Je, wajua haya kuhusu Nyuki na asali?


Tafuta vile vya mpingo ama mbao pori
 

Tafufa
Unaweza ukafafanua kidogo jinsi wanandoa wachanga walivyoitumia asali "miaka" hiyo?
Nipe muda
 

Tafufa
ukizoea kuramba asali na ndizi mbivu iliyoiva sana mpaka kuweka madoa meusi,utakua Gatuso kila mpira ulipo na wewe upo.
Straight away naanza leo😀
 
Copied from Facebook
 
Nyuki ana mpangilio wa majukumu,Nyuki si goigoi wala lelemama,Nyuki anazalisha bidhaa (asali) ila mjomba wake Nzi yeye akijiamkia huyoo kwenye mavi,hana mpangilio na hazalishi chochote.Tuishi kama Nyuki.
Na hadithi yangu imeishia hapooo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…