OLS
JF-Expert Member
- Oct 12, 2019
- 426
- 685
Kama unataka kuingia kwenye kilimo ni muhimu kujua bei za soko za bidha unazotaka kujihusisha nazo ili kujua zao ambalo litakulipa zaidi na ukajikwamua kiuchumi
Kwa takwimu zilizopo bei ya Kilo moja ya Tumbaku ni kubwa kuliko bei ya Chai. Kwa kipindi cha 2002 hadi 2021 Tumbaku iliuzwa kwa wastani wa Tsh, 9,300 na chai iliuzwa kwa wastani wa Tsh 5,550 kwa kilo moja
Kwa kipindi cha 2002 hadi 2021 bei kubwa ya chai ilikuwa Tsh. 7,620 wakati bei kubwa ya tumbaku ilikuwa Tsh 11,800 kwa kilo
Data Source: BoT
Signed: OEDIPUS
Kwa takwimu zilizopo bei ya Kilo moja ya Tumbaku ni kubwa kuliko bei ya Chai. Kwa kipindi cha 2002 hadi 2021 Tumbaku iliuzwa kwa wastani wa Tsh, 9,300 na chai iliuzwa kwa wastani wa Tsh 5,550 kwa kilo moja
Kwa kipindi cha 2002 hadi 2021 bei kubwa ya chai ilikuwa Tsh. 7,620 wakati bei kubwa ya tumbaku ilikuwa Tsh 11,800 kwa kilo
Data Source: BoT
Signed: OEDIPUS