Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,677
Hahahaaaa....dadeki!!Wanabodi,
Kuna vitu mimi huwa navisema humu na watu wanavichukulia poa, ila vikija kutokea ndipo wenye uelewa wanaanza kuelewa nilikuwa nazungumzia nini.
Hivi ni baadhi ya vitu nilivyovisema na kweli vikaja kutokea
Sasa ninachokisema leo ni kuwa sio wengi wanajua kuwa hatma ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Chadema, iko mikononi mwa Mhe. Wilfred Lwakatare?. Chadema imepakua ugali kwa kila mtu kupewa ugali kwenye sahani yake, Kamati Kuu ya Chadema, wakaamua kuipindua sahani ya ugali wa Lakwatare, na kuumwaga ugali ili Lwakatare asile, huku wengine wote wakiwa na ugali wao kwenye sahani zao, wakisubiri bakuli la mboga litetwe, huku haku mwenye kumbukumbu ni nani aliyetumwa jikoni kwenda kuleta bakuli ya mboga, watu wapakuliwe ndipo wale!.
- Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli - JamiiForums
- Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam - JamiiForums
- Dr. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla Hajamwaga Sumu Hii - JamiiForums
- Je, Wajua Bunge linaweza kutoa azimio batili? CAG yuko kikatiba. Je, Bunge lina uwezo kutopokea ripoti ya CAG? - JamiiForums
- Je, Wajua Bunge linaweza kuvunjwa Siku 7 Zijazo?. lisipopokea ripoti ya CAG, Bunge linavunjwa kwa mujibu wa Katiba - JamiiForums
Mara aliyeibuka jikoni na bakuli ya mboga ni Mhe. Wilfred Lwakatare!, Amelishika bakuli la mboga za moto kwa mikono yake, huku mikono yake inaungua lakini amestahimili na kuvumilia huku akitokwa machozi, jasho na damu, kwa ajili ya Chadema!. Kabla hajalitua bakuli la mboga ili watu watu wapakue wote wale, akandua kuwa ugali wake umemwagwa!.
Wakati wanamwaga ugali wake, hakuna aliyekumbuka kuwa anayesubiriwa kuleta mboga watu wale ni Lwakatare, hivyo sasa wote wamenyamaza kimya kusubiria Lwakatare, atafanya nini baada ya kubaini Chadema wamemwaga ugali wake, huku mwenye bakuli ya mboga ni yeye!, sasa hatima ya kama Chadema watakula ama hawali, ikomikononi mwa Lwakatare, baada ya wao kumwaga ugali, Lwakarare akiamua kumwaga mboga, then wanakosa wote!, Chadema ndio inakuwa kwishney!.
Ili uelewa mimi nazungumza nini, ni lazima kwanza ukijue kisa, ambacho ndio bakuli ya mboga.
Ngoma ilianzia Star TV tarehe 30 Dec, 2012
On Star TV: Zitto, Nchemba na Mtatiro ktk mjadala wa kutathmini ya Siasa Tanzania 2012 - JamiiForums
Ndipo hatimaye movie ikapandishwa you tube na hapa ukazungumzia mwanzo mwisho
Chadema wafichua mtandao wa ugaidi - JamiiForums
Mwigulu Nchemba amekiri kuhusika na movie ya Lwekatare - ashikwe na kuunganishwa kesi hiyo - JamiiForums
Kisa chenyewe ni hiki.
Kasoro kubwa katika video ya Lwakatare - JamiiForums
Chadema ni chama cha ajabu sana!, kinayo katiba yake ambayo inaainisha taratibu zote za nidhamu ndani ya chama, kwanini hazifuatwi na badala yake mnakuja kuwatimua wanachama wenu kihuni huni tuu!, why?!. Kwanini CC ya Chadema inatoa maamuzi ya kihuni na kidikiteta bila kufuata sheria, taratibu na kanuni?.
Kuna watu unaweza kuwatimua kihuni huni tuu kwa kuwafukuza kama mbwa, lakini sio Lwakatare, na sababu ni moja tuu, ameipigania Chadema kwa machozi, jasho na damu!.
Chadema inapaswa kumyenyekea Lawakatare na kwasababu aliishatangaza kustaafu, Chadema walipaswa kumuacha tuu astaafu kwa amani, haswa kwa kuzingatia wamemfukuza wakati ambao Bunge hili limebakiza wiki3 tuu limalizike rasmi.
