Je, wajua kuwa idadi ya wapiga kura nchini inakaribiana sana na idadi ya watu wenye kutumia mtandao (internet)?

Mimi nilikuwa nina namba tatu, ziko watsup!

Wanahesabuje hapo?

Sijazungumzia kwingine!
 
Mimi nilikuwa nina namba tatu, ziko watsup!

Wanahesabuje hapo?

Sijazungumzia kwingine!

Hizo whatsapp zako zina magrupu yaleyale au kila namba ina magrupu yake tofauti?

Kama ni magrupu tofauti basi inaonyesha unazidi kuinteract na watu wengi zaidi kitu kinachoongeza connectivity ya watu mtandaoni
 
Hahaha daftari la kujiandikisha au daftari la mpiga kura lilikuwa linakaa kwa kada wa ccm unategemea nini?!
Siku ya kupiga kura mtashangaa majina ya wananchi hayapo, ila ya wana ccm pekee.
 
Hizo whatsapp zako zina magrupu yaleyale au kila namba ina magrupu yake tofauti?

Kama ni magrupu tofauti basi inaonyesha unazidi kuinteract na watu wengi zaidi kitu kinachoongeza connectivity ya watu mtandaoni
Kila namba inakuwa na group zake!

Sasa hapo kwa mahesabu yao. Wa/anahesabika watu wangapi?
 
Kila namba inakuwa na group zake!

Sasa hapo kwa mahesabu yao. Wa/anahesabika watu wangapi?

TCRA wakitoa idadi ya Users wana uhakika na takwimu yao kwa sababu wana uwezo wa kufilter information based on the user ID hata kama mtumiaji ana line 50 kwa sababu ulisajili line kwa vitambulisho ambavyo vina information zako.
Kwa hiyo hata ukiwa na line 10 watalink line yako na ID yako na utahesabika mtumiaji mmoja tu.

Kwa hiyo wakisema watumiaji milion 23 wanaingia mtandaoni basi maana yake ni kuwa watu milion 23 wanaingia mtandaoni siyo line milion 23.
 

Hakuna mtanzania mwenye line moja ya simu. Wengine wana line mpaka 5 kila mtandao!! Hata maandamano ya Mange yalikuwa mtandaoni hivyo sioni cha ajabu. Bila kusahau wapiga kura za maruhani kwenye utabiri wenu feki!! Subirini mziki wa tarehe 28 Oct!! Msiseme mmeibiwa!! Endeleeni na kampeni zenu za mjini wakati wapigakura wapo vijijini!!

Nashauri mgombea mwenza wa Lissu apambane sio anabebwa kama demu!

Queen Esther
 
Shukrani,
Nimekuelewa!
 

TCRA wanahesabu user ID's siyo idadi ya line
Hata kama mtu una line 50, bado ni user Mmoja.

Takwimu za TCRA zinahusu idadi ya Users siyo idadi ya lines
 
Kama unasema wanaopiga kura kwa Fatma au Maria ni wale wanaoioppose serikali nenda jaribu kupita kwenye post ya mwisho ya Pombe twitter soma comments utajua hujui unachojua,wala ustumue nguvu nyingi
 
Wewe unabebwaga kama yeye?
 
Kama unasema wanaopiga kura kwa Fatma au Maria ni wale wanaoioppose serikali nenda jaribu kupita kwenye post ya mwisho ya Pombe twitter soma comments utajua hujui unachojua,wala ustumue nguvu nyingi

umeongea point kubwa sana

Kama anadhani kuwa followers maana yake ni watu wanaokubaliana na wewe kila kitu basi wanaomfollow Magufuli mtandaoni wangekuwa ni wale wanaomkubali kindakindaki, lakini fact kwamba watu huwa wanamchallenge hata kwenye account yake mwenyewe inaonyesha kuwa watu wako dynamic, kuna muda wanakubaliana na wewe na kuna muda wanakupinga.

Kwa hiyo siyo sahihi kudharau online polls
 
Andiko duni mno ! Magufuli anayekusanya raia kwa malori , matrekta na mabasi ya abiria wamlinganishaje na wanaokuja wenyewe ?
Unawezaje kuwasomba watu wasiokutaka!? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Kama hawalazimishwi, maana yake nia wanakuwa nayo, so wanawezeshwa na huo ni ushahidi kuwa hao ni wanaoiprnda CCM kwa sababu sidhani Kama Kuna mwana CDM au ACT atakubali kupanda trecta
 
Hizo population za njiani nizakutengeneza,shituka
Kwani kwani Kuna Chama hakifanyi hivo. Kila chama kabla mgombea wake hajapita linafanya Mipango na maandizi ya kuhakikisha watu wapo wa kutosha, tofauti tu ni nani ana Mipango mizuri na anakubalika na watu!
 
Unawezaje kuwasomba watu wasiokutaka!? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Kama hawalazimishwi, maana yake nia wanakuwa nayo, so wanawezeshwa na huo ni ushahidi kuwa hao ni wanaoiprnda CCM kwa sababu sidhani Kama Kuna mwana CDM au ACT atakubali kupanda trecta

Watumishi wa serikali huko mikoani wanapigwa mkwara wahudhurie mikutano ya Magufuli.
Wakuu wa shule wanalazimishwa kufunga shule na kuwataka watoto wa shule wavae nguo za nyumbani na waende kwenye mikutano ya Magufuli
 
Watumishi wa serikali huko mikoani wanapigwa mkwara wahudhurie mikutano ya Magufuli.
Wakuu wa shule wanalazimishwa kufunga shule na kuwataka watoto wa shule wavae nguo za nyumbani na waende kwenye mikutano ya Magufuli
Aise basi Nchi hii tuna watumishi wengi sana na tuna wanafunzi wengi Sana. Kama wale waliojaza CCM Kirumba na Lake Tanganyika walikuwa Watumishi na Wanafunzi basi wapo wengi mno.
 
Aise basi Nchi hii tuna watumishi wengi sana na tuna wanafunzi wengi Sana. Kama wale waliojaza CCM Kirumba na Lake Tanganyika walikuwa Watumishi na Wanafunzi basi wapo wengi mno.

Sasa ulifikiri tuna wanafunzi wachache eh? 😁😁
 
Yani unaenda kwenye group la ccm alafu unasema haya tupige kura, alafu unashangaa mgombea wa ccm akishinda?


Alafu kwa taarifa yako tu ni kwamba hao hao wa mitandaoni ndio waliohamasishana wasiende kuboresha taarifa zao kwenye daftari la mpiga kura.
Kwa hiyo walioenda ni wazee na kina mama wa chama cha mapinduzi ndio watakaopiga kura.
.
Wapinzani wanashindwa kwa vingi na always wao huwa marais walioshinda kupitia mitandao.
 
Kabisa mkuu! Sasa mtu unaanzisha polls kwenye group la Maria Sarungi unategemea upate matokeo gani?
Wakati huyo dada hatofautiani na Mange kwamba ukimchallange anakupiga ban?
 
Andiko duni mno ! Magufuli anayekusanya raia kwa malori , matrekta na mabasi ya abiria wamlinganishaje na wanaokuja wenyewe ?
Hiki kichaka cha kukusanya watu kwa malori kipo toka enzi za slaa!

Hivi unaweza kwenda kuwalazimisha wanachama wa simba kwenda kushabikia mpira wa yanga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…