Hughes wa Crystal palace piaKuhusu ngozi Rooney ni albino kama De bruyne kuhusu uchakavu wa mwili anaendekeza sana pombe
Duuuh..basi sawaa...Ndiyo alivyo hivi Sasa, wala siyo photoshop
Yanii Tutafika tumechoka sana sis!Ila watu wanazingatia maokoto..
Nakazia mabody builder wengi chololo Huwa inamezwa na musclesHapajatuna: Kiba100๐ถ๐ปโโ๏ธ๐ถ๐ปโโ๏ธ๐ถ๐ปโโ๏ธ๐ถ๐ปโโ๏ธ๐ถ๐ปโโ๏ธ๐ถ๐ปโโ๏ธ๐ถ๐ปโโ๏ธ๐ถ๐ปโโ๏ธ๐ถ๐ปโโ๏ธ๐ถ๐ปโโ๏ธ๐ถ๐ปโโ๏ธ๐ถ๐ปโโ๏ธ๐ถ๐ปโโ๏ธ๐ถ๐ปโโ๏ธ๐ถ๐ปโโ๏ธ๐ถ๐ปโโ๏ธ๐ถ๐ปโโ๏ธ๐ถ๐ปโโ๏ธ๐ถ๐ปโโ๏ธ๐ถ๐ปโโ๏ธ๐ถ๐ปโโ๏ธ๐ถ๐ปโโ๏ธ๐ถ๐ปโโ๏ธ๐ถ๐ปโโ๏ธ๐ถ๐ปโโ๏ธ๐ถ๐ปโโ๏ธ๐ถ๐ปโโ๏ธ๐ถ๐ปโโ๏ธ๐ถ๐ปโโ๏ธ๐ถ๐ปโโ๏ธ๐ถ๐ปโโ๏ธ๐ถ๐ปโโ๏ธ๐ถ๐ปโโ๏ธ๐ถ๐ปโโ๏ธ๐ถ๐ปโโ๏ธ๐ถ๐ปโโ๏ธ๐ถ๐ปโโ๏ธ
Hatari sana sis...labda tutapewa mwili mpya... ๐Yanii Tutafika tumechoka sana sis!
Kabisa!Nakazia mabody builder wengi chololo Huwa inamezwa na muscles
Tatizo la Wayne Rooney ni kukosa nidhamu ya maisha. Pombe sana! Kula kula hovyo! bata sana! Mazoezi hafanyi!
Umri wawachezaji wa kiafrika haina uhalisia mpaka leo mimi sijui umri wa samata
Mwafrika mlinganishe na mwafrika mwenzie. Maana waafrika ni waongo sana
Yawezekana kemikali za kuzibia upara ndiyo zonammalizaAlijua upara ni uzee akaweka nywele kulbe tofauti
Yawezekana kemikali za kuzibia upara ndiyo zonammaliza
Hapana ni AlbinismAu ni madhara ya kuotesha nywele kwenye ule upara wake ndo yanatokea kwny seli za usoni...maana duuuu
DUH! Kumbe tupo na wazee wetu humu aseeh๐๐Rooney nimempita miaka 10+ sina mvi ,sina kitambi ,sina upara,kanizidi hela tu huyu nguruwe
Jirani una kumbukumbu nzuri Sana Hadi ishu za kuotesha nywele unakumbukaAu ni madhara ya kuotesha nywele kwenye ule upara wake ndo yanatokea kwny seli za usoni...maana duuuu
UZee ni nini?umri au muonekano nimesoma darasa moja na maulid kitenge,sasa kitenge ni mzee au?je kitenge hayumo JF?kitenge hamzidi Rooney?DUH! Kumbe tupo na wazee wetu humu aseeh๐๐
Niko vzr jirani... ๐ ๐Jirani una kumbukumbu nzuri Sana Hadi ishu za kuotesha nywele unakumbuka
Sjasema mzee nkimaanisha umri umeenda kaka ispokuwa nmemaanisha kuna watu ni wakubwa kias chake.UZee ni nini?umri au muonekano nimesoma darasa moja na maulid kitenge,sasa kitenge ni mzee au?je kitenge hayumo JF?kitenge hamzidi Rooney?