Je Wajua kuna Fupa Fulani la Dhulma kwa Watanzania, Liliwashinda Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Magufuli, Jee Mama Samia Ataliweza Fupa Hili?.

Je Wajua kuna Fupa Fulani la Dhulma kwa Watanzania, Liliwashinda Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Magufuli, Jee Mama Samia Ataliweza Fupa Hili?.

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
53,857
Reaction score
121,995
Wanabodi,
Karibu Makala yangu ya "Kwa Maslahi ya Taifa" Jumapili ya Leo
Screen Shot 2022-06-19 at 9.28.22 AM.png
Screen Shot 2022-06-19 at 9.28.02 AM.png

Hii ni makala mwendelezo ilianzia hapa Je, jicho la Rais Samia litauangazia Ubatili huu ndani ya Katiba yetu unaopora Haki ya Msingi, uliochomekewa kibatili ili kuuhalalisha?

Kama kawaida yangu, kila Jumapili, huibuka na makala zangu za "kwa Maslahi ya Taifa"
Makala hizi huandikwa kwa mtindo wa maswali fikirishi.
Swali la makala ya leo ni "Je wajua kuna fupa fulani la dhulma fulani inayofanywa kwa Watanzania?. Fupo hilo la dhulma hiyo, liliwashinda Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Magufuli, , tena wote hao ni marais wanaume, wakitegemewa ni majabali, lakini fupa hili liliwashinda!. Rais Samia, japo ni rais Mwanamke, ameisha onyesha kwa kauli na matendo, yeye ni mpenda haki na mtenda haki kuliko hata marais waliomtangulia. Jee Mama Samia ataliweza fupa hili?.

Fupa lenyewe ni haki ya kuchagua na kuchaguliwa. Katiba yetu ya mwaka 1977, ilitoa haki sawa kwa kila Mtanzania kuchagua viongozi wake, yaani haki ya kupiga kura ni kwa Watanzania wote, na vivyo hivyo, haki ya kuchaguliwa pia ilitolewa kwa Watanzania wote, kupitia kugombea uangozi, haki hiyo ya kuchaguliwa ikaja kuporwa kwa kuchomekewa vipengele vilivyoipora haki hiyo.

Lengo la makala hii ni kuiangazia haki hii muhimu iliyoporwa ili jicho la haki la rais wetu Mama Samia liiangazie haki hii muhimu na kuirejesha kwa Watanzania.

Jee fupa hili lililowashinda watangulizi wake mijibaba, jee Mama ataliweza
Andamana nami katika makala hii.

Nakutakia Jumapili Njema

Paskali
 
Wanabodi,
Karibu Makala yangu ya "Kwa Maslahi ya Taifa" Jumapili ya Leo
View attachment 2265455View attachment 2265457
Kama kawaida yangu, kila Jumapili, huibuka na makala zangu za "kwa Maslahi ya Taifa"
Makala hizi huandikwa kwa mtindo wa maswali fikirishi.
Swali la makala ya leo ni "Je wajua kuna fupa fulani la dhulma fulani inayofanywa kwa Watanzania?. Fupo hilo la dhulma hiyo, liliwashinda Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Magufuli, , tena wote hao ni marais wanaume, wakitegemewa ni majabali, lakini fupa hili liliwashinda!. Rais Samia, japo ni rais Mwanamke, ameisha onyesha kwa kauli na matendo, yeye ni mpenda haki na mtenda haki kuliko hata marais waliomtangulia. Jee Mama Samia ataliweza fupa hili?.

Fupa lenyewe ni haki ya kuchagua na kuchaguliwa. Katiba yetu ya mwaka 1977, ilitoa haki sawa kwa kila Mtanzania kuchagua viongozi wake, yaani haki ya kupiga kura ni kwa Watanzania wote, na vivyo hivyo, haki ya kuchaguliwa pia ilitolewa kwa Watanzania wote, kupitia kugombea uangozi, haki hiyo ya kuchaguliwa ikaja kuporwa kwa kuchomekewa vipengele vilivyoipora haki hiyo.

