Je, wajua kuwa hatma ya CHADEMA ipo mikononi kwa Lwakatare? Baada ya CHADEMA kumwaga ugali, Lwaka akiamua kumwaga mboga, CHADEMA kwishney!

Je, wajua kuwa hatma ya CHADEMA ipo mikononi kwa Lwakatare? Baada ya CHADEMA kumwaga ugali, Lwaka akiamua kumwaga mboga, CHADEMA kwishney!

Tuache kuongozwa na mahaba ya kitoto na wingi wa maandishi, Pascal nakuhehimu sana na ukweli unaujua, CHADEMA is there to stay, mark my word, hata akiondoka Mbowe, hakuna wa kuimaliza CHADEMA na unaujua ukweli.

Kuandika kwa kirefu sana na reference za thread ambazo mwandishi ni wewe mweyewe hakusaidii chochote kile ndugu yangu. aliondoka Zito mkaandika weeee, akaondoka Slaa mkachonga sana, lakini pata picha ya uchaguzi serikali za mitaa mwaka jana, wote tunajua nini kilitokea. Tusijidananye wala kujifariji kwa mambo ya kitoto. Tujadili issues muhimu.

Leo hii Wapinzani wametoka Bungeni, Bunge zima limewageuza kuwa mjadala! Why? kwasababu wako strong. kwasababu uweoppo wao una mtetemo mkubwa. Tusijifungie Dar na kuandika tu
Asante sana mkuu kwa kujibu hoja kwa umakini mkubwa

In God we Trust
 
Wanabodi,
Kuna vitu mimi huwa navisema humu na watu wanavichukulia poa, ila vikija kutokea ndipo wenye uelewa wanaanza kuelewa nilikuwa nazungumzia nini.

Hivi ni baadhi ya vitu nilivyovisema na kweli vikaja kutokea
  1. Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli - JamiiForums
  2. Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam - JamiiForums
  3. Dr. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla Hajamwaga Sumu Hii - JamiiForums
  4. Je, Wajua Bunge linaweza kutoa azimio batili? CAG yuko kikatiba. Je, Bunge lina uwezo kutopokea ripoti ya CAG? - JamiiForums
  5. Je, Wajua Bunge linaweza kuvunjwa Siku 7 Zijazo?. lisipopokea ripoti ya CAG, Bunge linavunjwa kwa mujibu wa Katiba - JamiiForums
Sasa ninachokisema leo ni kuwa sio wengi wanajua kuwa hatma ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Chadema, iko mikononi mwa Mhe. Wilfred Lwakatare?. Chadema imepakua ugali kwa kila mtu kupewa ugali kwenye sahani yake, Kamati Kuu ya Chadema, wakaamua kuipindua sahani ya ugali wa Lakwatare, na kuumwaga ugali ili Lwakatare asile, huku wengine wote wakiwa na ugali wao kwenye sahani zao, wakisubiri bakuli la mboga litetwe, huku haku mwenye kumbukumbu ni nani aliyetumwa jikoni kwenda kuleta bakuli ya mboga, watu wapakuliwe ndipo wale!. Mara aliyeibuka jikoni na bakuli ya mboga ni Mhe. Wilfred Lwakatare!, Amelishika bakuli la mboga za moto kwa mikono yake, huku mikono yake inaungua lakini amestahimili na kuvumilia huku akitokwa machozi, jasho na damu, kwa ajili ya Chadema!. Kabla hajalitua bakuli la mboga ili watu watu wapakue wote wale, akandua kuwa ugali wake umemwagwa!. Wakati wanamwaga ugali wake, hakuna aliyekumbuka kuwa anayesubiriwa kuleta mboga watu wale ni Lwakatare, hivyo sasa wote wamenyamaza kimya kusubiria Lwakatare, atafanya nini baada ya kubaini Chadema wamemwaga ugali wake, huku mwenye bakuli ya mboga ni yeye!, sasa hatima ya kama Chadema watakula ama hawali, ikomikononi mwa Lwakatare, baada ya wao kumwaga ugali, Lwakarare akiamua kumwaga mboga, then wanakosa wote!, Chadema ndio inakuwa kwishney!.

