Je, wajua kuwa hatma ya CHADEMA ipo mikononi kwa Lwakatare? Baada ya CHADEMA kumwaga ugali, Lwaka akiamua kumwaga mboga, CHADEMA kwishney!

Umenena vyema sana, MUNGU akubariki pia
 
Mafail ya Idara yote wanajuwa chadema ni safi ndio maana wanatumia mbinu za kitoto kumfarahisha tu jiwe ila ukweli Idara inaelewa chadema ni kina kilefu kweli! vijana watiifu ndani ya Idara wanaelewa namanisha nini! Kuna misheni zaidi ya 20 Kukiua Chadema zimefeli kama zile za CUF kuwekewa visu na Omary Mahita.
 

Sikutegemea Paskali kama unaweza kuja na mada yenye vitisho vya kitoto hivi! Ni kipi cdm hawajaambiwa au kufanyiwa nchi hii, ambapo hizi siri za Lwakatare ndio msingi wa cdm kuwa hai? Bro ni hivi, ww umeshafika huja jipya. Mwambie amwage hiyo mboga. Hatutetei sana hatua za cdm kwa hao wabunge, ila sio kwa hivi vitisho mbuzi.
 
Well said, pascal is just a puppet prophet of doom. Through his writings, empty headed take actions, and he celebrates by quoting his threads and favorite remark of 'I told you so'. No wonder walisema kuwa amewasha [emoji91][emoji91] kwa Kabendera

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo ni maoni yako tu mkuu kama maoni mengine.

Kusema jambo kisha likafanyika kama ulivyolishauri au kulizungumza bado sio sehemu ya kufanya kila neno lako lichukuliwe kwa umakini.

Cha kuzingatia ni kwamba hatuwezi kudharau kwamba CHADEMA kwa sasa na huyu Lwakatare wamekaa vibaya kama hawajamchukulia tahadhari nzuri.
 
Mh fikiri zaidi usiongee ilimladi
Sent using Jamii Forums mobile app
 
msukuma mmoja mshamba wewe!!yani lwakatale ameipigania chadema kwa damu na jasho tangu lini???
ndo mana unaitwa pascal
zero kb in your head
maandiko ushaandika mengi ila hata ubalozi wa nyumba kumi hujaupata mpaka sasa!!
HAYA WAHI UKACHUKUE BUKU SABA YAKO KWA SLOSLOW

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila kaka unapotea..

CCM imemsimamisha Katibu mkuu Kinana, tena alikuwa katibu mkuu wakat chama kinapitia uchguzi mgumu kwelikweli...

J.Makamba mwenyekiti wa mipango ya I.T pale masaki kwa sasa ni mjinga hata kwa Makonda..

Unasema nini wewe.???

Msafwa,
Uporoto, Mbeya..
 
Kwa sasa chadema inaendeshwa na Mdee, Bulaya, na Lema, usitegemee akili kutumika hapo. Prof. Safari na Prof. Baregu sijui hawapo tena, mtanisaidia kujua.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwa hao wachangiaji wa Chadema unaona kuna chama hapo? Chadema kimeishakufa, wao wanadai haijafa. Wabunge zaidi ya ishirini wameondoka au wamefukuzwa. Madiwani zaidi ya mia wameondoka. Viongozi wa Wlaya, Mikoa na Kanda wameondoka. Wao wapo nyuma ya keyboards zao eti Chadema haifi! Sawa, hata Mzee Rungwe yupo na chama chake hakijafa!
 
What was first, Lwakatare au CHADEMA? Nani alimfanya mwenzake kuwa maarufu? Nikuwa Lwakatare ndio aliifanya CHADEMA kuwa maarufu au CHADEMA ilimfanya Lwakatare kuwa maarufu? Slaa na Lwakatare nani alikuwa na influence kubwa ndani ya CHADEMA?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…