Umuhimu wa Lwakatare kuachwa tuu hata afanye nini au aseme nini, ni kumzuia asije kufungua mdomo wake!.
Ikitokea Lwakatare akaamua kufungua mdomo wake na kuyataja madudu ya ajabu Chadema inayoyafanya nyuma ya pazia, ikiwemo ile video mimi niliyoita hapo kuwa "bonafide genuine", Chadema Watakuwa mgeni wa nani?.
Mtu kama Lwakatare anafukuzwaje?.
Kufuatia hiyo video niliyoitaja kule juu, nilipokuta na Msajili wa vyama alisema
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, Kufutwa Kwa Mujibu wa Katiba!... Endapo ...! - JamiiForums
Sasa hiyo endapo katika bandiko hilo, ndilo bakuli la mboga, Lwakatare amelishikilia, licha ya yeye kunwagiwa ugali wake, anaweza kuamua yeye ndio akose na kulala njaa, hivyo atalitua tuu hilo bakuli la mboga na wengine wote wale, na yeye tuu ndio akafie mbele, ila akiamua kuonyesheana ubabe, na mambo yanakuwa ni ubabe ubabe tuu, maadamu wamemwaka ugali, na yeye anamwaga mboga...
yatakuwa mengine!.
Lets keep watching tukisubiria Lwakatare ataamua nini, ila amini usiamini, hatima ya Chadema, iko mikononi mwa Mhe. Lwakatare!, kubali, kataa!.
Paskali
Update kuhusu angalizo la uchangiaji.
Japo jf was ment to be a home of great thinkers,
Lakini humu jf tuna members wa aina 3, tuna
Mtu kuwa simple mind, ordinary mind na great minds ni the way one comprehend and thinking capacity, nimesema Lwakatare ameishika hatma ya Chadema mkononi mwake. Kwa vile Chadema wao wamemwaga ugali yeye akiamua Kumwaga mboga, Chadema keisha!.
- Simple minds, discuss people, wao badala ya kujadili hoja iliyo mezani, hawa watamjadili mtoa hoja.
- Ordinary minds, discuss events, hawa watadili matukio, nini kimetokea etc
- Great minds discuss ideas, hawa watajadili hoja iliyo mezani.
Ma simple minds watamdiscus mleta mada, Pasco na Lwakatare, hivi na vile, sii lolote sii chochote, that is their level.
Ordinary mind wao wata discuss event ya Lwakatare kutimuliwa na atamwaga vipi mboga, atakakata tawi alilokalia etc.
Great minds wata discuss hiyo hatma ya Chadema, jee ni kweli ikijulikana Chadema kinakufa?, hiyo hatma yenyewe ya Chadema Lwakatare aliyo mayo ni nini haswa?, does have merits hadi Chadema ife, etc
Hivyo be free kujadili kwa kadri ya uwezo wako na kundi lako keep on being free, kujadili watu, matukio na hoja, katika mabandiko yangu, ukiweza kujibu hoja, nitashukuru, ila hata ukinijadili, sikulaumu na likes nakutwangia.
Ukipata muda karibu ujibu hoja za bandiko hili.
Asante
P
Unaona ulivyo "mjinga"? Uliandika ujinga hapa ukajiona eti mwandishi wa habari! nipe mrejesho kwa andiko lako hili na hali ya CDM leo! Lkn kama Msukuma huwezi kujifunza angalau kwa hili!Wanabodi,
Kuna vitu mimi huwa navisema humu na watu wanavichukulia poa, ila vikija kutokea ndipo wenye uelewa wanaanza kuelewa nilikuwa nazungumzia nini.
Hivi ni baadhi ya vitu nilivyovisema na kweli vikaja kutokea
Sasa ninachokisema leo ni kuwa sio wengi wanajua kuwa hatma ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Chadema, iko mikononi mwa Mhe. Wilfred Lwakatare?. Chadema imepakua ugali kwa kila mtu kupewa ugali kwenye sahani yake, Kamati Kuu ya Chadema, wakaamua kuipindua sahani ya ugali wa Lakwatare, na kuumwaga ugali ili Lwakatare asile, huku wengine wote wakiwa na ugali wao kwenye sahani zao, wakisubiri bakuli la mboga litetwe, huku haku mwenye kumbukumbu ni nani aliyetumwa jikoni kwenda kuleta bakuli ya mboga, watu wapakuliwe ndipo wale!.
- Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli - JamiiForums
- Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam - JamiiForums
- Dr. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla Hajamwaga Sumu Hii - JamiiForums
- Je, Wajua Bunge linaweza kutoa azimio batili? CAG yuko kikatiba. Je, Bunge lina uwezo kutopokea ripoti ya CAG? - JamiiForums
- Je, Wajua Bunge linaweza kuvunjwa Siku 7 Zijazo?. lisipopokea ripoti ya CAG, Bunge linavunjwa kwa mujibu wa Katiba - JamiiForums
Mara aliyeibuka jikoni na bakuli ya mboga ni Mhe. Wilfred Lwakatare!, Amelishika bakuli la mboga za moto kwa mikono yake, huku mikono yake inaungua lakini amestahimili na kuvumilia huku akitokwa machozi, jasho na damu, kwa ajili ya Chadema!. Kabla hajalitua bakuli la mboga ili watu watu wapakue wote wale, akandua kuwa ugali wake umemwagwa!.
Wakati wanamwaga ugali wake, hakuna aliyekumbuka kuwa anayesubiriwa kuleta mboga watu wale ni Lwakatare, hivyo sasa wote wamenyamaza kimya kusubiria Lwakatare, atafanya nini baada ya kubaini Chadema wamemwaga ugali wake, huku mwenye bakuli ya mboga ni yeye!, sasa hatima ya kama Chadema watakula ama hawali, ikomikononi mwa Lwakatare, baada ya wao kumwaga ugali, Lwakarare akiamua kumwaga mboga, then wanakosa wote!, Chadema ndio inakuwa kwishney!.
Ili uelewa mimi nazungumza nini, ni lazima kwanza ukijue kisa, ambacho ndio bakuli ya mboga.
Ngoma ilianzia Star TV tarehe 30 Dec, 2012
On Star TV: Zitto, Nchemba na Mtatiro ktk mjadala wa kutathmini ya Siasa Tanzania 2012 - JamiiForums
Ndipo hatimaye movie ikapandishwa you tube na hapa ukazungumzia mwanzo mwisho
Chadema wafichua mtandao wa ugaidi - JamiiForums
Mwigulu Nchemba amekiri kuhusika na movie ya Lwekatare - ashikwe na kuunganishwa kesi hiyo - JamiiForums
Kisa chenyewe ni hiki.
Kasoro kubwa katika video ya Lwakatare - JamiiForums
Chadema ni chama cha ajabu sana!, kinayo katiba yake ambayo inaainisha taratibu zote za nidhamu ndani ya chama, kwanini hazifuatwi na badala yake mnakuja kuwatimua wanachama wenu kihuni huni tuu!, why?!. Kwanini CC ya Chadema inatoa maamuzi ya kihuni na kidikiteta bila kufuata sheria, taratibu na kanuni?.
Kuna watu unaweza kuwatimua kihuni huni tuu kwa kuwafukuza kama mbwa, lakini sio Lwakatare, na sababu ni moja tuu, ameipigania Chadema kwa machozi, jasho na damu!.
Chadema inapaswa kumyenyekea Lawakatare na kwasababu aliishatangaza kustaafu, Chadema walipaswa kumuacha tuu astaafu kwa amani, haswa kwa kuzingatia wamemfukuza wakati ambao Bunge hili limebakiza wiki3 tuu limalizike rasmi.
Umuhimu wa Lwakatare kuachwa tuu hata afanye nini au aseme nini, ni kumzuia asije kufungua mdomo wake!.
Ikitokea Lwakatare akaamua kufungua mdomo wake na kuyataja madudu ya ajabu Chadema inayoyafanya nyuma ya pazia, ikiwemo ile video mimi niliyoita hapo kuwa "bonafide genuine", Chadema Watakuwa mgeni wa nani?.
Mtu kama Lwakatare anafukuzwaje?.
Kufuatia hiyo video niliyoitaja kule juu, nilipokuta na Msajili wa vyama alisema
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, Kufutwa Kwa Mujibu wa Katiba!... Endapo ...! - JamiiForums
Sasa hiyo endapo katika bandiko hilo, ndilo bakuli la mboga, Lwakatare amelishikilia, licha ya yeye kunwagiwa ugali wake, anaweza kuamua yeye ndio akose na kulala njaa, hivyo atalitua tuu hilo bakuli la mboga na wengine wote wale, na yeye tuu ndio akafie mbele, ila akiamua kuonyesheana ubabe, na mambo yanakuwa ni ubabe ubabe tuu, maadamu wamemwaka ugali, na yeye anamwaga mboga...
yatakuwa mengine!.
