steveachi
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 10,643
- 12,247
Utajua hujuihuu ujinga ndiyo uwa mnadanganyana baada rakaa?.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utajua hujuihuu ujinga ndiyo uwa mnadanganyana baada rakaa?.
Wataelewa tuImesema yaliyopita, yanayoendelea na imesema kuhusu yajayo
Kwako wewe hujaona uharamu wake lakini Mungu akishasema kitu ni haramu basi haina haja ya binadamu kubisha mna yy ndo alokuumba.Nahisi kuna kutoelewana kwa taarifa na mapokeo ya kale (mafunzo ya dini )
Huyu mdudu sijaona kosa (uharamu) lake
[emoji41]
Tatizo kuna watu wanamwona kama adui na kama ameumbwa na shetani hata kumeona tuu wanataka kumshambuliaKinachokatazwa ni kula nguruwe!
Ndio dini ya kiislamu inaruhusu kula nguruwe kwa ajili ya kuokoa maisha ya m.damu endapo hakuna chakula kwa wakati ule lkn asile kwa kushiba bali ale kwa kiasi tu ili asijepatwa na mauti[emoji2960][emoji2960][emoji2960] watasema "kila mtu atakufa tu" ila ukiumwa wewe hakuna wingi.
Nasikia Qur'an inaruhusu kula [emoji200] ukiwa kwenye hali ya kufa ili kuyaokoa maisha yako.
FaizaFoxy Bwana Utam STRUGGLE MAN
Ufafanuzi tafadhali
Babu yenu huyo msimlee..Nahisi kuna kutoelewana kwa taarifa na mapokeo ya kale (mafunzo ya dini )
Huyu mdudu sijaona kosa (uharamu) lake
[emoji41]
😂😂😂😂😂😂😂😂Mvaakobazi bora azini kuliko kula nyama ya kiti..dini zingine unafiki mtupu..ila kuhusu figo ya nguruwe ni tiba wataipokea kwa mikono miwili mana hakuna apendaye kifo.
#MaendeleoHayanaChama
kijana usiseme ujinga muulize vzr kma kakosea pia atasema kama kakoseahuu ujinga ndiyo uwa mnadanganyana baada rakaa?.
Wanyama wengi wamepigwa marufuku ila sijajua kwanini huyu wamemuwekea kipaumbele sanaNahisi kuna kutoelewana kwa taarifa na mapokeo ya kale (mafunzo ya dini )
Huyu mdudu sijaona kosa (uharamu) lake
[emoji41]
Hao wanofanya ivo wanafanya kwa utashi wao tuu mana uislamu haujasema ivo na umekataza pia dharau ata kama ni huyo nguruweTatizo kuna watu wanamwona kama adui na kama ameumbwa na shetani hata kumeona tuu wanataka kumshambulia
Tuambie mstari unaozungumzia kupandikiza figo ya nguruwe.Koroani haijaacha kitu,
Mapadri wanajua hili fika ndio maana wametulia tu kwa kuwa wanasoma vitabu vyote,
Imetoa maelezo ya kutosha tu nini cha kufanya inapotokea hivyo,koroani sio ya mchezochezo ndugu
Uislamu umeruhusu kula nguruwe endapo hakuna chakula chengine iyo sehemu ulokuepo lkn sio kama unavofanya weweMi huwa kila nikipata dhalula ya njaa ya kufa siku za weekend huwa nakula nyama ya Nguruwe kilo moja tu (sio ya kushiba) na najisikia nafuu hapo hapo.
Kwali kila kiumbe cha Mwenyezi Mungu kina umuhimu wake.
kwasababu maandiko ndo yamesema ivoWanyama wengi wamepigwa marufuku ila sijajua kwanini huyu wamemuwekea kipaumbele sana
kwani paa au swala wanafugwa na nani?Sasa wanasema wale wakiwa na dhalula tu.
Je atawafuga nani hao nguruwe ili wawanusuru wakati wa dhiki ya chakula ?
Ni vyema nao wakafuga ili wakati wa mahitaji hayo wale kiasi walichoambiwa.