Uchaguzi 2020 Je, wajua kuna watu wazuri, waadilifu wenye uwezo, wanaotaka kuingia Bungeni kulisaidia Taifa, Bunge na kumsaidia JPM kwa dhati, lakini kwa vile...

Imetokea Kawe kulikuwa na mchuano mkali na Paskali alikosa kabisa ushawishi kwa wajumbe na NEC ya CCM pia haikumwona anatosha.

Pamoja na haya, bado wengi twamona Paskali kama mmoja ya wasomi wenye uwezo wa kuwa "game changers"

Ikimpendeza Mhe. Rais, tunakuombea akuteue kwenye viti 10 au mahali pengine ambapo ataona unafaa.

Tunakutakia heri mkuu Paskali.
 
Mkuu ungegombea Udiwani kwanza ili ujifunze namna siasa za ushindani zinavyokwenda siku hizi.

Lakini pia usikate tamaa, JPM anaweza kukumbuka kwenye teuzi zake 10 za Ubunge.
 
Pole sana kaka Paskali, yote ni mapito,
Naomba nikuambie agenda ya ibilisi ilivyo shika hasa vyombo au mamlaka za nchi hasa zenye kufanya uteuzi, kuajiri, au kufanya decision kuhusu nchi, ni kwamba unakuta MTU yupo safi sana akiwa nje ya system lakini punde tu anapopata nafasi ya kuingia kwenye ivyo vyombo au mamlaka basis ugeuzwa kifikra na kimtazamo moja kwa moja na kubadilisha agenda aliyokuwanayo before ajaingia ndani yao.
Ni VP ......ni wamba ndani ya mifumo mingi ya nchi yetu haitaki kabisa watu wakweli na wanaofanya kazi kwa kumcha Mungu.
Ni kwamba agenda ya ibilisi ni kuona watu wanakuwa maskini sana na kuangaika bila mafanikio, ndo maaana tunapata viongozi wala rushwa,wachochezi, walafi, wanaokurupuka na mahamuzi yasiyo na busara.
Kwa iyo bro ayo yote unayoyaona ni agenda sake mtawala was Giza.
Na pole sana maana siyo we we tu uliyepitia mkasa km wako,lkn mwisho wa siku,sie wengine tunajua kinachoendelea ktk ulimwengu wa rohoo.
 
Ulipata vip kura moja kwenye kura za maoni kwa nini ulipata kura moja tu!?
Wewe Ulishindwa vipi kuwa shawishi wajumbe ambao hawaja zidi ata 500!
Mkuu Fundi, sababu nimezitaja hapa.
Natumaini umezielewa.
P
 
Hahaha ccm hakuna mtu mzuri, hakuna mtetezi wa wananchi bali chama.

Ni kupoteza muda kuichagua ccm.

By the way wamesema hawahitaji kura zetu, hivyo kura zote kwa Tundu Lisu na CHADEMA.
 
Wanobodi

Hizi ni baadhi ya agenda zangu zilizonivutia kwenda Bungeni.

Paskali
ingekua kumchagua ningemchagua...ila huwaga simuelewi anasimamia nini,huku yupo..kule yupo
Ndugu yangu Mkuu Rebeca 83, kwanza naomba kukujulisha kuwa wewe ni miongoni mwa members wa jf, who have the powers to make things happen!. Kumbe ungenichagua, tatizo ni hujui nasimamia nini, hivyo naomba kukukaribisha mitaa hii ili niweze kujitambulisha kwa karibu who I am and what I stand for, ili uweze kunifahamu kwa karibu na
ukiisha nifahamu, ikitokea ukanikubali kwa ninacho kisimamia, kwa vile kwa sasa mimi ni "mtia nia mahali",
Wana JF, niko mbele yenu kwa unyenyekevu kuomba baraka zenu & moral support yenu jambo langu hili liwe! Mniombee Mungu asaidie, awezeshe liwe!
ninacho omba kutoka kwako, it's just your "well wish will power" to me, to make it happen!.

P.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…