Uchaguzi 2020 Je, wajua kuwa Mfumo wa Serikali ya Majimbo unatumika kwenye Nchi zenye kukosa Umoja wa Kitaifa?

Kumbe unafaa sana Tanzania
 
Acha uwongo . Marekani kuna udini ? Marekani kuna ukabila ? Mfumo wa majimbo ni sahihi kwa kusukuma maendeleo kwa kasi zaidi. Kajifunze India uone majimbo yao ya Gujarat, Uttar Pradesh na mengineyo. Kuna ukabIla India ? Shenzi wewe
Akili yako ndogo. Hayo mataifa ni kama hakuna makabila vile ndo maana hawana hiyo shida. Igawe Tz katika majimbo uone kinachotokea.
 
Mtoa mada nia yako nzuri ila mikoa ndio shida zaidi kuliko majimbo maana mikoa iko kikabila zaidi na hili huwezi kuliepuka ukiweka kimajimbo unaunganisha mikoa zaidi ya mitatu yenye makabila tofauti, dini tofauti kuwa jimbo. mfano mdogo chukuwa Dodoma+Singida+Moro ikiwa jimbo la kati hapo makabila mengi wameungana. Hoja ya udini au ukabila haina nguvu ila kila unapokata mikoa kila siku ndio unaleta hali fulani ya ukabila. nchi nyingi duniani wanatumia majimbo kuleta changamoto ya maendeleo na kuondoa ukiritimba wa serikali kuu. watu kufanya mipango ya maendeleo wenyewe badala ya kutegemea serikali kuu.
 
Akili yako ndogo. Hayo mataifa ni kama hakuna makabila vile ndo maana hawana hiyo shida. Igawe Tz katika majimbo uone kinachotokea.
Ukabila umeanza lini Tanzania ? Afu unasema mi na akili ndogo ? Pumbavu kabisa, Pambaf indeed
 
Usifuate maneno ya vijiweni.

Mimi naamin watanzania bado hawana elimu ya mifumo ya serkali yao inavyoongozwa.

Leo hata nikikwambia uchore kaomchoro serkali kuu usikute hujui.

Hivyo kunaumuhimu wa elimu kwanza.
Dogo, kwa taarifa yako hizo nchi nilizozitaja hapo awali mi nimeshakaa sana. Sijakaa tu kule kwetu kantalamba peke yake, nimekaa duniani nimeona.
Na hivi ninavyoongea na wewe ninafanya research katika hiyo mifumo ya kiutawala kwa level ya Ph.D so usidhani unaongea na jinga jinga hapa. Upotoshaji unaofanywa na wanasiasa kwa makusudi ndiyo tatizo.
Mfumo wa serikali za majimbo ni mzuri sana kwa sababu unapeleka madaraka kwa wananchi.

Hebu jiulize swali dogo kwa mfano, kwa nini Dar es Salaam isiwe na meya wa jiji ambaye anachaguliwa na wananchi wenyewe na atakuwa mkuu wa serikali ya mkoa? Kuna haja gani ya Dar es Salaam kuwa na mkuu wa mkoa kama ukiwa na meya mwenye nguvu na madaraka sawa na mkuu wa mkoa ?

Ila kwa sababu tunajazwa hofu na propaganda ndiyo maana wengi tunaogopa ila uhalisia ni kwamba madara kwa wananchi ndiyo nyenzo ya maendeleo kwa karne hii ya 21. Ninaandika vitu ambavyo nina ushahidi navyo dogo.

Mfumo wa majimbo umetulia sana mzee. Nitaeleza zaidi kwa kirefu siku za usoni.

Just somebody,
Ph.D candidate in Political Science (American University)
 
Hatakama umezaliwa huko.
Lakini lazima uangalie uwezo wa jamii yako ya kiafrika ilivyo.

Kama hata.hata kawa tunaowachagua leo mtu anasimama mbele ya watanzania wenzake na kwasababu yeye ninkiongozi pale basi anataka kuogopeka ajione yy kama mungu.
Utafananishaje mtu.huyu na huko ulikokaa.


Hapa police akiva uniform anaona raia ote kama kuku.
Shida watu hawajaelimika.
Huwezi kumuletea mtu mfumo mpya wakati ule wa.kwanza wenyewe hajaufahamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…