Je, Waislam mtakubali kupandikiziwa figo ya nguruwe?

Je, Waislam mtakubali kupandikiziwa figo ya nguruwe?

Ukila nguruwe virutubisho vinaingia mwilini na ukiwekewa figo yake inakuwa kwenye mwili wako

Hakuna utofauti
Wew uislam huujui hio aya hapo juu imeruhusu kula ngurue kwenye njaa ili kunusuru maisha...Sasa hapa tunaona maisha ni muhim kuliko katazo la ngurue hivyo Kama ni sababu ya kiafya ngurue sio katazo kabisa. Kwani pia kwa wagonjwa wa kisukari pia wanatumia dawa itokanayo na pig...
 
Hizi dini ni utumwa wa mila za kiarabu na kizayuni tena zile za kale. Utakuta mtoto analishwa sumu tangu mdogo kuws baadhi ya vitu ni vibaya na kama ana ubongo wa panzi wa kutokufanya reasoning anaamini na kuyachukua hivyo hivyo eti maandiko yanasema. Mwisho wa siku anachukia baadhi ya viumbe na kuviita haram/ khafir . Maandiko haya yamrbeba 80% ya mambo ambayo ni tamaduni mila na desturi za maeneo ya middle east ambapo dini kuu mbili zilianzia. Mwafrika kwa ubongo wetu ulivyomdogo tunashindwa lutofautisha mambo ya Mungu na mila za waliotuletea dini zao ndio maana tunalazimisha:-

A) Kuvaa mavazi yao ya asili kanzu , mashela nk

B) Kula vyakula vyao vya asili kama mikate na vyakula vya asili ya ngano na tende na kuacha vyakwetu

C) Kunywa vinywaji vya adili yao kama divai na kuvitumia kwenye ibada na kuacha kutumia vinywaji vya asili yetu

D) Kuacha lugha zetu ambazo tumepewa na Mungu na kutumia Muda mwingi kujifunza na kumuomba Mungu kwa lugha za kigeni ambazo hakutuumba nazo

E) Kuiga makatazo yao ya vyakula ambaya kimsingi ni ya kimila kama huku bongo kuna baadhi ya koo zina makatazo ya baadhi ya vitoweo au sehemu fulani ya myama hailiwi na kuna baadhi ya koo wanakula kila kitu ( CHIUMBI MNUNGU CHAKUMEMENENWA au NKYALU MUKUNZA MUKATILE NNAMA)

Still na wewe Bado unafuata mila za watu hebu jiangalie wewe chakula unachokula ,nguo unazo vaa ni asili Yako ? , Wote tupo Njia moja tusichekani
 
Hivi huwezi kutanua Akili yako ufikirie zaidi ya hicho ulichofundishwa? Nguruwe akitumika kwa Tiba inakuwa kwa ajili ya kuokoa maisha ila akitumika kwa chakula inakuwa sio kuokoa maisha? Maisha Ni Kitu gani hasa? Maisha Ni tofauti na UHAI?
Nguruwe kutumika kama chakula haiwezi kua katika option ya kuokoa maisha labda katika circumstances ambazo hakuna mbadala kabisa, ambayo nayo hiyo probability yake yakutokea ni ndogo mno

Kutumiwa kama chakula katika mazingira ambayo vyakula vingine vipo ni kama kiburudisho, haiwezi kua kuokoa uhai, kwanini wewe hukufikiria angle hii?
 
Tafiti zimeonyesha binadamu meenye matatizoya figo anaweza kupona kwa kupandikiziwa figo ya nguruwe,View attachment 1983581

Kuna dhehebu linaitwa mashahidi wa yehova, hili dhehebu linazuia mtu wa dini hiyo kuongezewa damu,

Je waislam mtakubali kupamdikiziwa figo ya nguruwe?
Hata kwa wenye kisukari, kuna insulin inatoka kwenye nguruwe!
 
