Matanga
JF-Expert Member
- Nov 13, 2019
- 2,281
- 3,976
Mnamo mwaka 1966 kombe la dunia liliibiwa na baadae mbwa akalipata siku chache kabla ya mshindano hayo kuanza[emoji4]. Kombe la dunia kwa mara ya kwanza lilitengenezwa kwa makaratasi na kubadilishwa baada ya kuharibiwa na mvua kali iliyonyesha. Siku hizi kombe hilo linatengenezwa na zahabu yenye uzito upatao kilo 4.97
Sasa umejua.
Sasa umejua.