Je, Waislam mtakubali kupandikiziwa figo ya nguruwe?

Je, Waislam mtakubali kupandikiziwa figo ya nguruwe?

... sawa sawa; kumbe kuna exceptions! It means anaweza kuwa kharam leo, kesho asiwe kharam kutokana na hayo "mazingira fulani". Je, "mazingira fulani" hayawezi pia kuwa katika masuala ya utabibu? Maana maradhi ni kitu ambacho kipo beyond human control; ni zaidi ya "mazingira fulani" in my opinion.
Ni katika mazingira ya kuokoa maisha hivyo hata hapo kwenye utabibu inawezekana, kwenye uislamu hakuna jambo lilowekewa ugumu kiasi cha kukosa suluhisho.
 
Mvaakobazi bora azini kuliko kula nyama ya kiti..dini zingine unafiki mtupu..ila kuhusu figo ya nguruwe ni tiba wataipokea kwa mikono miwili mana hakuna apendaye kifo.

#MaendeleoHayanaChama
Kuna rafiki angu mmoja ana kila aina ya tabia chafu ila kuhusu kitimoto huwezi kumshawishi.. mpaka nkawa namtania kuwa ni bora amalizie na kula tu...

Nakumbuka kuna sku bado kidogo tupigane... ana tabia ile akifika kwako anafunua sufuria... nlimwambia humo usifunue akauliza kuna nini... nkamwambia haram akafunua afu akaziba pua na kunyali eti mnhhhu ptuu🤢 nkamwambia shenzi wewe toka kwangu ndo ikawa ugomvi moja kwa moja mpaka leo ...
 
Labda iwe figo zote ziko sawa
Ila ikifail hata moja afu uanze kuvimbavimba nna hakika wewe mwenyewe utaiomba hiyo figo ya kitimoto bila hata kuambiwa na daktari!
Haina cha maandiko hiyo,kufa si mchezo ati!
 
Umeambiwa haijaacha kitu na ndio ukweli wenyewe.

Ujinga ni kujaribu kutafuta aya gani imesema hilo ilhali si kitabu unachokiamini wewe.
imani ni jambo binafsi na kwakuwa ni jambo binafsi ilimpasa abaki nalo moyoni sio kuliweka hapa kama alivyofanya huyo mwenzio.

kitendo cha kuja hapa na kusema Qur'an imesema kila kitu hiyo sio iman tena(binafsi) hayo ni mahubiri tayari, anahubiri Qur'an yake kuwa imejibu kila kitu. sasa kwakuwa ni mahubiri uwezi kutuzuia KUHOJI.
Tutahoji tu japo mnakereka na ukweli mchungu kuwa nyie ni vilaza.
 
Wasabato siku hizi wanafata wakristo wengine wanavyosema so hawana tatizo kabisaaa
Yaani wameacha kufuata kitabu chao wanafata watu wengine? Hizi dini za kujiamulia cha kufata ni tatizo, ndio maana kuna dini wanaweza kukaa mezani kujadili waruhusu au wakataze ndoa za jinsia moja
 
Yaani wameacha kufuata kitabu chao wanafata watu wengine? Hizi dini za kujiamulia cha kufata ni tatizo, ndio maana kuna dini wanaweza kukaa mezani kujadili waruhusu au wakataze ndoa za jinsia moja
Wakristo wote tunaongozwa na bible na haijawahi kubadilika kamwe hizi tabia ni makanisa yanajianzishia tu kama hujui lakin soteee ni wafuasi wa Yesu na bible ni kitabu chetu, nikusaidie tu
 
Wakristo wote tunaongozwa na bible na haijawahi kubadilika kamwe hizi tabia ni makanisa yanajianzishia tu kama hujui lakin soteee ni wafuasi wa Yesu na bible ni kitabu chetu, nikusaidie tu
m naomba kuuliza kwanini kuna agano la kale na jipya?
 
kwa hiyo na la kuwekewa figo ya nguruwe koroan iliandika?
Isomeni muielewe,imetoa Mwongozo uliokamilika kabisa namna ya kumtumia kwa matumizi mengine mbali na kitoweo pamoja na uharam wakd,kila kitu kinachomzunguka binadam Koroani imetolea ufafanuzi bila kupepesa macho.

Karibu tena kwa ufafanuzi
 
Isomeni muielewe,imetoa Mwongozo uliokamilika kabisa namna ya kumtumia kwa matumizi mengine mbali na kitoweo pamoja na uharam wakd,kila kitu kinachomzunguka binadam Koroani imetolea ufafanuzi bila kupepesa macho.

Karibu tena kwa ufafanuzi
NIMEKUPUUZA.
 
Dah ila Mungu fundi kajua kuwakomoa awa watu. Ila imezuiliwa kuliwa tu.. organs hazijaandikwa kwenye Quran
 
Tafiti zimeonyesha binadamu meenye matatizoya figo anaweza kupona kwa kupandikiziwa figo ya nguruwe,View attachment 1983581

Kuna dhehebu linaitwa mashahidi wa yehova, hili dhehebu linazuia mtu wa dini hiyo kuongezewa damu,

Je waislam mtakubali kupamdikiziwa figo ya nguruwe?
Kama waislamu tunakubali kupandikizwa Figo ya mla nguruwe, ambae ni Mlevi, mzinifu, anaeabudu Mzungu, vipi tukatae Figo ya mnyama ambae hana dhambi?
 
Back
Top Bottom