Lupweko nadhani hujawajua wana JF, Scars ni mtu anayejulikana kuwa si muumini wa dini yoyote na mimi ni muumini wa uislamu vipi tukae chemba halafu tuje na kauli moja?Itabidi mkae chemba muelewane kwanza ndipo mje na kauli moja, maana mapingana wenyewe