Je, wajua kuwa Rooney ni mdogo kuliko Ronaldo? Hapa kuna somo kuhusu umri na uzee

Je, wajua kuwa Rooney ni mdogo kuliko Ronaldo? Hapa kuna somo kuhusu umri na uzee

Fanya jogging kwa dakika 150 kwa wiki. Uzee utakuwa unausoma tu kwenye vitabu.

Maulidi Kitenge hana tofauti kubwa Sana na mzee Mpili. Kinachombeba Kitenge ni jogging.
Hayo mazoez yananidrain sana napungua haraka mnoo.

Sahiv nina kg 88 urefu ft 6.5.

Nikikimbia wiki moja napunguza kg nyingi sana.. nakuwa sipendezi kwenye vyuti.
 
I thought being 47 yrs you should be more wise and smart enough not to call people weird names and writing rubbish words. Or otherwise you are not there yet!!
 
Back
Top Bottom