bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,679
Wengi wetu twadhani kwamba mtu anapopga Mwayo(Yawn) ni dalili za Uchovu, Njaa au kukereka.
La Hasha! wataalamu wanakwambia tunapopgia Mwayo Tunapooza Ubongo(Cool down our Brain System) Na ivyo hutusaidia kufikiri vizuri/Ubongo kufanya kazi vizuri.
.
Its like Computer ukii-Refresh itafanya kazi kwa spidi kubwa. So usiogope Kupiga Miayoo ina faida kubwa Kiafya.
La Hasha! wataalamu wanakwambia tunapopgia Mwayo Tunapooza Ubongo(Cool down our Brain System) Na ivyo hutusaidia kufikiri vizuri/Ubongo kufanya kazi vizuri.
.
Its like Computer ukii-Refresh itafanya kazi kwa spidi kubwa. So usiogope Kupiga Miayoo ina faida kubwa Kiafya.