Amani Msumari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 1,830
- 972
- Thread starter
-
- #81
Wewe binafsi umekosa Uhuru gani?Naona umeleta ushahidi hapa kuwa majimbo hayana uhusiano wowote na kuondoa umoja wa kitaifa kwa mifano uliyoitoa!
Ninachoshangaa ni kwamba kama mnaupenda sana umoja wa kitaifa kwaninj hamzungumzii uhuru na haki za raia wenu?Haya meneno mawaili mnayaona kama ukakasi midomoni kwenu!
Msingi wa umoja wa kitaifa na haki na uhuru!
Wasiwasi wako mkuuKushiriki kikamilifu katika shughuli za kisiasa!Nikiangalia wanayopitia wapinzani mfano Lissu,Ben Saanane,Mawazo na akina Nusrat Henje napata hofu kuingia kwenye siasa!
Ndio maana watu wengi wanaappriciate moyo wa ujasiri walionao akina Lissu!Maana najua kuna watu ambao wamekosa ujasiri huo so unapomuona mwenzako anao ujasiri huo basi unamuunga mkono!Wasiwasi wako mkuu
Upon sahihi kabisa si unaona muunga o was Tanganyika na Zanzibar umekuwa donda sugu kila siku ni mshikieli ipo siku hao wazanzibar watachoka hivyo itakuwa mauaji ya halaiki.
Kwa sasa huu utawala wa majimbo utaleta umoja mzuri,bado wazazibar hawajiiti kuwa ni watanzania wanajitambulisha kuwa wao ni wazaznzibari.hii majimbo itaondoa hii
Tatizo lao kuu ni kushindwa kuuficha ukweli waujuao kwa alinacha zisizo mashiko.Naona umeleta ushahidi hapa kuwa majimbo hayana uhusiano wowote na kuondoa umoja wa kitaifa kwa mifano uliyoitoa!
Ninachoshangaa ni kwamba kama mnaupenda sana umoja wa kitaifa kwaninj hamzungumzii uhuru na haki za raia wenu?Haya meneno mawaili mnayaona kama ukakasi midomoni kwenu!
Msingi wa umoja wa kitaifa na haki na uhuru!
Je unataka kutuaminisha ni nchi sio? Ikiwa ndivyo hebu nieleze mabalozi wake wako nchi zipi? Sitakuuliza kuhusu FIFA wala CAF...Zanzibar itakuwa jimbo sio?
"Zereu" hiziJe unataka kutuaminisha ni nchi sio? Ikiwa ndivyo hebu nieleze mabalozi wake wako nchi zipi? Sitakuuliza kuhusu FIFA wala CAF...
Hili ndio jawabu lako Mkuu kwa swali lile?"Zereu" hizi
Tutakua na chaguzi za kutoshaHao Watendaji na Wakuu wa Wilaya wasiteuliwe na serikali, wachaguliwe na wananchi kama Madiwani. Mkurugenzi awe mwajiriwa wa Wilaya husika na siyo mteule wa Rais toka Dodoma!!
Majimbo yanaleta uasiMimi binafsi siungi mkono mfumo wa majimbo. Chadema wanaendeshwa na fikra za ubinafsi sana. Hawana nia wala haja ya kumtetea mtu wa kipato cha chini.
Umesema vizuriTutakua na chaguzi za kutosha
Kwamba kila mtu anefanya shughuli tunamchagua.
Hata huyo mkurugenzi tutataka kumchagua kwadababu anatuongoza na mwalimu mkuu wa Shule tutamchagua pia.
Sisi Tutakua na demokrasia pana Sana dunia Mzima na tutakua na bajeti ya uchaguzi kubwa Sana.
Sidhani kwamba watanzania wako kwenye uwezo mzuri wa Kuchagua kwasasa ndio maana unaona wagombea wengi wanapiga porojo majukwaani.
Kuna Watu uwezo wao nimdogo sana lakini utashangaa wameshinda uchaguzi.
Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
UhuniAisee eti tuwe na majimbo mmh
Hapana mkuu. Jibu langu ni hiliHili ndio jawabu lako Mkuu kwa swali lile?
Ila Rais anaweza tena wakati wa kampeni za uchaguzi kuamuru waziri peleka billion kadhaa kujenga barabara fulani, au kama msingemchagua Kapuya nisingejenga barabara hii! Huo ndio umoja? Una genye wewe si bure 🤔Sio ishu ya Rais, n ishu ya bunge. Bajeti huandaliwa kutoka ngazi ya chini kabisa ili kuleta uwakilishi
Balozi na mwenyekiti hawakuchaguliwa na wananchi bali Suleiman Jafo aliengua 99%ya wagombea wa upinzani akawapitisha misukule ya CCM.Ndugu,
Tuna balozi mtaani
Tuna mwenyekiti
Tuna mtendaji wa Kijiji
Tuna diwani
Tuna mkurugenzi
Tuna mkuu wa wilaya
Sasa tunataka nini?
Wewe kichaa tupe umuhimu wa kiuchumi wa airport ya Chato, au kwa sababu imejengwa kwa dikteta wenu na nyie msiokuwa na akili ya kuchallenge mnataka wote tuwe mazuzu? Nitajie ndege za kibiashara ambazo zinaenda Chato?Umeona sasa ubaguzi wenyewe unavyoanza? Kama ingekuwa n serikali ya majimbo salamu mnazotuma ni kuwa Chato qmbayo Ni Jimbo la nchi ya Marekani wangesubiri sana kupata airport kutoka wahisani wa nchi ya Tanzania
Ukitamba kwa reli iliyojengwa na mjerumani basi usiupinge na mfumo wa majimbo aliouacha!! Mkuu unaweza ona umejibu kumbe ndo umejiingiza kabisa usikopenda.