Je, Waislam mtakubali kupandikiziwa figo ya nguruwe?

Je, Waislam mtakubali kupandikiziwa figo ya nguruwe?

Mnyama gani uyo ety akishikwa na njaa ata mwanae anamla yni yy kila kitu anakula
mnyama gni asokua na huruma na mwanae ivi ww m.damu ukishikwa na njaa ushawahi kumla mwanao. Yni mambo mengine ni kutumia ubongo wako tuu hlf ukaamua
Kama ujawai kufuga nguruwe usipende kutoa maoni kwa ujumuisho. Kuna aina ya nguruwe haili nyama kabisa.
 
Koroani haijaacha kitu,

Mapadri wanajua hili fika ndio maana wametulia tu kwa kuwa wanasoma vitabu vyote,

Imetoa maelezo ya kutosha tu nini cha kufanya inapotokea hivyo,koroani sio ya mchezochezo ndugu
hawa jamaa din yao bana. eti Mungu anatoa amri msile nguruwe. ila ukikutana na dharura porin hakuna chakula anakuruhusu ule. haram gafla halali.
 
Muislamu si sahihi kutumia kitu chochote kitokanacho na nguruwe, si nyama yake wala viungo vyake wala huduma yake. Huo ndiyo mtihani tuliyopewa watu wa vitabu.
Huko nyuma mayahudi waliambiwa siku ya Sabato wasifanye kazi iwe ni siku maalum ya ibada, kuna baadhi yao wakapewa mtihani wa kujiwa na samaki wengi siku ya Sabato, wakaamua kutega nyavu usiku wa Ijumaa na kwenda kuzitoa siku ya Jumapili asubuhi, hivyo Mungu akawakasirikia na kuwageuza nyani na nguruwe. Sasa huwenda hizi tafiti ni confirmation ya kuwa hao nguruwe wana vitu vyenye kuingiliana na binadamu (maghdhubi alayhim) waliyoghadhibikiwa na Mungu kwa ukaidi wao. Sasa wale wenye kula nguruwe huenda wakawa wanakula nyama za kizazi cha wanadamu waliyogeuzwa nguruwe.
Mkuu hii story tunaomba reference yake
 
Tafiti zimeonyesha binadamu meenye matatizoya figo anaweza kupona kwa kupandikiziwa figo ya nguruwe,View attachment 1983581

Kuna dhehebu linaitwa mashahidi wa yehova, hili dhehebu linazuia mtu wa dini hiyo kuongezewa damu,

Je waislam mtakubali kupamdikiziwa figo ya nguruwe?
Ndio mana Hakuna kitabu kinahalalisha kula ngurue hata injili nitafutie hicho kifungu Mungu aliyajua hayo kabla ndio maana hata najisi ya mavi mpaka yatoke nje sio yakiwa tumboni
 
ndiyo nini sasa iki kulingana na nilichomuuliza huyo jamaa hapo juu?.
mimi nipo kwenye koran KUANDIKA KILA KITU ili unalipachika tu kwasababu zako.

images (7).jpeg
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.. hawa jamaa hawa,basi tu. kila kitakachovumbuliwa utaambiwa Qur'an ilishakisema.
tulitegemea akina Einstein watokee SA, Misri Iraq etc sasa nikichume.
siku wanasayansi waki- discoverer wireless electricity watasema:, " mbona ilo limetajwa kwenye Qur'an "
itatafuta aya kwa namna yoyote ili ifit kwenye uvumbuzi huo.
Oooh. allah knows the Best.
🤣🤣 umenichekesha sana
 
Maandiko yamepiga marufuku ulaji wa nguruwe hayajapiga marufuku matumizi ya nguruwe katika tiba

Hiyo ni daawha na wote tuseme inshaallah
Hivi huwezi kutanua Akili yako ufikirie zaidi ya hicho ulichofundishwa? Nguruwe akitumika kwa Tiba inakuwa kwa ajili ya kuokoa maisha ila akitumika kwa chakula inakuwa sio kuokoa maisha? Maisha Ni Kitu gani hasa? Maisha Ni tofauti na UHAI?
 
lkn pia kma huyo mtu akifa inatakiwa itolewe halafu ndio azikwe
Kwa hiyo, Akizikwa nayo anakuwa hawezi kwenda Mbinguni? Mtu amewekewa Figo na kukaa nayo miaka kibao ila Siku ya kuzikwa ndo anatakiwa iondolewe? Ina maana viungo vingine vyote marehemu anaingia navyo Mbinguni? Kama ndivyo, hiyo Figo inapoondolewa anapachikwa kitu gani kwenye pengo?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].. hawa jamaa hawa,basi tu. kila kitakachovumbuliwa utaambiwa Qur'an ilishakisema.
tulitegemea akina Einstein watokee SA, Misri Iraq etc sasa nikichume.
siku wanasayansi waki- discoverer wireless electricity watasema:, " mbona ilo limetajwa kwenye Qur'an "
itatafuta aya kwa namna yoyote ili ifit kwenye uvumbuzi huo.
Oooh. allah knows the Best.
[emoji1787][emoji1787] umenichekesha sana
We huna akili kabisa hivi unajuaa chuo kikuu Cha kale zaidi kulikua wapi na sayansi unayo isema ilikuwepo zaman kabla ya hata hao unao wasema mfano mzuri tu angalia ma piramid ya misri mpaka Leo hao wanasanyansi wa leo wanaenda kuyatazama na mwisho nataka kukuambia Hakuna sayansi inayo izid quraan ambayo mtume alifundishwa kunasehem katika dunia Kuna bahari mbili zinakutana na maji yake hayaingiliani nani alimfundisha mtume
 
Kwa hiyo, Akizikwa nayo anakuwa hawezi kwenda Mbinguni? Mtu amewekewa Figo na kukaa nayo miaka kibao ila Siku ya kuzikwa ndo anatakiwa iondolewe? Ina maana viungo vingine vyote marehemu anaingia navyo Mbinguni? Kama ndivyo, hiyo Figo inapoondolewa anapachikwa kitu gani kwenye pengo?
usifananishe dini yako na dini nyingine
 
We huna akili kabisa hivi unajuaa chuo kikuu Cha kale zaidi kulikua wapi na sayansi unayo isema ilikuwepo zaman kabla ya hata hao unao wasema mfano mzuri tu angalia ma piramid ya misri mpaka Leo hao wanasanyansi wa leo wanaenda kuyatazama na mwisho nataka kukuambia Hakuna sayansi inayo izid quraan ambayo mtume alifundishwa kunasehem katika dunia Kuna bahari mbili zinakutana na maji yake hayaingiliani nani alimfundisha mtume
wewe ni mpumbavu unaejaribu kujivika koti la ujuzi..
unayajua mapiramid yamejengwa lini?.
Kwanza:, unataka kusema nini unapoongelea mapiramid?.

piramida zimekuwepo kabla hata ya Kristo na zaid mwarabu hakusogeza hata udongo kwenye huo ujenzi wa hayo mapiramid.
mapramid ni blacks wa enzi hizo na iman yao ya mungu Ra ndiyo wanajua nini kilifanyika katika ujenzi wa hayo madude.
hao akina salah wameingia hapo hivu majuzi wakayakuta hayo mapiramid ni ujinga wako tu ndiyo unakufanya uhisi ujenzi wa mapiramid ulifanywa na waja wa Allah .
 
Back
Top Bottom