Samahani mi nina swali kidogo kuna kitu kinaitwa kujitoa mhanga na vijan nd walikua wahusika inasemekan kuua makafir unaenda mbingun moja kw moja je ni kwel? Kam n kweli sasa unashindwaje mda unapokua umekaribia kufa kw njaa ufe tu moja kw moja kuliko kula nguruwe sabb ukifa huon kam utakua umeshuhudia sheria ya Mungu wako ukiitimiza
sio kweli uislamu haujafundisha kujitoa muhanga wale wanajifanya waislamu lkn kiuhalisia hawana mafundisho sahihi ya uislamu
 
Mkuu hii story tunaomba reference yake
Quran, Al Maidah:-
59. Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Hivyo mnatuchukia kwa kuwa tumemuamini Mwenyezi Mungu na tuliyo teremshiwa na yaliyo teremshwa kabla, na kwa kuwa wengi katika nyinyi ni wapotofu?
60. Sema: Je! Nikwambieni yule ambaye ni mwenye malipo mabaya zaidi kuliko hayo mbele ya Mwenyezi Mungu? Ni yule ambaye Mwenyezi Mungu amemlaani na amemkasirikia, na amewafanya miongoni mwao manyani na nguruwe, na wakamuabudu Shet'ani. Hao ndio wenye mahali pabaya na wamepotea zaidi njia iliyo sawa.

Quran, Al A'araaf:-
163. Na waulize khabari za mji ulio kuwa kando ya bahari, wakiivunja Sabato (Jumaamosi ya mapumziko). Samaki walikuwa wakiwajia juu juu siku ya mapumziko yao, na siku zisio kuwa za kupumzika hawakuwa wakiwajia. Kwa namna hiyo tuliwajaribu kwa sababu walikuwa wakifanya upotovu.
164. Na kikundi kati yao walisema: Kwa nini mnawawaidhi watu ambao tangu hapo Mwenyezi Mungu atawateketeza au atawaadhibu adhabu kali? Wakasema: Ili uwe ni udhuru kwa Mola Mlezi wenu, na huenda nao wakamchamungu.
165. Basi walipo yasahau waliyo kumbushwa, tuliwaokoa walio kuwa wakikataza maovu, na tukawatesa walio dhulumu kwa adhabu mbaya kwa vile walivyo kuwa wakifanya upotovu.
166. Walipo jifakharisha katika waliyo kanywa tuliwaambia: Kuweni manyani wa kudharauliwa.

Quran, Al Baqarah:-
65. Na hakika mlikwisha yajua ya wale miongoni mwenu walio ivunja Sabato,(siku ya mapumziko, Jumaa Mosi) na tukawaambia: Kuweni manyani wadhalilifu.
66. Kwa hivyo tukayafanya hayo kuwa onyo kwa wale walio kuwa katika zama zao na walio kuja baada yao, na mawaidha kwa wachamngu.
 
sio kweli uislamu haujafundisha kujitoa muhanga wale wanajifanya waislamu lkn kiuhalisia hawana mafundisho sahihi ya uislamu
Kwaiy wale wanaojitoa mhanga uku wakijinasib kutamka manen matakatifu mda wa kuua wote ni wachafu na motoni kuna wahusu kutokana na mafundish yenu?
 
Kwaiy wale wanaojitoa mhanga uku wakijinasib kutamka manen matakatifu mda wa kuua wote ni wachafu na motoni kuna wahusu kutokana na mafundish yenu?
Mafundisho ya uislamu hayaruhusu mtu kujitoa muhanga na ilo swala halipo kabisaaa kwenye uislamu

kuhusu motoni apo Allah ndie hakimu wa kweli
 
Samahan mkuu
Quran, Al Maidah:-
59. Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Hivyo mnatuchukia kwa kuwa tumemuamini Mwenyezi Mungu na tuliyo teremshiwa na yaliyo teremshwa kabla, na kwa kuwa wengi katika nyinyi ni wapotofu?
60. Sema: Je! Nikwambieni yule ambaye ni mwenye malipo mabaya zaidi kuliko hayo mbele ya Mwenyezi Mungu? Ni yule ambaye Mwenyezi Mungu amemlaani na amemkasirikia, na amewafanya miongoni mwao manyani na nguruwe, na wakamuabudu Shet'ani. Hao ndio wenye mahali pabaya na wamepotea zaidi njia iliyo sawa.

