Je wajua, Jerusalem ni Jiji pekee linalopatikana Duniani na Mbinguni?

Amina mkuu,kwa ninavyojua mimi unaposema jiji manake kuna mabarabara,mabenki,hospitali,trafiki wa kuongozea magari,n.k,,sasa unaposema kuna jiji la jerusalem mbinguni na duniani?/ ina maana jiji la jerusalemu la mbinguni lina hayo mambo?????
 
Amina mkuu,kwa ninavyojua mimi unaposema jiji manake kuna mabarabara,mabenki,hospitali,trafiki wa kuongozea magari,n.k,,sasa unaposema kuna jiji la jerusalem mbinguni na duniani?/ ina maana jiji la jerusalemu la mbinguni lina hayo mambo?????
Lina sifa zote zaidi ya hizi za huku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…