Ili uelewa mimi nazungumza nini, ni lazima kwanza ukijue kisa, ambacho ndio bakuli ya mboga.
Kisa chenyewe ni hiki.
Kasoro kubwa katika video ya Lwakatare - JamiiForums

Chadema ni chama cha ajabu sana!, kuna watu unaweza kuwatimua lakini sio Lwakatare, na sababu ni moja tuu, ameipigania Chadema kwa machozi, jasho na damu!.

Chadema inapaswa kumyenyekea Lawakatare na kwasababu aliishatangaza kustaafu, Chadema walipaswa kumuacha tuu astaafu kwa amani, haswa kwa kuzingatia wamemfukuza wakati ambao Bunge hili limebakiza wiki3 tuu limalizike rasmi.

Umuhimu wa Lwakatare kuachwa tuu hata afanye nini au aseme nini, ni kumzuia asije kufungua mdomo wake!.

Ikitokea Lwakatare akaamua kufungua mdomo wake na kuyataja madudu ya ajabu Chadema inayoyafanya nyuma ya pazia, ikiwemo ile video mimi niliyoita hapo kuwa "bonafide genuine", Chadema Watakuwa mgeni wa nani?.
Mtu kama Lwakatare anafukuzwaje?.

Kufuatia hiyo video niliyoitaja kule juu, nilipokuta na Msajili wa vyama alisema
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, Kufutwa Kwa Mujibu wa Katiba!... Endapo ...! - JamiiForums

Sasa hiyo endapo katika bandiko hilo, ndilo bakuli la mboga, Lwakatare amelishikilia, licha ya yeye kunwagiwa ugali wake, anaweza kuamua yeye ndio akose na kulala njaa, hivyo atalitua tuu hilo bakuli la mboga na wengine wote wale, na yeye tuu ndio akafie mbele, ila akiamua kuonyesheana ubabe, na mambo yanakuwa ni ubabe ubabe tuu, maadamu wamemwaka ugali, na yeye anamwaga mboga...
yatakuwa mengine!.

Lets keep watching tukisubria Lwakatare ataamua nini, ila amini usiamini, hatima ya Chadema, iko mikononi mwa Mhe. Lwakatare!, kubali, kataa!.

Paskali
P.
Mbona magufuli aliwatupa kapilimba, January IGP aliyepita hawakumwaga mboga? Rwakatare akijidai kutengeneza uzushi laana ya wanachadema haitamuacha salama
 
chadema yangu na dr slaa iliisha sasa nachungulia tu naishia kuchezesha midomo pasipo kutoa sauti, waliniharibia mudi yangu. DR WANGU WA UKWELI HAYUPO CHAMANI
 
Hakuna kitu hapo bali propaganda kutafuta huruma kwa watawala. Kama CHADEMA haijafa baada ya Dk Slaa na haijafa miaka 5 bila siasa na haijafa kwa bunduki na mabomu na jela na mapanga na jela, ni nani wa kuipoteza CHADEMA? Lwakatare sisimizi ndo aipoteze CHADEMA? Kweli ww njaa imekupanda kichwani kama lilivo jina lako.


Chadema ni imani, chadema sio majengo...chadema iko sisiemu...chadema iko kwenye utawala.
Sheria zitakipoteza, soma sheria inasema nini kwa chama cha siasa kujihusisha na vitendo vya kigaidi, na kama hujui pia ugaidi ni nini kasome sheria ya ugaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna kitu hapo bali propaganda kutafuta huruma kwa watawala. Kama CHADEMA haijafa baada ya Dk Slaa na haijafa miaka 5 bila siasa na haijafa kwa bunduki na mabomu na jela na mapanga na jela, ni nani wa kuipoteza CHADEMA? Lwakatare sisimizi ndo aipoteze CHADEMA? Kweli ww njaa imekupanda kichwani kama lilivo jina lako.


Chadema ni imani, chadema sio majengo...chadema iko sisiemu...chadema iko kwenye utawala.
Amina

In God we Trust
 
Hivi kati ya Mtei, Slaa, Ndesambulo na Lwakatare nani alikuwa na siri za chama? chama ni taasisi ndio maana unaona vyama vingine vinaongozwa na wehu lakini bado vina brand ya kuokoteza kura za wajinga!
 