Lengo la makala hii ni kuiangazia haki hii muhimu iliyoporwa ili jicho la haki la rais wetu Mama Samia liiangazie haki hii muhimu na kuirejesha kwa Watanzania.

Jee fupa hili lililowashinda watangulizi wake mijibaba, jee Mama ataliweza
Andamana nami katika makala hii.

Nakutakia Jumapili Njema

Paskali
Umefilisika sera kichwani mzee kubali tuu yaishe usiendelee kujiaibisha zaidi kaa kimya wew babu. Na huyo Nyerere unaye mtaja alikwambia watu mlio filisika sera kichwani kama wewe huwa mnatumia udini, ukabila na ubaguzi wa kila aina kushibisha matumbo yenu.
 
Hii Makala yako fupi ungeiandika kipindi cha Magufuli tungejua kuwa wewe ni muungwana.
Kinyume cha hapo nakuomba tulia tu
Mayalla aliandika kuikosoa Serikali ya Magufuli hadi akaitwa kuhojiwa na Bunge

Mayalla pia kwenye mkutano wa waandishi wa habari na Magufuli ndio alikuwa muandishi pekee aliyemuuliza Magufuli kuhusu kuvunja katiba huku waandishi wetu wengine wakimsifia
 
Dk Kigwangala akiwa waziri wa utalii aliweza kupandisha idadi ya watalii kutoka laki nane kwa mwaka mpaka millioni 1.5 kwa mwaka, vigogo kadhaa walifika kutalii nchi yetu ,mfano Barack Obama na familia yake ,David Beckham walitalii mbuga ya serengeti mwaka 2018 bila ya royal tour wala nini. Ni mpaka baada ya kuibuka kwa ugonjwa wa corona mwaka 2019 nchi nyingi zikaweka lockdown na kufungia raia wake na mipaka yake ndipo watalii wakapungua Tanzania.
Sasa imeibuka tabia ya kutaka kuhalalisha ulaji wa billioni 7 za walipa kodi wa Tanzania kwenye filamu ya royal tour kwa kuhusisha kila mtalii anayekuja Tanzania eti ameletwa na hiyo filamu!!
Sasa tuambieni hii filamu ya royal tour imewawezesha kupokea watalii wangapi kwa mwezi na hapo kabla ya lockdown za Corona mlikuwa mnapokea watalii wangapi kwa mwezi? Ili tuweze kupima tija ya hii filamu yenu.
Dk Kigwangala jitokeze uweke rekodi sawa vinginevyo unajengewa picha kwamba hamna chochote ulichofanya kwenye wizara ya utalii.
 
Wanabodi,
Karibu Makala yangu ya "Kwa Maslahi ya Taifa" Jumapili ya Leo
View attachment 2265455View attachment 2265457
Kama kawaida yangu, kila Jumapili, huibuka na makala zangu za "kwa Maslahi ya Taifa"
Makala hizi huandikwa kwa mtindo wa maswali fikirishi.
Swali la makala ya leo ni "Je wajua kuna fupa fulani la dhulma fulani inayofanywa kwa Watanzania?. Fupo hilo la dhulma hiyo, liliwashinda Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Magufuli, , tena wote hao ni marais wanaume, wakitegemewa ni majabali, lakini fupa hili liliwashinda!. Rais Samia, japo ni rais Mwanamke, ameisha onyesha kwa kauli na matendo, yeye ni mpenda haki na mtenda haki kuliko hata marais waliomtangulia. Jee Mama Samia ataliweza fupa hili?.

Fupa lenyewe ni haki ya kuchagua na kuchaguliwa. Katiba yetu ya mwaka 1977, ilitoa haki sawa kwa kila Mtanzania kuchagua viongozi wake, yaani haki ya kupiga kura ni kwa Watanzania wote, na vivyo hivyo, haki ya kuchaguliwa pia ilitolewa kwa Watanzania wote, kupitia kugombea uangozi, haki hiyo ya kuchaguliwa ikaja kuporwa kwa kuchomekewa vipengele vilivyoipora haki hiyo.

Lengo la makala hii ni kuiangazia haki hii muhimu iliyoporwa ili jicho la haki la rais wetu Mama Samia liiangazie haki hii muhimu na kuirejesha kwa Watanzania.

