Je wajua, Jerusalem ni Jiji pekee linalopatikana Duniani na Mbinguni?

Je wajua, Jerusalem ni Jiji pekee linalopatikana Duniani na Mbinguni?

Salaam, Shalom!!

Yapo majiji mazuri duniani Hilo halipingiki,

Lakini, Pana Jiji liitwalo Jerusalem, Jerusalem ni Jiji pekee ambalo lipo duniani na Mbinguni.

Na hayupo na hatokuwepo atakayeingia Mbinguni ikiwa Si Mwisrael wa mwilini au wa rohoni.

Ikiwa unapenda kuwa mmoja wa raia wa Jiji hili zuri la Mbinguni Jerusalem, fuatisha Sala hii,

Ee Mungu katika jina la Yesu Kristo, ninakukiri wewe kuwa bwana na mwokozi wa maisha yangu, ninatubu dhambi zangu zote, ninaomba unisamehe, ulifute jina langu katika kitabu cha hukumu, uliandike jina langu katika kitabu cha uzima, nipe uwezo wa kuishi maisha matakatifu, dhambi isinishinde, uovu usinishinde, ulevi usinishinde, ninaomba hayo kupitia jina la Yesu Kristo aliye bwana na mwokozi wa maisha yangu. Amen

Karibuni 🙏
Tuondolee huu utopolo
 
Proved

Israel ni Ishara ya Mungu duniani.

Wakristo pia ndio sababu ya Amani hata hii kidogo duniani.

Pasipo Israel na wakristo, Dunia itachomeka.
 
Hapana ila nilichokijua ni hauna akili
 
Salaam, Shalom!!

Yapo majiji mazuri duniani Hilo halipingiki,

Lakini, Pana Jiji liitwalo Jerusalem, Jerusalem ni Jiji pekee ambalo lipo duniani na Mbinguni.

Na hayupo na hatokuwepo atakayeingia Mbinguni ikiwa Si Mwisrael wa mwilini au wa rohoni.

Ikiwa unapenda kuwa mmoja wa raia wa Jiji hili zuri la Mbinguni Jerusalem, fuatisha Sala hii,

Ee Mungu katika jina la Yesu Kristo, ninakukiri wewe kuwa bwana na mwokozi wa maisha yangu, ninatubu dhambi zangu zote, ninaomba unisamehe, ulifute jina langu katika kitabu cha hukumu, uliandike jina langu katika kitabu cha uzima, nipe uwezo wa kuishi maisha matakatifu, dhambi isinishinde, uovu usinishinde, ulevi usinishinde, ninaomba hayo kupitia jina la Yesu Kristo aliye bwana na mwokozi wa maisha yangu. Amen

Karibuni [emoji120]
Aisee!
 
Hata kwenye muvi sishangai, wazungu wanapenda kudifine Ulimwengu mzima uko ktk nchi zao, janga la USA linatangazwa kama janga la Ulimwengu, uvamizi kwa nchi ya wamagharibi unakuzwa na kuitwa uvamizi wa dunia nzima, watu wa aina hii kwanini wasijipendelee hata ktk maandiko kuvipa vipaumbele vitu vyao, majina Yao, tamaduni zao, tabia na Ushenzi wao upo ktk hizo dini za ukristo na uislam.

Angalau ningeona muafrika kapewa kipaumbele hata kwa 30% ktk dini zao ningeshawishika kuziamini, lkn haimake sense mtu mzima kuamini mambo yasiyo na uhalisia.
 
Hata kwenye muvi sishangai, wazungu wanapenda kudifine Ulimwengu mzima uko ktk nchi zao, janga la USA linatangazwa kama janga la Ulimwengu, uvamizi kwa nchi ya wamagharibi unakuzwa na kuitwa uvamizi wa dunia nzima, watu wa aina hii kwanini wasijipendelee hata ktk maandiko kuvipa vipaumbele vitu vyao, majina Yao, tamaduni zao, tabia na Ushenzi wao upo ktk hizo dini za ukristo na uislam.

Angalau ningeona muafrika kapewa kipaumbele hata kwa 30% ktk dini zao ningeshawishika kuziamini, lkn haimake sense mtu mzima kuamini mambo yasiyo na uhalisia.
Uhalisia ni kuwa,

Kwanza Jiji la Jerusalem lipo.

Pili Jiji Hilo lipo Duniani na Mbinguni wakati huo huo.
 
1733953065429.png
 
Back
Top Bottom