Sio Lwakatare tu, huwa nawashangaa sana CHADEMA kumdhihaki Jaji Feleshi, kila siku huwa nawaeleza humu, ushahidi tena ule unaitwa "a water tight evidence" juu ya ugaidi wa CHADEMA Mwanza na ule wa Tabora uko mezani, walireconcile na JK akamuomba DPP by then akiwa Jaji Feleshi awaondolee mashitaka. Huyo wanaemdhihaki sasa ndo Jaji Kiongozi na anawafahamu vizuri.

Lwakatare ambaye alijitoa mbuzi wa kafara sasa wamemgeuka na hana cha kupoteza, alichobakiza ni kushirikiana tu na ofisi ya mashitaka mambo yaibuliwe..siombei hilo wawaache tu October sio mbali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo yeye feleshi atamkwepesha rwakatare na jinai,

alafu mashitaka ya jinai yatafunguliwa Chadema (baraza LA wadhanini ) au MTU mmoja mmoja?

Nchi imejaa majinga kama Huyu kiazi
 
Kaka yangu Pascal Mayalla sijui umekumbwa na nini siku hizi....

Anyway, Muda ndiye mwamuzi, lakini tukumbuke yulw muhaya aliyewahi kusema "Duniani tunatakiwa kumuogopa Mungu na mitandao"

In Vino Veritas (In Wine Lies the Truth)
 
Wanabodi,
Kuna vitu mimi huwa navisema humu na watu wanavichukulia poa, ila vikija kutokea ndipo wenye uelewa wanaanza kuelewa nilikuwa nazungumzia nini.

Hivi ni baadhi ya vitu nilivyovisema na kweli vikaja kutokea
  1. Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli - JamiiForums
  2. Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam - JamiiForums
  3. Dr. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla Hajamwaga Sumu Hii - JamiiForums
  4. Je, Wajua Bunge linaweza kutoa azimio batili? CAG yuko kikatiba. Je, Bunge lina uwezo kutopokea ripoti ya CAG? - JamiiForums
  5. Je, Wajua Bunge linaweza kuvunjwa Siku 7 Zijazo?. lisipopokea ripoti ya CAG, Bunge linavunjwa kwa mujibu wa Katiba - JamiiForums
Sasa ninachokisema leo ni kuwa sio wengi wanajua kuwa hatma ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Chadema, iko mikononi mwa Mhe. Wilfred Lwakatare?. Chadema imepakua ugali kwa kila mtu kupewa ugali kwenye sahani yake, Kamati Kuu ya Chadema, wakaamua kuipindua sahani ya ugali wa Lakwatare, na kuumwaga ugali ili Lwakatare asile, huku wengine wote wakiwa na ugali wao kwenye sahani zao, wakisubiri bakuli la mboga litetwe, huku haku mwenye kumbukumbu ni nani aliyetumwa jikoni kwenda kuleta bakuli ya mboga, watu wapakuliwe ndipo wale!. Mara aliyeibuka jikoni na bakuli ya mboga ni Mhe. Wilfred Lwakatare!, Amelishika bakuli la mboga za moto kwa mikono yake, huku mikono yake inaungua lakini amestahimili na kuvumilia huku akitokwa machozi, jasho na damu, kwa ajili ya Chadema!. Kabla hajalitua bakuli la mboga ili watu watu wapakue wote wale, akandua kuwa ugali wake umemwagwa!. Wakati wanamwaga ugali wake, hakuna aliyekumbuka kuwa anayesubiriwa kuleta mboga watu wale ni Lwakatare, hivyo sasa wote wamenyamaza kimya kusubiria Lwakatare, atafanya nini baada ya kubaini Chadema wamemwaga ugali wake, huku mwenye bakuli ya mboga ni yeye!, sasa hatima ya kama Chadema watakula ama hawali, ikomikononi mwa Lwakatare, baada ya wao kumwaga ugali, Lwakarare akiamua kumwaga mboga, then wanakosa wote!, Chadema ndio inakuwa kwishney!.