Jee fupa hili lililowashinda watangulizi wake mijibaba, jee Mama ataliweza
Andamana nami katika makala hii.

Nakutakia Jumapili Njema

Paskali
Mzee P kamuulize Rais Mstaafu wa ZNZ Dr Shein nakama utakuwa na namba ya yule jamaa anafufuwa watu kamfufuwe Maalimu wa Cuf ndipp utarudi nakusema kuwa Rais Tanzania nisawa nakupoteza ticket ya kwenda Mbinguni... Ndio maana bwana yuke akaona isiwe shida kama kura na ushindi unapatikana hivi wana chichiemu wote watakuwa wabunge maana mm siomnafiki. Basi ikawa.. sasa sidhani kama ataweza. Sorry
 
Mayalla aliandika kuikosoa Serikali ya Magufuli hadi akaitwa kuhojiwa na Bunge

Mayalla pia kwenye mkutano wa waandishi wa habari na Magufuli ndio alikuwa muandishi pekee aliyemuuliza Magufuli kuhusu kuvunja katiba huku waandishi wetu wengine wakimsifia
Kuna watu wamefungwa na wengine kupigwa Risasi kwaajili ya kuikosoa CCM na bado wamebakia na misimamo yao kuiona CCM ni janga la kitaifa sembuse huyo mchumia tumbo Mayala bwana.
Mayala anapigania uteuzi na ana njaa kali haandiki kitu kwa faida ya watu.
 
Kuna watu wamefungwa na wengine kupigwa Risasi kwaajili ya kuikosoa CCM na bado wamebakia na misimamo yao kuiona CCM ni janga la kitaifa sembuse huyo mchumia tumbo Mayala bwana.
Mayala anapigania uteuzi na ana njaa kali haandiki kitu kwa faida ya watu.
Hoja ya huyo niliyemjibu ni kuwa Paschal asingeweza kuandika alichoandika kipindi cha Magufuli
Wewe ulitaka apigwe risasi ndio ku prove kuwa alikosoa utawala?
 
Mayalla aliandika kuikosoa Serikali ya Magufuli hadi akaitwa kuhojiwa na Bunge

Mayalla pia kwenye mkutano wa waandishi wa habari na Magufuli ndio alikuwa muandishi pekee aliyemuuliza Magufuli kuhusu kuvunja katiba huku waandishi wetu wengine wakimsifia
Baadaye alipogundua kuwa Magufuli ni mamba mbona aliufyata mkia na kuanza kuandika Makala za mapambio mpaka mzee alupokata kamba?
 
Baadaye alipogundua kuwa Magufuli ni mamba mbona aliufyata mkia na kuanza kuandika Makala za mapambio mpaka mzee alupokata kamba?
Magufuli alikuwa mamba? alikuwa anakula watu ama? na kama alikuwa mamba, wewe mchango wako ni upi katika kukabiliana na huyo mamba? kujificha JF na ID fake na kulaumu?
 
Fupa lenyewe ni haki ya kuchagua na kuchaguliwa. Katiba yetu ya mwaka 1977, ilitoa haki sawa kwa kila Mtanzania kuchagua viongozi wake, yaani haki ya kupiga kura ni kwa Watanzania wote, na vivyo hivyo, haki ya kuchaguliwa pia ilitolewa kwa Watanzania wote, kupitia kugombea uangozi, haki hiyo ya kuchaguliwa ikaja kuporwa kwa kuchomekewa vipengele vilivyoipora haki hiyo.
Unaongelea mgombea binafsi kutoruhusiwa?.... Mahakam ya Tz ilikataa hili.
 
Haki ya kuchagua na kuchaguliwa ikitamalaki ccm itakufa asubuhi na mapema. Kwahiyo Samia hawezi kuthubutu kujikaanga na kukaanga chama chake
 
Baadaye alipogundua kuwa Magufuli ni mamba mbona aliufyata mkia na kuanza kuandika Makala za mapambio mpaka mzee alupokata kamba?
Mkuu Sandali Ali , kwanza ni mimi ndie niliyesema humu kuwa Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania ilihitaji Dikiteta, tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba! na baadae nikasema Elections 2015 - If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him!