Quran, Al A'araaf:-
163. Na waulize khabari za mji ulio kuwa kando ya bahari, wakiivunja Sabato (Jumaamosi ya mapumziko). Samaki walikuwa wakiwajia juu juu siku ya mapumziko yao, na siku zisio kuwa za kupumzika hawakuwa wakiwajia. Kwa namna hiyo tuliwajaribu kwa sababu walikuwa wakifanya upotovu.
164. Na kikundi kati yao walisema: Kwa nini mnawawaidhi watu ambao tangu hapo Mwenyezi Mungu atawateketeza au atawaadhibu adhabu kali? Wakasema: Ili uwe ni udhuru kwa Mola Mlezi wenu, na huenda nao wakamchamungu.
165. Basi walipo yasahau waliyo kumbushwa, tuliwaokoa walio kuwa wakikataza maovu, na tukawatesa walio dhulumu kwa adhabu mbaya kwa vile walivyo kuwa wakifanya upotovu.
166. Walipo jifakharisha katika waliyo kanywa tuliwaambia: Kuweni manyani wa kudharauliwa.

Quran, Al Baqarah:-
65. Na hakika mlikwisha yajua ya wale miongoni mwenu walio ivunja Sabato,(siku ya mapumziko, Jumaa Mosi) na tukawaambia: Kuweni manyani wadhalilifu.
66. Kwa hivyo tukayafanya hayo kuwa onyo kwa wale walio kuwa katika zama zao na walio kuja baada yao, na mawaidha kwa wachamngu.
Samahn mkuu nje ya mada kidg apo juu kúna mstari úmesema walioivunja sabato ( jumamos ya mapumziko) ni wapotofu iyo ni jumamosi gani yan ni ile ambayo watu wa dini yenu wanapaswa kuabudu au
 
There is no way that Muslim can love pigs, They disrespected the prophet of Allah
View attachment 1984099
Yani wewe chuki zako na uislamu utakuja kuishia pabaya usipojibadilisha
Juzi kati tu hapa Papa wenu alitangaza dhahiri jinsi mapastor wenu walivowanajisi watoto lkn wewe na izo picha zako za kutunga untka kuuaminisha umma uongo kuhusu Uislamu sijui tukuelewe vipi yani
 
Kwaiy ukimuona nguruwe yaweza kuwa ni babu yako? na biology gani inayosema nguruwe ni binadamu?? Leta ufafanuzi vizur
Kwenye kuwagawa makundi like form one,nguruwe yupo kundi moja na binadam,size ya moyo wake inakaribiana Sana na ya binadamu,damu yake inashabihiana Sana na ya binadamu,jike lake linapata hedhi Kama binadamu
 
Samahan mkuu

Samahn mkuu nje ya mada kidg apo juu kúna mstari úmesema walioivunja sabato ( jumamos ya mapumziko) ni wapotofu iyo ni jumamosi gani yan ni ile ambayo watu wa dini yenu wanapaswa kuabudu au
subiri nikujibu mimi jpo sio niloleta hio mada
kuna msemo wa wahenga unasema kila.zama na kitabu chake
Taurat alishushiwa Mussa ili awaongoze wana wa israel na huo mstari unawahusu hao ila sisi ummati muhammad tumeletewa qurani ndo muongozo wetu kwaio iyo jmoc unayosema ww ni kipindi hicho cha wana wa israel sio sasa ivi
katika uislamu hakuna jumamosi ya mapumziko
 
Anaweza kuliwa katika mazingira fulani.
... sawa sawa; kumbe kuna exceptions! It means anaweza kuwa kharam leo, kesho asiwe kharam kutokana na hayo "mazingira fulani". Je, "mazingira fulani" hayawezi pia kuwa katika masuala ya utabibu? Maana maradhi ni kitu ambacho kipo beyond human control; ni zaidi ya "mazingira fulani" in my opinion.
 
... sawa sawa; kumbe kuna exceptions! It means anaweza kuwa kharam leo, kesho asiwe kharam kutokana na hayo "mazingira fulani". Je, "mazingira fulani" hayawezi pia kuwa katika masuala ya utabibu? Maana maradhi ni kitu ambacho kipo beyond human control; ni zaidi ya "mazingira fulani" in my opinion.
ukisoma comments huko nyuma ilo swala la utabibu nishalizungumzia toka jana
 
Hawa ni nani kama si mashoga in the church?
Nyie mnakataza mapastor wasioe ivi kweli inaingia akilini hii m.me rijali ale ashibe halafu akae tu bila ya m.ke ety hlf m.me uyo uyo atapelekewa kesi za ndoa wakati yy ata ndoa haijui [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Wataishia kuwanajisi watoto wenu mpaka mjue kua mumedanganywa
20211023_143457.jpg
 
Back
Top Bottom