Ili uelewa mimi nazungumza nini, ni lazima kwanza ukijue kisa, ambacho ndio bakuli ya mboga.
Kisa chenyewe ni hiki.
Kasoro kubwa katika video ya Lwakatare - JamiiForums

Chadema ni chama cha ajabu sana!, kuna watu unaweza kuwatimua lakini sio Lwakatare, na sababu ni moja tuu, ameipigania Chadema kwa machozi, jasho na damu!.

Chadema inapaswa kumyenyekea Lawakatare na kwasababu aliishatangaza kustaafu, Chadema walipaswa kumuacha tuu astaafu kwa amani, haswa kwa kuzingatia wamemfukuza wakati ambao Bunge hili limebakiza wiki3 tuu limalizike rasmi.

Umuhimu wa Lwakatare kuachwa tuu hata afanye nini au aseme nini, ni kumzuia asije kufungua mdomo wake!.

Ikitokea Lwakatare akaamua kufungua mdomo wake na kuyataja madudu ya ajabu Chadema inayoyafanya nyuma ya pazia, ikiwemo ile video mimi niliyoita hapo kuwa "bonafide genuine", Chadema Watakuwa mgeni wa nani?.
Mtu kama Lwakatare anafukuzwaje?.

Kufuatia hiyo video niliyoitaja kule juu, nilipokuta na Msajili wa vyama alisema
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, Kufutwa Kwa Mujibu wa Katiba!... Endapo ...! - JamiiForums

Sasa hiyo endapo katika bandiko hilo, ndilo bakuli la mboga, Lwakatare amelishikilia, licha ya yeye kunwagiwa ugali wake, anaweza kuamua yeye ndio akose na kulala njaa, hivyo atalitua tuu hilo bakuli la mboga na wengine wote wale, na yeye tuu ndio akafie mbele, ila akiamua kuonyesheana ubabe, na mambo yanakuwa ni ubabe ubabe tuu, maadamu wamemwaka ugali, na yeye anamwaga mboga...
yatakuwa mengine!.

Lets keep watching tukisubria Lwakatare ataamua nini, ila amini usiamini, hatima ya Chadema, iko mikononi mwa Mhe. Lwakatare!, kubali, kataa!.

Paskali
P.
Mnakuwa kama mmelogwa hivi , yaani Lwakatare ndio wa kuuwa Chadema ! Ni aibu sana kwako Mkuu , hivi nani anaweza kumsikiliza Lwakatare kwa muda huu ?
 
Sheria zitakipoteza, soma sheria inasema nini kwa chama cha siasa kujihusisha na vitendo vya kigaidi, na kama hujui pia ugaidi ni nini kasome sheria ya ugaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
UGAIDI wa CHADEMA ni upi? Kilishawahi kuua? Kuteka? Kupoteza? Au kushirikiana na maharamia? Au kupanga njama za kuipindua serikali?
 
Kwa hiyo yeye feleshi atamkwepesha rwakatare na jinai,

alafu mashitaka ya jinai yatafunguliwa Chadema (baraza LA wadhanini ) au MTU mmoja mmoja?

Nchi imejaa majinga kama Huyu kiazi
Hahaha...wakati jinai inaendelea soma sheria ya vyama vya siasa inasema nini kwa chama kujihusisha na vitendo vya kigaidi, mtafurahi tu mwaka huu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaka yangu Pascal Mayalla sijui umekumbwa na nini siku hizi....

Anyway, Muda ndiye mwamuzi, lakini tukumbuke yulw muhaya aliyewahi kusema "Duniani tunatakiwa kumuogopa Mungu na mitandao"

In Vino Veritas (In Wine Lies the Truth)
Anaweza kuwa kazeeka tu , unajua wabongo wanaishi kwa dhiki sana mpaka wanadumaa , sasa huyu pascal mnaweza kudhani kijana kutokana na udumavu kumbe ni kikongwe , nilikuwa naye kwenye KITIMOTO wakati ule alikuwa kakomaa sasa lazima atakuwa kakongoroka tu
 
Back
Top Bottom