Je, wajua kuwa Rais wa JMT ndie Serikali, Bunge na Mahakama? Yuko juu ya Mihimili yote 3. Je, kuna uwezekano Rais wa JMT pia yuko juu Katiba?

Hope you're doing great.
Tuwekee chart ya government tuweze kujua kama unayosema yana taswiswi.

Ninachojua Rais ndo overroll wa watu.

Yuko hapo juu ya anaweza kukataa kile kilichoamuliwa kikaonekana kitaleta madhara kwa taifa
Anakuwa juu ya mihimuli mingine sababu ya ile "Ukuu wa nchi" (head of state) Kwa mujibu wa katiba.
 
Wanabodi
Hii ni makala kwenye gazeti la Mwananchi la Jumatano View attachment 2953461

Paskali

Uko sahihi, na haya madaraka ya urais kuwa juu ya katiba ndio yamesababisha udhaifu wa mihimili yote. Hiki cheo Cha rais ndio kinachobeba ile amri yenye nguvu kuliko Sheria na katiba, ile amri inayoitwa amri toka juu, asili yake kabisa ni madaraka ya rais. Hakuna chochote kinaweza kufanya kazi iwe Sheria au katiba, iwapo amri toka juu itakataa. Kama hatutaondoa madaraka ya rais yaliyo juu ya Sheria na katiba., hatutakaa tuwe na taasisi ama mihimili imara ndani ya nchi hii.
 
And thats how inatakiwa, ina act kama check and balance mechanism
 
Wanabodi
Hii ni makala kwenye gazeti la Mwananchi la Jumatano View attachment 2953461

Paskali
Kwa maana nyingine unataka kutuambia Tanzania ni nchi inayo ongozwa Kifalme? Tatizo ni sisi Watanzania wenyewe. Tunashabikia vitendo vya hovyo vinavyofanywa na serikali ya chama cha mapinduzi kwa kujidanganya tunaikomoa Chadema. Katiba mpya ilikuwa inaipunguza kama si kuiondoa hii kitu.
 
katiba ingewatoa Mawaziri,spika nje ubunge hapo ingekaa sawa. Waziri ateuliwe kutoka nje ya mhimili wa bunge
 
Ripoti yako ni njema katika kukumbusha wanajamii maana sidhani kama kuna aliyetimamu hafahamu haya maswala. Ila Jifunze kuchapa ripoti yako kwa ufasaha wa maandishi mwandishi. Asante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…