Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
Hahaha hata hivyo natupia tu bado. Hapa yenyewe ndio nalipua. Ibuka basi. Au na wewe ushatupia vyako maana naona hapo juu mpaka aibu nimeona mimi.
Mie nisharipuka kitambo sana mbona,si unaona mwenyewe ze wikend iz hia
Sema itabidi niibukie hapo one time,ngoja niendelee kujiboost hapa