Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata na mimi nimewaza hivyo, teknolojia gani ya tangu mwaka 1970 ambayo inafichwa?Hii ya mwisho ni chai
Smartphone inamaliza mchezo wa picha kirahisi sanaHii ya mwisho ni chai
Mwana umetishaaaaSindio hapo ama?View attachment 2116383
Ni kwel mzee 2014 Kuna mwamba tulikuwa nae kweny basi tukitoka jkt jamaa akapiga picha tumevuka tu daraja Gari ikasimamishwa private mmoja akaingia aka mfuata jamaa moja kwa moja akamwambia futa picha zote kweny smu kilicho tusaidi kutoka pale mapema ni sababu tulikuwa wote tumetoka mafunzoni kwaiyo Kuna kamera zina nasa mpak ndani ya GariHii ya mwisho ni chai
mambo ya usalama mkuu sio iyo copyright aliyosemaHilo eneo la catchment mbona kubwa sana!! Kuzuia kupiga picha ni ishu za kizamani kabisa na ushamba, kama kuhamishia TV chumbani miaka hii. Waruhusu tu, pana potential kubwa ya utalii.
Sababu ni za kiusalama sio teknolojia maana teknolojia iliyotumika ni ya wageni Hao tunaowafichaYa maziwa au ya rangi??.
Pole sana mkuuDah umenikumbusha nilipiga picha nikiwa kwenye Basi nikitoka Iringa, mbele kwenye geti wakasimamisha basi Askari wa SUMA JKT akatangaza kuna mtu kapiga picha Ajisalimishe, dah nilikosa amani watu wote kimya konda naye akaanza kusema jamani aliypuga licha ashuke, huku askari ananikazia macho akaniuliza ni wewe nikamwambia hapana uzuri nilikuwa nikishafuta picha zote nikampa simu nikamwambia angalia huku mapigo ya moyo yakienda resi vibaya sana.
Mwisho wa siku wakaturuhu dah ilikuwa siku mbaya sana kwangu