Lets keep watching tukisubiria Lwakatare ataamua nini, ila amini usiamini, hatima ya Chadema, iko mikononi mwa Mhe. Lwakatare!, kubali, kataa!.
Paskali
Update kuhusu angalizo la uchangiaji.
Japo jf was ment to be a home of great thinkers,
Lakini humu jf tuna members wa aina 3, tuna
Mtu kuwa simple mind, ordinary mind na great minds ni the way one comprehend and thinking capacity, nimesema Lwakatare ameishika hatma ya Chadema mkononi mwake. Kwa vile Chadema wao wamemwaga ugali yeye akiamua Kumwaga mboga, Chadema keisha!.
- Simple minds, discuss people, wao badala ya kujadili hoja iliyo mezani, hawa watamjadili mtoa hoja.
- Ordinary minds, discuss events, hawa watadili matukio, nini kimetokea etc
- Great minds discuss ideas, hawa watajadili hoja iliyo mezani.
Ma simple minds watamdiscus mleta mada, Pasco na Lwakatare, hivi na vile, sii lolote sii chochote, that is their level.
Ordinary mind wao wata discuss event ya Lwakatare kutimuliwa na atamwaga vipi mboga, atakakata tawi alilokalia etc.
Great minds wata discuss hiyo hatma ya Chadema, jee ni kweli ikijulikana Chadema kinakufa?, hiyo hatma yenyewe ya Chadema Lwakatare aliyo mayo ni nini haswa?, does have merits hadi Chadema ife, etc
Hivyo be free kujadili kwa kadri ya uwezo wako na kundi lako keep on being free, kujadili watu, matukio na hoja, katika mabandiko yangu, ukiweza kujibu hoja, nitashukuru, ila hata ukinijadili, sikulaumu na likes nakutwangia.
Ukipata muda karibu ujibu hoja za bandiko hili.
Asante
P
Uteuzi unapofusha watu ufahamuUnaona ulivyo "mjinga"? Uliandika ujinga hapa ukajiona eti mwandishi wa habari! nipe mrejesho kwa andiko lako hili na hali ya CDM leo! Lkn kama Msukuma huwezi kujifunza angalau kwa hili!
Nmemuomba Pascal atupe mrejesho kwa leo!Hahahaaaa....dadeki!!
Paskali hana mahaba na Chama. Infact kwa sasa hakuna mwana CCM mwenye mahaba na Chama. Paskali anapalilia njia ya Maliwatoni isiote nyasiHahahaa, Paskali ameelemewa mno na MAHABA kwa chama chake. Tatizo hana bahati ya kukubalika huko tu, kila akijaribu WANAMTUPILIA MBALI.
Huyo jamaa ni mjinga sana
TwasubiriNmemuomba Pascal atupe mrejesho kwa leo!
Mtazame Propesa Kabundi wa jalalaniUteuzi unapofusha watu ufahamu
Haya madaraka ya Rais kuteua 98% ya watumishi yamejenga taifa la kinafiki. Kila takataka iko busy kujipendekeza kwa mbuzi mmoja ili ionwe onwe.Uteuzi unapofusha watu ufahamu
Tuache kuongozwa na mahaba ya kitoto na wingi wa maandishi, Pascal nakuhehimu sana na ukweli unaujua, CHADEMA is there to stay, mark my word, hata akiondoka Mbowe, hakuna wa kuimaliza CHADEMA na unaujua ukweli.
Kuandika kwa kirefu sana na reference za thread ambazo mwandishi ni wewe mweyewe hakusaidii chochote kile ndugu yangu. aliondoka Zito mkaandika weeee, akaondoka Slaa mkachonga sana, lakini pata picha ya uchaguzi serikali za mitaa mwaka jana, wote tunajua nini kilitokea. Tusijidanganye wala kujifariji kwa mambo ya kitoto. Tujadili issues muhimu. Chadema IFE huku mnamuogopa Mdude Chadema? Hahhahaahaha
Leo hii Wapinzani wametoka Bungeni, Bunge zima limewageuza kuwa mjadala! Why? kwasababu wako strong. kwasababu uwepo wao una mtetemo mkubwa. Tusijifungie Dar na kuandika tu
Sasa waweza jua Mayalla ni njaa[emoji1][emoji1]
Tarehe 28 oct 2020 Mayalla utajua Hujui
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahisi amekula banUzi huu Pascal aliuanzisha tarehe 14 May 2020 ukajadiliwa na ukafa lakini kwa vile vitu vya JF huwa haviozi basi watu wakachimba kaburi na kufufua hoja hii tarehe 18 Sept 2020 na kuendelea kujadili mpaka leo hii ni siku 33 lakini Pascal hajatia neno wala ku click deslike,
Nakushauri Pasco acha kulisha watu matango pori na hasa hiyo hoja yako mfu ya chama kufa eti kwa sababu Lwakatare kafukuzwa, alifufutwa uanachama Dr Slaa na chama ndio kwanza kinazidi kukomaa kuliko kipindi chake, leo Bashisru au Polepole akifukuzwa CCM nani kakuambia uwe na fikra kwamba CCM itakufa?