Kiukweli enzi Magufuli anaingia mimi nilikuwa tajiri, nikiesha kampuni yenye wafanyakazi zaidi ya 20 ambayo pango la ofisi ni zaidi ya mshahara wa DC!.

Baada ya ile kauli ya "njaa" njaa ya kiukweli ikaanza kuniletea njaa ya kiukweli Uchumi wa Magufuli: Sekta Binafsi ina-Suffer. Yalianza Maduka, Yakafuata Mashirika, Sasa ni Zamu ya Media Ina-suffer

Ndipo nikagundua kauli huumba Kauli huumba! Je, ni kweli Magufuli ni dikiteta? Kama ni kweli, ni kosa la nani kati yake na aliyetoa kauli hii? hivyo kuna uwezekano huo udikiteta ni sisi ndio tumemuumbia kwa kauli zetu, hivyo tukibadilika na Kumuita malaika, kauli hiyo itamuumbia umalaika, hivyo nikaanza na kampeni ya affirmative action on positivism on Magufuli ili kauli hizi ziumbe mema and take it from me, hizo positive statements were doing wonders.

Kabla ya positivism campaign alitaka wanaokutwa na madawa China, wanyongwe, Magufuli shujaa, ataka 68 wa madawa wanyongwe! Kikwete alikuwa dhaifu mno, aliomba wasinyongwe! hivyo ili kutekeleza ushujaa huu tukamshauri Mhe. Rais Magufuli, Anza na Kusaini Hati za Wote Waliohukumiwa Kifo, Wanyongwe Haraka Haraka Mpaka.. lakini baada ya makala za positivism, alibadilika hadi anaitwa hakusaini hata death warrant moja!.

Kabla ya positivism alikuwa anaeshea vikao vya CCM Ikulu na kuwaambia wana CCM, Ikulu ni Ikulu yao watafanya nayo watakavyo, sisi wa kueleza humu, tukaeleza Pongezi Dkt. Magufuli kutenganisha shughuli za Chama na Serikali, Utabarikiwa na Tanzania itabarikiwa!

Hivyo he was changing for the better na laiti asingeitwa na Mungu, amini usiamini, 2025 angetuachia katiba mpya Trends, Visions: Watanzania msitatizwe na kauli zake kuhusu Katiba, baada ya Nyerere, ni Magufuli ndiye ataacha legacy kubwa ikiwemo Katiba Mpya!.

Hivyo hizi makala zangu, they are not nothing!, zinasaidia sana japo wanao saidiwa hawasemi na hawashukuru kwa usaidizi ila mabadiliko tunayaona.
P
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Umesahu ule msemo wako pia wa "Nina familia ya kuilisha sio jamii ya kuifurahisha"
Kwa kimombo, "I have a family to feed, not a community to impress"
Mkuu Sandali Ali , kwanza ni ndie niliyesema humu kuwa Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania ilihitaji Dikiteta, tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba! na baadae nikasema Elections 2015 - If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him!

Kiukweli enzi Magufuli anaingia mimi nilikuwa tajiri, nikiesha kampuni yenye wafanyakazi zaidi ya 20 ambayo pango la ofisi ni zaidi ya mshahara wa DC!.

Baada ya ile kauli ya "njaa" njaa ya kiukweli ikaanza kuniletea njaa ya kiukweli Uchumi wa Magufuli: Sekta Binafsi ina-Suffer. Yalianza Maduka, Yakafuata Mashirika, Sasa ni Zamu ya Media Ina-suffer

Ndipo nikagundua kauli huumbah ttps://www.jamiiforums.com/threads/kauli-huumba-je-ni-kweli-magufuli-ni-dikiteta-kama-ni-kweli-ni-kosa-la-nani-kati-yake-na-aliyetoa-kauli-hii.1328562/ hivyo kuna uwezekano huo udikiteta ni sisi ndio tumemuumbia kwa kauli zetu, hivyo tukibadilika na Kumuita malaika, kauli hiyo itamuumbia umalaika, hivyo nikaanza na kampeni ya affirmative action on positivism on Magufuli ili kauli hizi ziumbe mema and take it from me, hizo positive statements were doing wonders.

