Je, wajua haya kuhusu bwawa la Mtera?

Mkuu mimi nimeingia Kidatu.
Tunnel la kupitisha maji kulisha turbines zote nne ni 10km!
Ule mteremko wa mwisho, penstocks, kama nakumbuka zinatelemka karibia 150m.
Pressure ya maji inazungusha turbines nzito kama karatasi!
 
Je, Wajua?
Kuanzia saa 10 mpaka saa 4 usiku ndio 'Peak Hour' yaani muda ambao Watanzania wanakuwa na matumizi ya umeme ya makubwa sana.
Hii ilitolewa kama sababu ya kukatika umeme, lakini je mbona umeme hukatika hata usiku wa manane wakati matumizi yakiwa chini kabisa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…