bhakamu
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 813
- 787
Ndio penyewe sasa wewe ulipigane hizo picha wakati mtoa mada yy alishindwa[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Sindio hapo ama?View attachment 2116383
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio penyewe sasa wewe ulipigane hizo picha wakati mtoa mada yy alishindwa[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Sindio hapo ama?View attachment 2116383
Mkuu mimi nimeingia Kidatu.Kati ya tecnologia niliyoikubali ni ile mitambo kule chini, jinsi walivyochimba ule mwamba kwa urefu na ukubwa ulee, hewa nzuri ya oksijeni iliyochujwa na kuingizwa, kupitia mitambo,
Ukiwa kule ndani na palivyo pakubwa na yale maofisi ni kama upo nje tuuh, palivyo pasafi na pazuri.
Ukiangalia zile bomba zilivyokubwa na ile pressure ya maji ilivyokubwa, huwezi hata msikia mwenzako akiongea.
Hii ilitolewa kama sababu ya kukatika umeme, lakini je mbona umeme hukatika hata usiku wa manane wakati matumizi yakiwa chini kabisa?Je, Wajua?
Kuanzia saa 10 mpaka saa 4 usiku ndio 'Peak Hour' yaani muda ambao Watanzania wanakuwa na matumizi ya umeme ya makubwa sana.