Kabla ya positivism campaign alitaka wanaokutwa na madawa China, wanyongwe, Magufuli shujaa, ataka 68 wa madawa wanyongwe! Kikwete alikuwa dhaifu mno, aliomba wasinyongwe! hivyo ili kutekeleza ushujaa huu tukamshauri Mhe. Rais Magufuli, Anza na Kusaini Hati za Wote Waliohukumiwa Kifo, Wanyongwe Haraka Haraka Mpaka.. lakini baada ya makala za positivism, alibadilika hadi anaitwa hakusaini hata death warrant moja!.

Kabla ya positivism alikuwa anaeshea vikao vya CCM Ikulu na kuwaambia wana CCM, Ikulu ni Ikulu yao watafanya nayo watakavyo, sisi wa kueleza humu, tukaeleza Pongezi Dkt. Magufuli kutenganisha shughuli za Chama na Serikali, Utabarikiwa na Tanzania itabarikiwa!

Hivyo he was changing for the better na laiti asingeitwa na Mungu, amini usiamini, 2025 angetuachia katiba mpya Trends, Visions: Watanzania msitatizwe na kauli zake kuhusu Katiba, baada ya Nyerere, ni Magufuli ndiye ataacha legacy kubwa ikiwemo Katiba Mpya!.

Hivyo hizi makala zangu, they are not nothing!, zinasaidia sana japo wanao saidia hawasemi.
P
 
Wanabodi,
Karibu Makala yangu ya "Kwa Maslahi ya Taifa" Jumapili ya Leo
View attachment 2265455View attachment 2265457
Kama kawaida yangu, kila Jumapili, huibuka na makala zangu za "kwa Maslahi ya Taifa"
Makala hizi huandikwa kwa mtindo wa maswali fikirishi.
Swali la makala ya leo ni "Je wajua kuna fupa fulani la dhulma fulani inayofanywa kwa Watanzania?. Fupo hilo la dhulma hiyo, liliwashinda Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Magufuli, , tena wote hao ni marais wanaume, wakitegemewa ni majabali, lakini fupa hili liliwashinda!. Rais Samia, japo ni rais Mwanamke, ameisha onyesha kwa kauli na matendo, yeye ni mpenda haki na mtenda haki kuliko hata marais waliomtangulia. Jee Mama Samia ataliweza fupa hili?.

Fupa lenyewe ni haki ya kuchagua na kuchaguliwa. Katiba yetu ya mwaka 1977, ilitoa haki sawa kwa kila Mtanzania kuchagua viongozi wake, yaani haki ya kupiga kura ni kwa Watanzania wote, na vivyo hivyo, haki ya kuchaguliwa pia ilitolewa kwa Watanzania wote, kupitia kugombea uangozi, haki hiyo ya kuchaguliwa ikaja kuporwa kwa kuchomekewa vipengele vilivyoipora haki hiyo.

Lengo la makala hii ni kuiangazia haki hii muhimu iliyoporwa ili jicho la haki la rais wetu Mama Samia liiangazie haki hii muhimu na kuirejesha kwa Watanzania.

Jee fupa hili lililowashinda watangulizi wake mijibaba, jee Mama ataliweza
Andamana nami katika makala hii.

Nakutakia Jumapili Njema

Paskali
UMEVIZIA MAGUFULI KAFA NDIO UNAJIFANYA ETI UNAPIGANIA HAKI

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
UMEVIZIA MAGUFULI KAFA NDIO UNAJIFANYA ETI UNAPIGANIA HAKI

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Karibu uangalie tarehe ya mabandiko yangu haya ni ya lini na ujiulize kama Magufuli alikuwepo au hakuwepo
Anza na hii Sheria ya Uchaguzi Ni Bad Law! Kuendelea Kuitumia ni Ujinga? Kuwabebesha Masikini Gharama za Uchaguzi ni Dhambi!

kisha Shurti la kudhaminiwa na chama kugombea uchaguzi, ni shurti batili kwa mujibu wa Katiba, linatutia hasara, tulifute!.

P
 
Back
Top Bottom