steveachi
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 10,643
- 12,247
Koroani haijawahi kukoseahata ukiwa na njaa sana anaruhusiwa
sasa utakula bila kuwa na njaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Koroani haijawahi kukoseahata ukiwa na njaa sana anaruhusiwa
sasa utakula bila kuwa na njaa
Koroani ilitabiri hata kuhusu Figo Za nguruweImesema yaliyopita, yanayoendelea na imesema kuhusu yajayo
Kuhusu hilo koroani imetoa maelekezo yote,imemaliza kila kituLakini figo si lipo tumboni, wakiliweka itakuwa kama vile umekula tu figo la nguruwe?
Qur'an imeruhusu,pia kula,ikiwa hakuna chakula kingine,ili usife(hiyo ni dharura).Na matibabu pia ni dharura,na hapo kwenye figo hulu nguruwe,ila unatibiwa,ni sawa na kuwekewa figo ya binadamu,dini zote haziruhusu kula nyama ya mtu,lakini unaekewa figo ya mtu,inaruhusiwa.Mvaakobazi bora azini kuliko kula nyama ya kiti..dini zingine unafiki mtupu..ila kuhusu figo ya nguruwe ni tiba wataipokea kwa mikono miwili mana hakuna apendaye kifo.
#MaendeleoHayanaChama
Kuna dini inaruhusu kula mtu?Hakuna.Na unaekewa figo ya mtu.Tofautisha kula,na kuwekewa kiungo,kwa ajili ya tiba.Tafiti zimeonyesha binadamu meenye matatizoya figo anaweza kupona kwa kupandikiziwa figo ya nguruwe,View attachment 1983581
Kuna dhehebu linaitwa mashahidi wa yehova, hili dhehebu linazuia mtu wa dini hiyo kuongezewa damu,
Je waislam mtakubali kupamdikiziwa figo ya nguruwe?
Wewe unakula nyama ya mtu?Mbona unawekewa figo la mtu.Tumieni akili,ni swali,la ajabu sana.Mvaakobazi bora azini kuliko kula nyama ya kiti..dini zingine unafiki mtupu..ila kuhusu figo ya nguruwe ni tiba wataipokea kwa mikono miwili mana hakuna apendaye kifo.
#MaendeleoHayanaChama
Dini zote,zimekataza kula nyama ya binadamu.Lakini wanaekewa figo ya binadamu.Huu kama sio uchokozi ni kitu gani?
Au wanataka kujua kama nilihudhuria mafunzo ya aina moja na Hamza?
Siyo dharau mzee, kinachoshangaza ni yale watu wanaweza kufanya kwa ajili ya imani hiziNi kweli dini tumeletewa ila hyo statement hai justify kudharau dini ya mwengine hata kama ukiwa atheist
Nyama ya binadamu hailiwi,dini zote zimekataza,lakini figo ya binadamu unawekewa.Tumieni akili.huu ujinga ndiyo uwa mnadanganyana baada rakaa?.
... hapo umeweka busara zako badala ya kuangalia maandiko.sasa hapo si bora ule nguruwe utaenda chooni kunya[emoji1787]
ila ukipandikizwa figo maana yake wewe ni nguruwe
Nguruwe anashambuliwa kwa uharibifu wa mazao,sio kwa jingine.Nguruwe wakiingia kwenye shamba la mihogo,hata liwe ukubwa gani,wanalimaliza mda huo huo,na kuharibu mimea yote.Tatizo kuna watu wanamwona kama adui na kama ameumbwa na shetani hata kumeona tuu wanataka kumshambulia
Wapo nguruwe mwitu,wengi tu.Hawahitaji kufugwa.Sasa wanasema wale wakiwa na dhalula tu.
Je atawafuga nani hao nguruwe ili wawanusuru wakati wa dhiki ya chakula ?
Ni vyema nao wakafuga ili wakati wa mahitaji hayo wale kiasi walichoambiwa.
Je ukiwekewa figo la binadamu,ndio utasema umekula nyama ya binadamu.Lakini figo si lipo tumboni, wakiliweka itakuwa kama vile umekula tu figo la nguruwe?
Binadamu ni haramu nyama yake kukiwa,lakini figo yake unawekewa.Itabidi mkae chemba muelewane kwanza ndipo mje na kauli moja, maana mapingana wenyewe
... nguruwe sio kiumbe pekee anayekula offspring yake Chief; wako wengi tu mbona! Tuliza akili; ukijenga hoja kwa chuki utaingia chaka ambalo "hutachomoka".Mnyama gani uyo ety akishikwa na njaa ata mwanae anamla yni yy kila kitu anakula
mnyama gni asokua na huruma na mwanae ivi ww m.damu ukishikwa na njaa ushawahi kumla mwanao. Yni mambo mengine ni kutumia ubongo wako tuu hlf ukaamua
... umegonga pale pale penye mshono! Akitoa majibu ya kueleweka, yasiyo ya chuki, ni-tag Mkuu.Dini zote,zimekataza kula nyama ya binadamu.Lakini wanaekewa figo ya binadamu.
Sent using Jamii Forums mobile app