Panda jukwaani uje hapa kujibu hoja zako kwa Lwakatare na wana Bukoba ambao binafsi nafikiri wamekujibu kupitia kwa Chief Kalumuna na kama sio Tume hii tuliyonayo sina wasiwasi tayari huyo bwana ni Mbuge wa Bukoba mjini
bado yupogo huyu msaliti?Lwakatare nyang'anyang'a,ndembendembe,kifo Cha mende mlalo wa chali
Wewe jamaa mwongo sanaWanabodi,
Kuna vitu mimi huwa navisema humu na watu wanavichukulia poa, ila vikija kutokea ndipo wenye uelewa wanaanza kuelewa nilikuwa nazungumzia nini.
Hivi ni baadhi ya vitu nilivyovisema na kweli vikaja kutokea
Sasa ninachokisema leo ni kuwa sio wengi wanajua kuwa hatma ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Chadema, iko mikononi mwa Mhe. Wilfred Lwakatare?. Chadema imepakua ugali kwa kila mtu kupewa ugali kwenye sahani yake, Kamati Kuu ya Chadema, wakaamua kuipindua sahani ya ugali wa Lakwatare, na kuumwaga ugali ili Lwakatare asile, huku wengine wote wakiwa na ugali wao kwenye sahani zao, wakisubiri bakuli la mboga litetwe, huku haku mwenye kumbukumbu ni nani aliyetumwa jikoni kwenda kuleta bakuli ya mboga, watu wapakuliwe ndipo wale!.
- Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli - JamiiForums
- Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam - JamiiForums
- Dr. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla Hajamwaga Sumu Hii - JamiiForums
- Je, Wajua Bunge linaweza kutoa azimio batili? CAG yuko kikatiba. Je, Bunge lina uwezo kutopokea ripoti ya CAG? - JamiiForums
- Je, Wajua Bunge linaweza kuvunjwa Siku 7 Zijazo?. lisipopokea ripoti ya CAG, Bunge linavunjwa kwa mujibu wa Katiba - JamiiForums
Mara aliyeibuka jikoni na bakuli ya mboga ni Mhe. Wilfred Lwakatare!, Amelishika bakuli la mboga za moto kwa mikono yake, huku mikono yake inaungua lakini amestahimili na kuvumilia huku akitokwa machozi, jasho na damu, kwa ajili ya Chadema!. Kabla hajalitua bakuli la mboga ili watu watu wapakue wote wale, akandua kuwa ugali wake umemwagwa!.
Wakati wanamwaga ugali wake, hakuna aliyekumbuka kuwa anayesubiriwa kuleta mboga watu wale ni Lwakatare, hivyo sasa wote wamenyamaza kimya kusubiria Lwakatare, atafanya nini baada ya kubaini Chadema wamemwaga ugali wake, huku mwenye bakuli ya mboga ni yeye!, sasa hatima ya kama Chadema watakula ama hawali, ikomikononi mwa Lwakatare, baada ya wao kumwaga ugali, Lwakarare akiamua kumwaga mboga, then wanakosa wote!, Chadema ndio inakuwa kwishney!.
Ili uelewa mimi nazungumza nini, ni lazima kwanza ukijue kisa, ambacho ndio bakuli ya mboga.
Ngoma ilianzia Star TV tarehe 30 Dec, 2012
On Star TV: Zitto, Nchemba na Mtatiro ktk mjadala wa kutathmini ya Siasa Tanzania 2012 - JamiiForums
Ndipo hatimaye movie ikapandishwa you tube na hapa ukazungumzia mwanzo mwisho
Chadema wafichua mtandao wa ugaidi - JamiiForums
Mwigulu Nchemba amekiri kuhusika na movie ya Lwekatare - ashikwe na kuunganishwa kesi hiyo - JamiiForums
Kisa chenyewe ni hiki.
