia ya mtu mmja mmja tu
Waruhusuni wale mapastor waoe nyinyi au ndo mtaonekana mumebadilisha maandiko[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Nahisi kuna kutoelewana kwa taarifa na mapokeo ya kale (mafunzo ya dini )

Huyu mdudu sijaona kosa (uharamu) lake
[emoji41]
nguruwe si haramu bali anaemla ndio amefanya kitendo cha gharamu. Na si nguruwe tu wapo wengine tuliokatazwa kuwala kama paka na mbwa.
 
m naomba kuuliza kwanini kuna agano la kale na jipya?
Yeremia 31:31 Angalia, siku zinakuja, asema Bwana, nitakapofanya agano jipya na nyumba ya Israeli, na nyumba ya Yuda.
Yeremia 31:32 Si kwa mfano wa agano lile nililolifanya na baba zao, katika siku ile nilipowashika mkono, ili kuwatoa katika nchi ya Misri; ambalo agano langu hilo walilivunja, ingawa nalikuwa mume kwao, asema Bwana.
Yeremia 31:33 Bali agano hili ndilo nitakalofanya na nyumba ya Israeli, baada ya siku zile, asema Bwana; Nitatia sheria yangu ndani yao, na katika mioyo yao nitaiandika; nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.
Yeremia 31:34 Wala hawatamfundisha kila mtu jirani yake, na kila mtu ndugu yake, wakisema, Mjue Bwana; kwa maana watanijua wote, tangu mtu aliye mdogo miongoni mwao hata aliye mkubwa miongoni mwao, asema Bwana; maana nitausamehe uovu wao, wala dhambi yao sitaikumbuka tena.
 
nguruwe si haramu bali anaemla ndio amefanya kitendo cha gharamu. Na si nguruwe tu wapo wengine tuliokatazwa kuwala kama paka na mbwa.
Una Aya ndani ya Qurani inayosema nyama ya Paka na Mbwa ni haramu kuliwa kama ilivyo kwa Nguruwe Kibudu ?

Ibandike hapa tujifunze.
 
Hadithi za kutishia watoto wanywe uji
Muislamu si sahihi kutumia kitu chochote kitokanacho na nguruwe, si nyama yake wala viungo vyake wala huduma yake. Huo ndiyo mtihani tuliyopewa watu wa vitabu.
Huko nyuma mayahudi waliambiwa siku ya Sabato wasifanye kazi iwe ni siku maalum ya ibada, kuna baadhi yao wakapewa mtihani wa kujiwa na samaki wengi siku ya Sabato, wakaamua kutega nyavu usiku wa Ijumaa na kwenda kuzitoa siku ya Jumapili asubuhi, hivyo Mungu akawakasirikia na kuwageuza nyani na nguruwe. Sasa huwenda hizi tafiti ni confirmation ya kuwa hao nguruwe wana vitu vyenye kuingiliana na binadamu (maghdhubi alayhim) waliyoghadhibikiwa na Mungu kwa ukaidi wao. Sasa wale wenye kula nguruwe huenda wakawa wanakula nyama za kizazi cha wanadamu waliyogeuzwa nguruwe.
 
Mapastor mbn wanaoa au huelewi unachoandika mkuu
Wale wakatoliki wanaoa? Yni nyie mumepotezwa mkapotezeka kweli kweli ila mkija kufa ndo mtajua dini ya haki ni ipi
 
Je Uislam ni dini ya Amani?
View attachment 1984824
We una chuki tu uislamu lkn nikwambie tu hao walokuleteeni iyo dini wao saivi wanasilimu kwa kasi huko nyie endeleeni kukumbatia tuu iyo dini ya watu. ivi kweli yni martin luther hakukubaliana na ukatoliki nae akaanzisha dhehebu lake la kilutheri yni nyinyi bhna ata hamfikirii kma mnadanganywa wazi wazi.Fungueni akili zenu vizuri izo ao wachungaji wenu mnawapatia sadaka zenu wanaendelea tuu kutumbua maisha huku nyinyi mkiendelea kutaabika maisha magumu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yni pesa yko mwenyewe ety mchungaji akwambie fungu la kumi lije kanisani dah poleni sana tena sanaaa
Wajinga ndio waliwao.
 
Back
Top Bottom