Kasoro kubwa katika video ya Lwakatare - JamiiForums
Chadema ni chama cha ajabu sana!, kinayo katiba yake ambayo inaainisha taratibu zote za nidhamu ndani ya chama, kwanini hazifuatwi na badala yake mnakuja kuwatimua wanachama wenu kihuni huni tuu!, why?!. Kwanini CC ya Chadema inatoa maamuzi ya kihuni na kidikiteta bila kufuata sheria, taratibu na kanuni?.
Kuna watu unaweza kuwatimua kihuni huni tuu kwa kuwafukuza kama mbwa, lakini sio Lwakatare, na sababu ni moja tuu, ameipigania Chadema kwa machozi, jasho na damu!.
Chadema inapaswa kumyenyekea Lawakatare na kwasababu aliishatangaza kustaafu, Chadema walipaswa kumuacha tuu astaafu kwa amani, haswa kwa kuzingatia wamemfukuza wakati ambao Bunge hili limebakiza wiki3 tuu limalizike rasmi.
Umuhimu wa Lwakatare kuachwa tuu hata afanye nini au aseme nini, ni kumzuia asije kufungua mdomo wake!.
Ikitokea Lwakatare akaamua kufungua mdomo wake na kuyataja madudu ya ajabu Chadema inayoyafanya nyuma ya pazia, ikiwemo ile video mimi niliyoita hapo kuwa "bonafide genuine", Chadema Watakuwa mgeni wa nani?.
Mtu kama Lwakatare anafukuzwaje?.
Kufuatia hiyo video niliyoitaja kule juu, nilipokuta na Msajili wa vyama alisema
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, Kufutwa Kwa Mujibu wa Katiba!... Endapo ...! - JamiiForums
Sasa hiyo endapo katika bandiko hilo, ndilo bakuli la mboga, Lwakatare amelishikilia, licha ya yeye kunwagiwa ugali wake, anaweza kuamua yeye ndio akose na kulala njaa, hivyo atalitua tuu hilo bakuli la mboga na wengine wote wale, na yeye tuu ndio akafie mbele, ila akiamua kuonyesheana ubabe, na mambo yanakuwa ni ubabe ubabe tuu, maadamu wamemwaka ugali, na yeye anamwaga mboga...
yatakuwa mengine!.
Lets keep watching tukisubiria Lwakatare ataamua nini, ila amini usiamini, hatima ya Chadema, iko mikononi mwa Mhe. Lwakatare!, kubali, kataa!.
Paskali
Update kuhusu angalizo la uchangiaji.
Japo jf was ment to be a home of great thinkers,
Lakini humu jf tuna members wa aina 3, tuna
Mtu kuwa simple mind, ordinary mind na great minds ni the way one comprehend and thinking capacity, nimesema Lwakatare ameishika hatma ya Chadema mkononi mwake. Kwa vile Chadema wao wamemwaga ugali yeye akiamua Kumwaga mboga, Chadema keisha!.
- Simple minds, discuss people, wao badala ya kujadili hoja iliyo mezani, hawa watamjadili mtoa hoja.
- Ordinary minds, discuss events, hawa watadili matukio, nini kimetokea etc
- Great minds discuss ideas, hawa watajadili hoja iliyo mezani.
Ma simple minds watamdiscus mleta mada, Pasco na Lwakatare, hivi na vile, sii lolote sii chochote, that is their level.
Ordinary mind wao wata discuss event ya Lwakatare kutimuliwa na atamwaga vipi mboga, atakakata tawi alilokalia etc.
Great minds wata discuss hiyo hatma ya Chadema, jee ni kweli ikijulikana Chadema kinakufa?, hiyo hatma yenyewe ya Chadema Lwakatare aliyo mayo ni nini haswa?, does have merits hadi Chadema ife, etc
Hivyo be free kujadili kwa kadri ya uwezo wako na kundi lako keep on being free, kujadili watu, matukio na hoja, katika mabandiko yangu, ukiweza kujibu hoja, nitashukuru, ila hata ukinijadili, sikulaumu na likes nakutwangia.
Ukipata muda karibu ujibu hoja za bandiko hili.
Asante
P
Huyo we mpenyeze bahasha tu ushammalizaWewe jamaa mwongo sana